Atoa mke wake kulipia deni la Sh17,000
>Raia wa Kenya aliyefahamika kwa jina la Francis Kevogo, amelazimika kumtoa mkewe mwenye umri wa miaka 43 ili kufidia deni la Sh900 za Kenya (Sh17,100) analodaiwa na kijana wa miaka 22, Patrick Andambwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima19 Nov
Bil 10/- zatumika kulipia deni la walimu
WAZIRI wa Nchi Ofisi Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Celina Kombani, amesema serikali imelipa sh. Bilioni 10.9 ya malimbikizo ya madeni na mishahara ya walimu iliyo hakikiwa nchini nzima....
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-YVbzMYw0y64/Vjn_CWQk9gI/AAAAAAAIEGs/XwOvPXsASTI/s72-c/images.jpg)
NAMNA YA KISHERIA YA KUZUIA MSHAHARA WA MFANYAKAZI KULIPIA DENI LAKO.
![](http://1.bp.blogspot.com/-YVbzMYw0y64/Vjn_CWQk9gI/AAAAAAAIEGs/XwOvPXsASTI/s1600/images.jpg)
Lakini pia madai hapa si lazima iwe hela tu inayotokana na kukopeshana. Yapo pia madai ambayo hutokana na mtu kushinda kesi. Kwa mfano mwanamke alifungua kesi dhidi ya mme wake akitaka...
11 years ago
Habarileo08 Aug
Auawa kwa kisu deni la Tsh.2,000/-
DENI la Sh 2,000 limesababisha mpiga debe katika stendi ya mabasi yaendayo mikoani ya mjini Iringa, Samwel Yengayenga kupoteza uhai wake baada ya kuchomwa kisu na mdeni wake.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-HnOpTiyGrBA/VXnHxiZs_nI/AAAAAAAAvik/ZLH-IHn63IU/s72-c/officiallinah1.jpg)
LINAH SANGA ATOA KALI.. ATOA MAKAVU LIVE, ASEMA WEZI WA MABWANA ZAKE WAJIPANGE NA KWA MNIGERIA WAKE...
![](http://3.bp.blogspot.com/-HnOpTiyGrBA/VXnHxiZs_nI/AAAAAAAAvik/ZLH-IHn63IU/s640/officiallinah1.jpg)
LINAH SANGA ATOA KALI.. ATOA MAKAVU LIVE, ASEMA WEZI WA MABWANA ZAKE WAJIPANGE NA KWA MNIGERIA WAKE...Linah amesema anatarajia kumtangaza rasmimpenzi wake mpya ambaye amedai ni msaniimkubwa wa nchini Nigeria.LinahAkizungumza na kipindi cha Planet Bongo chaEast Africa Radio, Linah alisema anampendampenzi wake huyo mpya na kwamba siku ikifika,ataamua kumweka wazi ili mashabikiwamtambue.“Uhusiano wangu mpya ni wa msanii mkubwasana, yaani huyo nampenda na hii sio project iporeal, mtamuona tu...
5 years ago
AnandTech26 Mar
Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19
10 years ago
Habarileo07 Oct
Amkata mke viwiko kwa kupeleka 400,000/- kwao
POLISI mkoani Kigoma inamshikilia Abona Daniel mkazi wa Kijiji cha Singunga Wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma kwa tuhuma za kumkata mke wake viwiko vya mikono kwa panga na kumsababishia ulemavu.
9 years ago
Bongo528 Sep
Arsene Wenger na mke wake waachana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lnNHCVxKyAK*j5P-Yq8DdaL1hd1GyGwIfqgHZlHH5tuJkrlkbOnRRxaECXU3qyQd3MMZ8M7jfNCn56ELPNfT1wPnqzqMCYqm/slaa.gif?width=650)
SIRI YA DK. SLAA ANAYO MKE WAKE
5 years ago
Bongo514 Feb
Chameleone kuachana na Mke wake wa Miaka 10
Daniella Atim, ambaye ni mke wa Hitmaker na muimbaji kutoka Uganda, Joseph Mayanja, maarufu kama Chameleone, amewasilisha ombi la kutaka hakimu katika moja ya mahakama nchini Uganda kuivunja ndoa yake na hitmaker huyo.
Daniella ameeleza sababu za kutaka kuachana na Chameleone zikiwa ni pamoja na kupigwa na muimbaji huyo pamoja na kunyanyaswa yeye na watoto wake.
Daniella na Chamelone wameoana kwa zaidi ya miaka kumi na kufanikiwa kupata watoto wanne pamoja.
Hatua za kumpata Chameleone...