JE NI KWELI DENI HALIFUNGI KISHERIA .
NA BASHIR YAKUB Ni kawaida watu kukopeshana fedha katika shughuli za kibinadamu za kila siku hasa zile za uzalishaji. Ni kutokana na hili baadhi ya watu hujikuta wameingia katika faraka ambazo hata hivyo zinatatulika kisheria. Kwa wale ambao madeni yao hutokana na taasisi za fedha kama benki hawa huwa sio rahisi kwao kukwepa kutokana na utaratibu makini wa utoaji wa fedha wa taasisi hizo. Tatizo kubwa la kutolipana na kuleteana dharau...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi
NAMNA YA KISHERIA YA KUZUIA MSHAHARA WA MFANYAKAZI KULIPIA DENI LAKO.

Lakini pia madai hapa si lazima iwe hela tu inayotokana na kukopeshana. Yapo pia madai ambayo hutokana na mtu kushinda kesi. Kwa mfano mwanamke alifungua kesi dhidi ya mme wake akitaka...
10 years ago
Vijimambo
Utajua Marafiki wa kweli na Mburulazzz, Lulu Michael Ndio Rafiki wa Kweli

11 years ago
Mwananchi18 Aug
Unaposoma unaweza kutambua taarifa anazoandika mtunzi zilizo kweli na zisizo kweli?
9 years ago
Habarileo17 Sep
JK: Deni PSPF kushughulikiwa
RAIS Jakaya Kikwete amezindua ghorofa pacha la Mfuko wa Pensheni wa Watumishi wa Serikali (PSPF) na kuahidi kushughulikia tatizo la deni la serikali. Akizungumza wakati wa ufunguzi wa jengo hilo la ghorofa 35 jijini Dar es Salaam jana, Kikwete alisema anafahamu changamoto za mifuko ya jamii, ikiwamo PSPF.
11 years ago
Mwananchi16 Jul
JK: Wanariadha mna deni
11 years ago
Michuzi
10 years ago
Mtanzania04 Jun
Wasaidizi kisheria waaswa
NA ALLY BADI, LINDI
OFISA Mfawidhi Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Kanda ya Kusini, Mourice Chisi, amewataka wasaidizi wa kisheria kutumia nafasi zao kuwasaidia wananchi mkoani hapa kutatua migogoro bila upendeleo.
Wito huo ameutoa wakati alipokuwa anafunga kikao kazi na kugawa vyeti kwa wahitimu wasaidizi wa kisheria kutoka wilaya sita za Mkoa wa Lindi kilichoandaliwa na Kituo cha Msaada wa Kisheria kwa Wanawake na Watoto Mkoa wa Lindi (LIWOPAC).
Alisema wasaidizi wa kisheria ni...
10 years ago
Vijimambo11 Feb
Yanga kumlipia Ngasa deni

Ngasa alilazimika kukopa fedha benki baada ya kuamriwa na Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji kuilipa Simba Sh. milioni 45 alizochukua ili ajiunge nayo lakini akaikacha na kutua Yanga. Kamati hiyo pia ilimfungia mechi sita za awali za Ligi Kuu ya Tanzania Bara...
10 years ago
Tanzania Daima18 Sep
Deni lazorotesha ufanisi Tanida
CHAMA cha wauzaji wa Pembejeo za Kilimo na Mifugo nchini, (Tanada), kimesema wanachama wake wanashindwa kutoa huduma kwa ubora na wakati kwa wateja wake kutokana na Serikali kushindwa kuwalipa deni...