NAMNA YA KISHERIA YA KUZUIA MSHAHARA WA MFANYAKAZI KULIPIA DENI LAKO.
![](http://1.bp.blogspot.com/-YVbzMYw0y64/Vjn_CWQk9gI/AAAAAAAIEGs/XwOvPXsASTI/s72-c/images.jpg)
NA BASHIR YAKUB - Unapomdai mtu kupitia mahakanma na hukumu ikatolewa kuwa ni kweli unamdai na anastahili kukulipa basi mtu huyo hustahili kulipa. Lakini mara kadhaa hutokea mtu kusema sina hela ya kulipa au vinginevyo ilimradi tu asilipe deni.
Lakini pia madai hapa si lazima iwe hela tu inayotokana na kukopeshana. Yapo pia madai ambayo hutokana na mtu kushinda kesi. Kwa mfano mwanamke alifungua kesi dhidi ya mme wake akitaka...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima19 Nov
Bil 10/- zatumika kulipia deni la walimu
WAZIRI wa Nchi Ofisi Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Celina Kombani, amesema serikali imelipa sh. Bilioni 10.9 ya malimbikizo ya madeni na mishahara ya walimu iliyo hakikiwa nchini nzima....
11 years ago
Mwananchi03 Mar
Atoa mke wake kulipia deni la Sh17,000
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/A8I8pebmYzphC61YDJ*kYqt85E5yAL0O9bA4CkUU44OPXCtSsQgN11*JPqdLKFNvWt9JjRcuGDHpww4noIlng64aYiP0J2nG/voda1.jpg?width=650)
VODACOM YATOA MAFUNZO NAMNA YA KULIPIA MAFUTA KWA M PESA
10 years ago
Mwananchi22 Jan
Fahamu haki na wajibu wa mfanyakazi kisheria
9 years ago
Michuzi20 Oct
JE NI KWELI DENI HALIFUNGI KISHERIA .
9 years ago
Michuzi09 Oct
NAMNA AMBAVYO WAFANYAKAZI MNAWEZA KUGOMA KISHERIA.
Na kikubwa wanachofanya hali ikishakuwa hivi ni kusema mgomo haukuwa halali na hapo kupata nafasi ya ...
10 years ago
CloudsFM16 Jan
MBUNGE MACHEMLI AFIKISHWA MAHAKAMANI KWA TUHUMA ZA KUTOMLIPA MSHAHARA MFANYAKAZI WAKE KWA MIAKA MITATU.
Machemuli amefunguliwa shauri la madai katika mahakama hiyo na kupewa nakala ya kuitwa yenye Na MCA/MZ/UK/524/2014 katika mahakama hiyo baada ya kufunguliwa kesi na Rehema Hamis (Mhudumu) kwa madai ya kutomlipa mshahara wake kwa miezi 35 ikiwa ni kiasi cha Sh milioni 3,680,000 alizotakiwa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-jxDOqgkuqYw/VK1j9-03k9I/AAAAAAAG73k/y-0eDApYag0/s72-c/images.jpg)
MAKALA YA SHERIA: JIFUNZE NAMNA YA KUANDIKA MKATABA KISHERIA UNAPOUZA AU KUNUNUA
![](http://4.bp.blogspot.com/-jxDOqgkuqYw/VK1j9-03k9I/AAAAAAAG73k/y-0eDApYag0/s1600/images.jpg)
Na Bashir YakubKatika shughuli zetu za kuuza na kununua ambazo tunazifanya kila siku mikataba ya maandishi ni jambo ambalo wengi tunakutana nalo. Mikataba hii iwe rasmi au isiwe rasmi suala la msingi ni kuwa huwa tunaifanya. Aidha wakati mwingine si wote wenye kuhusisha suala la mikataba ya maandishi katika makubaliano yaombalimbali na hii hutokana na sababu mbalimbali ikiwemo ya kuaminiana. Kuhusu kuaminiana niseme jambo moja tu kuwa suala la mikataba ni muhimusana hata kana ...
10 years ago
Africanjam.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-x3CLdR501CA/VYwP-E1doxI/AAAAAAAACQE/xCaqG1sHyew/s72-c/Onion-peeled-and-crying.jpg)
NAMNA YA KUZUIA KUTOKWA NA MACHOZI WAKATI WA KUKATA VITUNGUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-x3CLdR501CA/VYwP-E1doxI/AAAAAAAACQE/xCaqG1sHyew/s400/Onion-peeled-and-crying.jpg)
Ni kitu kilichowazi kwa kila mtu hususani wale wanaojihusisha na swala zima la mapishi kuhusu kutokwa na machozi wakati wa kukata kitunguu. Wataalam wa mambo wanadai kwamba ukikata kitunguu huku unatafuna BIG G kuna uwezekano mkubwa usitokwe na machozi na hata kama yatatoka ni kwa kiwango kidogo ukilinganisha na ukifanya zoezi hilo bila kutafuna BIG G.
Africanjam, We provide news from Africa and all over the world in Politics, Sports, Entertainment as well as Breaking news. We also provide...