Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Nape alaaniwe kwa kutuita Boko Haram’

Mbunge wa viti maalumu kwa tiketi ya CUF, Amina Abdallah Amour amemjia juu katibu wa itikadi na uenezi wa CCM, Nape Nnauye kwa kuufananisha Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) na kundi la Boko Haramu na kutaka alaaniwe.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Boko Haram tishio kwa Wanajeshi Nigeria?

Wanajeshi 54 wahukumiwa kifo nchini Nigeria kwa kukataa kupambana na Wanamgambo

 

9 years ago

BBCSwahili

Jenerali afungwa kwa kushindwa na Boko Haram

Mahakama ya kijeshi Nigeria imemhukumu kifungo cha miezi sita jela jenerali aliyeongoza wanajeshi walioshindwa vibaya na Boko Haram.

 

9 years ago

BBCSwahili

Jeshi lakomboa 300 kutoka kwa Boko Haram Nigeria

Jeshi la Nigeria limetangaza kuwa limefanikiwa kuwakomboa watu 338 kutoka kwa wapiganaji wa Kiislamu wa Boko Haram.

 

10 years ago

GPL

WANAJESHI 54 WA NIGERIA WAHUKUMIWA VIFO KWA KUSHINDWA KUPAMBANA NA BOKO HARAM

Wanajeshi hao wakiwa mbele ya Mahakama ya Kijeshi jijini Abuja nchini Nigeria. Mahakama ya Kijeshi nchini Nigeria imewahukumu adhabu ya vifo wanajeshi wake 54 waliokataa kupambana na wapiganaji wa Kundi la Boko Haram. Wanajeshi hao walikutwa na hatia ya uasi, kushambulia na uoga. Wanajeshi hao wanashutumiwa kukataa kupigana kurudisha miji mitatu iliyokuwa ikishikiliwa na Boko Haram mwezi Agosti. Mwanasheria wa wanajeshi hao...

 

11 years ago

BBCSwahili

Washirika wa Boko Haram

Genge moja huko Niger limezungumza na BBC, likisema limeshirikiana na kundi la wapiganaji wa Boko Haram na kwa kufanya hivyo wakapata pesa.

 

11 years ago

BBC

How far does Boko Haram's reach go?

How far could Boko Haram militants extend their reach?

 

11 years ago

BBC

Exactly what does the phrase Boko Haram mean?

What does the Nigerian militant group's name really translate as?

 

11 years ago

BBC

How do you negotiate with Boko Haram?

Frank Gardner looks at how you negotiate with armed kidnappers

 

10 years ago

BBCSwahili

Boko Haram 70 wauawa .

Jeshi la Nigeria limetoa ripopoti kua mpaka sasa limekwisha waua wapiganaji 70 kutoka katika kikundi cha kiislam cha BOKO HARAM.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani