Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, wasanii na Michezo afanya ziara TSN
![](http://4.bp.blogspot.com/-bscBGGDPy64/Vm-z16fSN-I/AAAAAAAIMdw/xV3H_zekuuI/s72-c/PIX4.jpg)
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Annastazia James Wambura akisoma gazeti lenye kurasa za matangazo alipofanya ziara ya kikazi katika ofisi za Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN) wachapishaji wa magazeti ya HabariLeo, Dailynews na Spoti Leo, leo jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Mhariri Mtendaji wa TSN Bw. Gabriel Nderumaki.
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Annastazia James Wambura akifuatilia maelezo namna gazeti linavyotengenezwa kutoka kwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU WIZARA YA HABARI,VIJANA,UTAMADUNI NA MICHEZO AFANYA ZIARA BASATA,TBC NA TSN.
9 years ago
Dewji Blog13 Nov
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo afanya ziara BASATA, TBC na TSN!
Katibu Mkuu Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Prof Elisante Ole Gabriel(aliyekaa mwenye miwani) akipata maelekezo jinsi gazeti linavyotengenezwa kutoka kwa mtumishi wa Standard News Papers (TSN) mapema jana jijini Dar es Salaam alipofanya ziara ya kikazi na kuangalia utendaji wa kazi.
Katibu Mkuu Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Prof Elisante Ole Gabriel (wa kwanza kushoto) akiangalia mitambo ya kurushia matangazo ya Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) wakati...
9 years ago
Michuzi14 Dec
Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo afanya ziara TBC na BASATA.
![nap1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/nap1.jpg)
![nap2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/nap2.jpg)
![nap4](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/nap4.jpg)
Waziri wa...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-J9tJCEu9g1M/VoK6KO6OkUI/AAAAAAAIPRc/hsYBlaS73EE/s72-c/20bd1106-336b-41a1-a14d-f0992c614b40.jpg)
Naibu Waziri Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mh. Anastazia Wambura atembelea Idara ya habari
![](http://1.bp.blogspot.com/-J9tJCEu9g1M/VoK6KO6OkUI/AAAAAAAIPRc/hsYBlaS73EE/s640/20bd1106-336b-41a1-a14d-f0992c614b40.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-cEhUKvtgqVY/VoK6LtWw12I/AAAAAAAIPRo/jqpAeLsh80Q/s640/572747c3-76ca-4dbd-a528-0734509e433a.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2Pgccpq7CJ0/VoPImbFRhYI/AAAAAAAIPWk/5k6KkcUeadI/s72-c/IMG_9733.jpg)
NAIBU WAZIRI WA HABARI,UTAMADUNI,SANAA NA MICHEZO, ANNASTAZIA WAMBURA ATEMBELEA TCRA LEO JIJINI DAR.
![](http://1.bp.blogspot.com/-2Pgccpq7CJ0/VoPImbFRhYI/AAAAAAAIPWk/5k6KkcUeadI/s640/IMG_9733.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-MTeDyLho9dA/VoPInhEpRqI/AAAAAAAIPW4/HfiHmDkzxII/s640/IMG_9765.jpg)
9 years ago
Dewji Blog17 Dec
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ahaidi kusimamia kazi za Wasanii kwa nguvu zote
Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Nape Nnauye akiongea na wadau mbalimbali kutoka BASATA,COSOTA,BODI YA FILAMU,CMEA NA WASANII jana jijini Dar es Salaam juu ya kuendelea kusimamia haki ya wasanii na kuhakikisha kila msanii anapata anachostahili kupitia Sanaa yake na kwamba serikali imeweka nguvu kubwa katika eneo hilo.
Waziri wa Viwanda,Biashara na Uwekezaji Mhe.Charles Mwijage (kulia) akiongea waandishi wa habari kuhusu vyombo vya habari(television na Redio) kuanza kulipia...
9 years ago
Mwananchi06 Jan
NANI NI NANI SERIKALI YA JPM?: Nape Nnauye, Waziri wa Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo