Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NAFASI ZA MAFUNZO YA UTENGENEZAJI WA MASHINE ZA KUTOTORESHA VIFARANGA VYA KUKU.

Taasisi  ya  RafikiElimu  FOUNDATION  kupitia  MRADI  WA ELIMU  YA  UJASIRIAMALI  MIJINI  NA  VIJIJINJI inatangaza  nafasi  za   MAFUNZO  YA  UTENGENEZAJI WA  MASHINE  ZA  KUTOTOLEA  VIFARANGA  WA KUKU. Mashine   zitakazo fundishwa  kutengeneza  ni  INCUBATOR  ( MANUAL & AUTOMATIC) ZENYE  UWEZO  WA KUTUNZA  JOTO  KWA  SAA  48 PAMOJA  NA KUTOTORESHA  MAYAI   KUANZIA  240  HADI  5000.Vile  vile  yatatolewa  mafunzo  ya   UTENGENEZAJI  WA MAJIKO  SANIFU...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Nafasi za mafunzo ya utengenezaji wa mashine za kutotolesha Vifaranga vya Kuku.

OMARIBARAKA

Taasisi  ya  RafikiElimu  FOUNDATION  kupitia  MRADI  WA  ELIMU  YA  UJASIRIAMALI MIJINI  NA  VIJIJINJI  inatangaza  nafasi  za   MAFUNZO  YA  UTENGENEZAJI  WA MASHINE  ZA  KUTOTOLEA  VIFARANGA  WA  KUKU.

Mashine   zitakazo fundishwa  kutengeneza  ni  INCUBATOR   ( MANUAL & AUTOMATIC) ZENYE  UWEZO  WA  KUTUNZA  JOTO  KWA  SAA  48...

 

10 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA TWIGA CEMENT YATOA MAFUNZO YA UTENGENEZAJI BORA WA MATOFALI

 Mkurugenzi wa Biashara wa Kampuni ya Saruji ya Twiga (TPCC), Simon Delens, akizungumza wakati wa semina kuhusu utengenezaji wa bora wa matofali waliyowaandalia watengeneza matofali na wasambazaji wao jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.Meneja Undelezaji Biashara wa Kampuni ya Saruji ya Twiga (TPCC), Danford Semwenda, akitoa mada wakati wa semina kuhusu utengenezaji wa bora wa matofali waliyowaandalia watengeneza matofali na wasambazaji wao jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.Meneja...

 

11 years ago

Dewji Blog

Wafugaji wapatiwa mafunzo kukabiliana na mafua makali ya Kuku na Nguruwe

farm-chicken-412

Mwandishi Wetu Arusha

Zaidi ya wafugaji 300 wa Kuku na mifugo mbalimbali na wafanyabishara wa maduka ya madawa ya kilimo na mifugo wamepatiwa mafunzo ya utumiaji dawa mbalimbali za kutibu mifugo ya aina mbalimbali na virutubisho mbalimbali vinavyotolewa na kampuni ya BYTRADE (T) LTD ilikukwepa magonjwa ya mafuwa na aina nyingine za magonjwa na virutubisha vya mifugo.

Akizungumza katika semina ya kuwajengea uwezo wafugaji na wauza dawa za mifugo mkuu wa idara ya wanyama wa kampuni ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Baadhi ya wabunge mkoa wa Singida wapumulia mashine kwenye nafasi zao majimboni

6

Mbunge wa jimbo la Manyoni Mashariki Mh. John Chiligati pamoja na Mbunge wa jimbo la Singida mjini Mh. Mohammed Dewji wakipungia mikono wakazi wa Singida wakati wa mikutano ya chama cha Mapinduzi mkoani humo.

JIMBO LA MKALAMA.

Hili kwa sasa linafananishwa na ‘mzoga’ kwa madai hadi sasa kuna dalili ya watu 12 wanaonyesha dalili la kuliwania jimbo hilo ambalo zamani lilikuwa likijulikana kwa jina la Iramba mashariki.

Mbunge wa sasa Salome Mwambu wa CCM ambaye anamaliza kipindi chake cha...

 

10 years ago

Michuzi

UFUNGUZI WA KITUO CHA UTENGENEZAJI VIFAA VYA UMEME WA JUA,KIBOKWA.

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Mtendaji Mkuu wa kituo cha kufundishia Wanawake utengenezaji wa vifa vya Umeme wa jua Bibi Meagan  Garnahan wakati aliposawasili katika uzinduzi wa kituo hicho katika kijiji cha Kibokwa Wilaya ya kaskazini A Unguja leo  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein(wa pili kushoto) akipata maelezo kutoka kwa Bw.Abdul Barwan Abdalla kuhusu ufugaji wa nyuki kwa kutumia...

 

10 years ago

Michuzi

Nafasi ya Mafunzo Online ya Ujasiriamali

DAR ES SALAAM INSTITUTE OF TECHNOLOGY

INDIA-TANZANIA CENTRE OF EXCELLENCY IN ICT (ITCoEICT).


Entrepreneurship E-Learning Training Opportunity run by DIT and ILO

ILO-Start and Improve Your Business (SIYB) program is a materials-based training program for potential and established entrepreneurs who want to improve the management processes of their business. The training is modular in order to meet the specific needs of the target group. 
The Start and Improve Your Business (SIYB) is based on...

 

10 years ago

Michuzi

NAFASI ZA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI RafikiElimu FOUNDATION

Taasisi ya RafikiElimu FOUNDATION kupitia Mradi wa Elimu Ya Ujasiriamali Mijini & Vijijini, inatangaza nafasi za MAFUNZO YA UJASIRIAMALI. Mafunzo yatakayo tolewa ni pamoja na :  1. Jinsi ya kutengeneza mashine za kutotolea vifaranga wa kuku.  2. Uanzishaji na undeshaji wa taasisi zisizo kuwa za kiserikali.  3. Jinsi ya kutengeneza aina sita za soda  4. Jinsi ya kutengeneza bia aina mbali mbali 5. Jinsi ya kutengeneza vodka na pombe nyingine...

 

10 years ago

Mwananchi

Masaibu ya waombaji nafasi za Mafunzo kwa vitendo

Ni kawaida kwa wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu kuomba nafasi ya kufanya mazoezi kwa vitendo katika taasisi, mashirika na kampuni ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa mafunzo yao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani