Mzindakaya agoma kumsamehe Mbunge wa Sumbawanga Mjini...
![](http://4.bp.blogspot.com/-l9tXnxwCAF8/U4Hu6GVziBI/AAAAAAAFk7M/eHC0yOhhczg/s72-c/images+(2).jpg)
Mbunge wa zamani wa jimbo la Kwela, Mzee Chrisant Mzindakaya (shoto) amekataa kumsamehe hadharani Mbunge wa sasa wa Sumbawanga Mjini, Bw. Aeshi Hilali (kulia) baada ya kupewa fursa ya kushikana mikono jukwaani na kusameheana.
Haya yametokea leo mchana (Jumapili, Mei 25, 2014) kwenye ibada ya kumuweka wakfu Askofu Mteule Conrad Nguvumali wa Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la Rukwa iliyofanyika kwenye Uwanja wa Nelson Mandela, mjini Sumbawanga.
Mzee Mzindakaya alikataa kufanya hivyo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziMbunge wa Sumbawanga Mjini,Aeshi Hilaly amwomba radhi Dr. Chrisant Mzindakaya
11 years ago
Habarileo12 Feb
Mbunge agoma kujiuzulu
MBUNGE wa Bahi kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Omar Baduel amesema hatajiuzulu kwenye nafasi hiyo, kutokana na kuandamwa na baadhi ya madiwani kwa tuhuma za kutumia vibaya fedha za mfuko wa jimbo. Alitoa kauli hiyo juzi kwenye kikao cha baraza la madiwani la halmashauri ya Bahi.
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-WBq5IzhRazs/ViL-20P9T_I/AAAAAAAA0nE/BdOPUl9SHgU/s72-c/DSC_1348.jpg)
MAMA SAMIA AUNGURUMA SUMBAWANGA MJINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-WBq5IzhRazs/ViL-20P9T_I/AAAAAAAA0nE/BdOPUl9SHgU/s640/DSC_1348.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FRtXmHAlCJg/ViL-4eaARFI/AAAAAAAA0nM/D2SvB3TrP2E/s640/DSC_1355.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-KbeXFB87o0w/ViL-5KwgbdI/AAAAAAAA0nQ/KBz_FNNSXac/s640/DSC_1356.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-uTLtXGw50bc/VdyPXtmMbvI/AAAAAAAAlJw/GVTX0YUToZ0/s72-c/g9.jpg)
MAGUFULI AFUNGA KAZI SUMBAWANGA MJINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-uTLtXGw50bc/VdyPXtmMbvI/AAAAAAAAlJw/GVTX0YUToZ0/s640/g9.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-oUO4hh_N4dQ/VdyPHgcTgrI/AAAAAAAAlJY/Of3rBFwUnzM/s640/g12.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ySSzvuariTk/VdyPS736n0I/AAAAAAAAlJk/Jo-zb4RgMmU/s640/g13.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-divv9SZk1cc/VdyPS05jaTI/AAAAAAAAlJg/a4pr9ayOIbk/s640/g15.jpg)
10 years ago
Dewji Blog08 Aug
Kampuni ya Tigo yafungua Duka jipya la kisasa Sumbawanga Mjini
Katibu tawala mkoa wa Rukwa, ndugu Smythies Pangisa(kulia) akikata utepe ikiwa ni ishara rasmi ya uzinduzi wa duka la Tigo lililopo Sumbawanga mjini, kushoto ni Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Kusini Jackson Kiswaga na katikati ni meneja wa operesheni kwa wateja Tigo kanda ya kusini, Laverty Khana.
Meneja wa operesheni kwa wateja Tigo kanda ya kusini, Laverty Khana(katikati) akitoa maelekezo kwa mgeni rasmi Katibu tawala mkoa wa Rukwa ndugu Smythies Pangisa jinsi watakavyo hudumia wateja,...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-WBq5IzhRazs/ViL-20P9T_I/AAAAAAAA0nE/BdOPUl9SHgU/s72-c/DSC_1348.jpg)
MAMA SAMIA ATUA KWA CHOPA NA KUUNGURUKA SUMBAWANGA MJINI LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-WBq5IzhRazs/ViL-20P9T_I/AAAAAAAA0nE/BdOPUl9SHgU/s640/DSC_1348.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FRtXmHAlCJg/ViL-4eaARFI/AAAAAAAA0nM/D2SvB3TrP2E/s640/DSC_1355.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-KbeXFB87o0w/ViL-5KwgbdI/AAAAAAAA0nQ/KBz_FNNSXac/s640/DSC_1356.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-yvGT6qZibcc/VJK9itUUm0I/AAAAAAAG4Ho/wwRgsfVKkjU/s72-c/unnamed%2B(58).jpg)
10 years ago
Mwananchi24 Jun
KUELEKEA MAJIMBONI : Majimbo ya Sumbawanga Mjini, Kwela hayana mwenyewe Kalambo ni CCM
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-BTsOv24oPq0/VS9izK4ar5I/AAAAAAAAGxk/5Yn7FgRVGds/s72-c/IMG_5708.jpg)
EWURA YAENDESHA SEMINA KWA WAFANYABIASHARA WA MAFUTA MIKOA YA RUKWA NA KATAVI MJINI SUMBAWANGA
![](http://2.bp.blogspot.com/-BTsOv24oPq0/VS9izK4ar5I/AAAAAAAAGxk/5Yn7FgRVGds/s1600/IMG_5708.jpg)