Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mzungu wa Yanga amlilia Okwi

>Wakati kikosi cha Yanga kikiingia kambini kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Mbeya City Jumapili ya wiki hii, kocha Hans Van Pluijm amezidi kuumizwa kichwa kwa kumkosa mshambuliaji wake Emmanuel Okwi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Ngassa, Okwi waingia wanga za Mzungu Yanga

KOCHA Mkuu mpya wa Yanga, Hans van Der Pluijm. Na Mwandishi Wetu KOCHA Mkuu mpya wa Yanga, Hans van Der Pluijm, raia wa Uholanzi, amesema anataka soka la kasi huku kikosi chake kikicheza kwa ushirikiano katika kushambulia na kukaba.…

 

10 years ago

GPL

Mzungu: Huyu Okwi safi sana!

Mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi. Na Sweetbert Lukonge
KOCHA Mkuu wa Simba, Mserbia, Goran Kopunovic, amemsifia mshambuliaji wa timu yake, Emmanuel Okwi kutokana na kuonyesha nidhamu kwa muda wote aliokuwa naye lakini akamuonya kuwa anatakiwa kuendelea kuwa hivyo, kinyume na hapo hawataelewana. Okwi ameanza kuwa chini ya kocha huyo hivi karibuni baada ya kutumia muda mwingi kuwa katika mambo ya familia wakati kocha huyo...

 

11 years ago

Mwananchi

Azam kamili, Mzungu Yanga bado

>Wakati kocha wa Azam FC, Joseph Omog akitamba kupata kila kitu pamoja na mikanda ya video ya Feroviarrio, mwenzake wa Yanga, Hans Van Pluijm, amekiri kwamba hajui lolote kuhusu wapinzani wao Commorozine.

 

11 years ago

GPL

Mzungu wa Ghana kocha mpya Yanga

Hans Van der Pluijm. Na Mwandishi Wetu
KOCHA mzungu anayefundisha soka nchini Ghana ndiye atakuwa kocha mpya wa Yanga.Hadi jana usiku Yanga ilikuwa ikifanya mazungumzo na makocha wawili yule wa Berekum Chelsea ambaye anajulikana kwa jina la Hans Van der Pluijm na mwingine wa Berekum Arsenal na hukohuko Ghana ambaye hakutajwa jina.…

 

11 years ago

GPL

OKWI ATUA YANGA SC

Emmanuel Okwi. Klabu ya Yanga ya Dar es Salaam imekamilisha usajili wa mshambuliaji wa zamani wa klabu ya Simba Emmanuel Okwi kutoka klabu ya SC Villa. Habari za uhakika ambazo mtandao huu imezipata ni kwamba Yanga wamelipa kiasi cha dola za Kimarekani 20,000 kama ada ya uhamisho na kumsainisha Okwi mkataba wa miaka miwili. Okwi anatarajia kuwasili nchini hivi karibu akitokea Uganda, ameiomba Yanga abaki nchini Uganda kumalizia...

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga kumshtaki Okwi

Uongozi wa Yanga umedai kuwa utamshtaki kwa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), mshambuliaji wao, Emmanuel Okwi iwapo hatajisalimisha hadi ifikapo Agosti 4.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Okwi aituliza Yanga



NA VICTOR MKUMBO BAO pekee lililofungwa dakika ya 51 na  Emmanuel Okwi, limeiwezesha Simba kuibuka na ushindi wa bao 1-0, katika mchezo wa Ligi Kuu ulioikutanisha timu hiyo na Yanga. Okwi alipachika bao hilo kwa shuti kali la mbali baada ya kumchungulia Bartez aliyetoka nje ya lango na mpira huo kujaa moja kwa moja wavuni. Ushindi huo unaipa jeuri Simba ya kuendelea kuwatambia mahasimu wao ambao wamekuwa wakiibeza Simba baada ya kufanya  vibaya katika baadhi ya michezo yake ya ligi. Katika...

 

11 years ago

GPL

Okwi ayeyuka Yanga SC

Mshambuliaji wa Yanga, Emmanuel Okwi. John Joseph na Sweetbert Lukonge
SAKATA la mshambuliaji wa Yanga, Emmanuel Okwi kudaiwa kususia mazoezi, sasa limeendelea mbele zaidi ya ilivyoelezwa awali. Habari mpya ni kuwa Okwi, raia wa Uganda, amegoma kabisa hata kujiunga na wenzake walioweka kambi Bagamoyo na siyo kususia mazoezi pekee, kisa kikiwa ni kutaka kumaliziwa fedha zake za usajili ambazo inadaiwa bado anadai. Kutokana na...

 

11 years ago

GPL

Okwi asaini Yanga SC

Na Khatimu Naheka
USAJILI wa kishindo, Yanga imefanya kufuru kwa kufunga dirisha dogo la usajili kwa kumsajili kiungo mshambuliaji wa zamani wa Simba, Emmanuel Arnold Okwi na ataanza kuichezea klabu hiyo kwenye mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Bara.
Okwi, ambaye ni mchezaji wa timu ya taifa ya Uganda, The Cranes, amesaini kuichezea Yanga kwa miaka miwili na nusu na Shirikisho la Soka la Uganda (Fufa) limemuidhinisha rasmi kuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani