Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nakumbuka Mzee Mwinyi na ‘kila zama na kitabu chake’

LEO ningependa kuwausia wanasiasa walioko madarakani hasa kwenye nafasi za juu katika vyama na serikalini. Upande wa pili unawahusu wanasiasa wenye nia na utashi mkubwa kutaka kujitokeza kuomba nafasi za...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

USIKOSOE ZAMA ZILE EFM NA JOHN KITIME KILA JUMAPILI AKIKUHAKIKISHIA KUWA ZA KALE BADO ZINAPENDWA

EFM katika ubora wake wa kuhakikisha inawaletea burudani na elimu watu wa rika zote, ina kipindi kiitwacho Zama Zile, kipindi hiki cha saa tatu huwa hewani kila Jumapili kuanzia saa mbili hadi saa tano usiku.


Kipindi hiki huendeshwa na mwanamuziki gwiji  Anko John Kitime, ambaye ni mtunzi, mwimbaji, mpiga gitaa na pia ni mwanalibeneke aka blogger mahiri...


JOHN KITIME……Mwanamuziki huyu ambaye alianza kupiga katika muziki katika bendi mwaka 1968, na ambae  baba yake pia alikuwa mpiga gitaa...

 

11 years ago

Mwananchi

Ujinga wa zama zilizopita, si lazima uwe ujinga wa zama hizi

“Kila taifa lina ujinga wake,” haya ni maneno yaliyotolewa na Profesa Palamagamba Kabudi alipokuwa akitoa mada kuhusu Muungano wa Tanganyika na Zanzibar hivi karibuni.

 

11 years ago

GPL

MWANAFUNZI WA ARDHI ATOA CHANGAMOTO KWA VIJANA KUPITIA KITABU CHAKE‏

Nguku anaelezea kwamba kitabu hicho yenye kauli mbiu “Sio Serikali ni Mimi, Wewe na Sisi,” inatoa hamasa kwa watu hasa hasa kundi la vijana waweze kuwa na uthubutu wa kutimiza malengo yao katika maisha. Wanaoshuhudia ni mama yake mkubwa Bi. Anna Kikwa na baba yake mdogo Bw. Emmanuel Mallewo.
Bi. Kikwa (kushoto) na Bw. Mallewo wakionyesha kitabu cha 'Safari Ya Ndoto' alichokiandika mwanao Aman (katikati)...

 

10 years ago

CloudsFM

Mh. January Makamba azungumzia kitabu chake kilichoandikwa na Padri Privatus Karugendo kwenye Power Breakfast.

Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, ambaye pia ni mbunge wa Bumbuli,Mh January Makamba leo kwenye kipindi cha Power Breakfast amezungumzia kitabu cha maisha yake naya kisiasa pamoja na malengo yake ya kimaendeleo kwa Tanzania kama atapata ridhaa ya kugombea nafasi ya urais kwenye uchaguzi wa mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu. #TanzaniaijayoMh.Makamba amezungumzia vipengele vingi kwenye kitabu chake hicho kama kupambana na madawa ya kulevya,elimu,ajira kwa vijana,Afya,...

 

9 years ago

Bongo5

2Face kutoa kitabu chake cha historia ‘A Very Good Bad Guy’ kwenye siku yake ya kuzaliwa

September 18, msanii nguli wa Nigeria, 2Face Idibia atatimiza umri wa miaka 40. Katika kusherehekea siku yake ya kuzaliwa, 2Face atafanya party ya nguvu iliyopewa jina ‘Fortyfied’ itakayojumuisha tamasha kubwa la muziki. Pia siku hiyo kitatoka kitabu cha historia yake kichopewa jina la ‘A Very Good Bad Guy: The Story Of Innocent 2Face Idibia.’ Kitabu […]

 

5 years ago

Michuzi

DK MERU AMPONGEZA MURUSURI NA KUMTAKA KUKISAMBAZA AFRIKA KITABU CHAKE CHA 'MAKING AFRICA WORLD'S LARGEST ECONOMY'.


KATIBU MKUU Mstaafu na Mwenyekiti wa Bodi za Wakurugenzi za OSHA na VIPIMO (Weights & Measures), Dkt. Adelhelm Meru (Kushoto), akipokea kitabu cha "MAKING AFRICA WORLD'S LARGEST ECONOMY" kutoka kwa mwandishi wa Kitabu hicho, Ndg. Derek Murusuri, jijini Dar es Salaam leo (13Feb., 2020). Kitabu hicho cha kwanza kuihakikishia Afrika, pasina shaka kuwa inaweza kuongoza uchumi wa dunia, kilizinduliwa mwezi uliopita (January, 2020) na Waziri Mkuu Mstaafu, Mhe. Mizengo Pinda.

Dk. Meru ambaye ...

 

10 years ago

Michuzi

Miaka 90 ya Mzee Ali Hassan Mwinyi

Leo, Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Ali Hassan Mwinyi anatimiza miaka 90. Tulipata fursa ya pekee kuketi naye akatueleza mambo machache kuhusu maisha yakeUNGANA NASI

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani