Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sumaye: Mazingira ya kutolea elimu yaboreshwe

WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye amesema kurekebisha alama za madaraja mbalimbali katika mitihani haiwezi kuboresha, bali dawa pekee ya kurekebisha hali hiyo ni kuboresha mazingira ya kutolea elimu na ufundishaji.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MKUU WA WILAYA YA ILALA,RAYMOND MUSHI AWAAGIZA WATAALAMU WA MAZINGIRA KUTOA ELIMU UTUNZAJI WA MAZINGIRA KWA WANANCHI

Na Avila kakingo,Globu ya Jamii.
Mkuu wa Wilaya ya Ilala Raymond Mushi amewaagiza watendaji na wataalamu na wenye elimu ya utunzaji wa Mazingira kutoa elimu kuhusu utunzanzaji wa mazingira na athari za mabadiliko ya tabia ya nchi kwa wananchi wote.
Akizungumza leo na Waandishi wa habari ofisini kwake jijini Dar es Salaam leo,Mkuu wa Wilaya ya Ilala Raymond Mushi amesema kuwa katika maadhimisho hayo, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Meck Sadiki ndiye Mgeni rasmi katika maadhimisho ya Wiki ya...

 

11 years ago

Mwananchi

CBE, Finland kutoa PhD ya elimu na elimu mazingira

>Chuo cha Bishara Dar es Salaam (CBE) kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Eastern Finland (UEF), kwa pamoja wameanzisha program kwa masomo ya stashahada ya uzamivu (PhD) katika fani  ya elimu na mazingira ya elimu.

 

10 years ago

Michuzi

WADAU WA VITUO VYA KUTOLEA HUDUMA ZA MATIBABU MKOANI RUKWA WAPEWA ELIMU YA UTARATIBU WA MIKOPO MBALIMBALI INAYOTOLEWA NA MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA (NHIF)

Katibu Tawala Mkoa wa Rukwa Ndugu Smythies Pangisa akichangia na kufunga Semina maalum ya siku moja iliyoendeshwa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya kuwaelimisha wadau wa vituo mbalimbali vya kutolea huduma za matibabu Mkoani Rukwa juu utaratibu wa Mfuko huo katika kutoa mikopo ya vifaa tiba, dawa na ukarabati wa vituo vya kutolea huduma za matibabu. Lengo kuu la utaratibu huo ulioanzishwa na Mfuko wa Bima ya Taifa ni kuboresha huduma za matibabu kwa wanachama wake na watanzania kwa ujumla....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sumaye afufua mzimu wa elimu

WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, ameviponda vyuo vikuu nchini akisema anashangazwa na ukimya wake hasa kipindi hiki ambapo serikali imetangaza matokeo ya kidato cha nne kwa kutumia mfumo mpya wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Makumbusho Zanzibar yaboreshwe

>Nilipokuwa ziarani Zanzibar nilipata fursa ya kutembelea majumba ya makumbusho.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Elimu bora inahitaji mazingira salama

MAENDELEO ya taifa hupimwa kwa ubora wa elimu na taasisi zilizo chini yake, msingi imara wa elimu ni chachu ya mafanikio hasa kwa vijana.

Inapozungumziwa elimu bora si utoaji wa vitabu na madawati pekee katika shule, bali hata mazingira ya kusomea huongeza mafanikio ya elimu na kukuza maarifa.

Kwa kutambua hamasa hiyo ya mazingira mazuri ya kujifunzia kampuni ya AAR Health Care inayotoa huduma ya afya nchini imeandaa utaratibu wa kuhakikisha mazingira yanakuwa mazuri kuanzia katika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

DIWANI ABEID: Nimeboresha mazingira ya elimu Nasibugani

WADAU mbalimbali wamekuwa wakijikita katika kuboresha baadhi ya shule zilizojengwa kwa nguvu za wazazi. Miongoni mwa shule hizo zilizokuwa katika mazingira magumu ambayo si rafiki kwa wanafunzi ni Shule ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Mazingira ya kusikitisha ya utoaji wa elimu ya awali Kigoma

Ndani ya ofisi ya mwalimu mkuu wa shule ya msingi Bigabiro iliyopo Wilaya ya Kigoma mkoani Kigoma, mwanafunzi mmoja anaingia na kuomba apewe ndoo aliyoagizwa na mwalimu wake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani