USIKOSOE ZAMA ZILE EFM NA JOHN KITIME KILA JUMAPILI AKIKUHAKIKISHIA KUWA ZA KALE BADO ZINAPENDWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-P_QNAawrpIc/VZJDLN5pJfI/AAAAAAAHlzo/yslRihe15SI/s72-c/unnamed.jpg)
EFM katika ubora wake wa kuhakikisha inawaletea burudani na elimu watu wa rika zote, ina kipindi kiitwacho Zama Zile, kipindi hiki cha saa tatu huwa hewani kila Jumapili kuanzia saa mbili hadi saa tano usiku.
Kipindi hiki huendeshwa na mwanamuziki gwiji Anko John Kitime, ambaye ni mtunzi, mwimbaji, mpiga gitaa na pia ni mwanalibeneke aka blogger mahiri...
JOHN KITIME……Mwanamuziki huyu ambaye alianza kupiga katika muziki katika bendi mwaka 1968, na ambae baba yake pia alikuwa mpiga gitaa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima04 Oct
Nakumbuka Mzee Mwinyi na ‘kila zama na kitabu chake’
LEO ningependa kuwausia wanasiasa walioko madarakani hasa kwenye nafasi za juu katika vyama na serikalini. Upande wa pili unawahusu wanasiasa wenye nia na utashi mkubwa kutaka kujitokeza kuomba nafasi za...
10 years ago
GPL17 Feb
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-DP4nORKcDWA/UxpCCPohpmI/AAAAAAAFR3g/BGnNiCEiS7Y/s72-c/download+(1).jpg)
libeneke la anko john kitime lakata mbuga
![](http://1.bp.blogspot.com/-DP4nORKcDWA/UxpCCPohpmI/AAAAAAAFR3g/BGnNiCEiS7Y/s1600/download+(1).jpg)
11 years ago
Michuzi01 Mar
10 years ago
Michuzi16 Feb
Tanzania Bloggers Network Wamfariji Mzee John Kitime kwa Kufiwa na mkewe
![Mwenyekiti wa muda wa Chama cha Bloggers Tanzania (TBN), Joachim Mushi (kulia) akikabidhi ubani wa fedha shilingi 900,000 na kutoa pole kwa mwanamziki mkongwe, John Kitime (kushoto) ambaye amefiwa juzi na mkewe, tukio hilo lilifanyika jana Kimara eneo la Nguzo ya 800, jijini Dar es Salaam. Mzee Kitime ni mwanachama wa TBN.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/02/Mwenyekiti-wa-muda-wa-Chama-cha-Bloggers-Tanzania-TBN-Joachim-Mushi-kulia-akikabidhi-ubani-wa-fedha-shilingi-900000-kwa-mwanamziki-mkongwe-John-Kitime-kushoto-ambaye-amefiwa-juzi-na-mkewe-tukio-hilo-lilifanyika-Kima1.jpg)
![Mwenyekiti wa muda wa Chama cha Bloggers Tanzania (TBN), Joachim Mushi (kulia) akitoa ujumbe wa pole kwa John Kitime na waombelezaji mara baada ya kukabidhi ubani wa fedha zilizotolewa na wanachama wa TBN jana eneo la Kimara Nguzo ya 800 jijini Dar es Salaam. Baadhi ya wajumbe wa TBN walifika kumfariji Kitime ambaye pia ni mwanachama wa TBN.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/02/IMG-20150215-WA0080.jpg)
11 years ago
Mwananchi28 Apr
Ujinga wa zama zilizopita, si lazima uwe ujinga wa zama hizi
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/_ILHlrF7h0M/default.jpg)
Ngoma azipendazo ankal special request by John Kitime, Abdul Salvador & Kawelee Mutimwana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xUJTJk2Qmyg/VOH12ofge7I/AAAAAAAHD_Q/eNkTCoymoXE/s72-c/FILE0057.jpg)
mamia washiriki mazishi ya mke wa john kitime kwenye makaburi ya kinondoni,jijini dar leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-xUJTJk2Qmyg/VOH12ofge7I/AAAAAAAHD_Q/eNkTCoymoXE/s1600/FILE0057.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ze2nRfJZsdA/VOH125Q8g0I/AAAAAAAHD_U/Av26QS6-Itc/s1600/FILE0059.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-oE9BMpLnV1A/VOH18209QUI/AAAAAAAHD_w/WeYpnvtV8ks/s1600/IMG_20150216_153949.jpg)
10 years ago
Dewji Blog16 Feb
Rambirambi kwa kifo cha mke wa mwanamuziki John Kitime na Baba yake msanii Dully Sykes
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limepokea kwa masikitiko na majonzi makubwa kifo cha Mke wa Msanii mkongwe wa muziki wa dansi na Mjumbe wa Bodi ya BASATA Bw. John Kitime kilichotokea mwishoni mwa wiki iliyopita usiku wa kuamkia Ijumaa ya Tarehe 13/02/2014.
Aidha, BASATA linatoa salamu rambirambi kwa kifo cha Baba Mzazi wa Msanii Dully Sykes, Mzee Abby Sykes kilichotokea jana Jumapili ya Tarehe 15/02/2015.
Pamoja na vifo hivi kuacha majonzi na huzuni kwa wanafamilia, ni pigo pia kwenye...