Nape amponda Dk. Slaa
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) leo kitazungumzia mambo mbalimbali yaliyojadiliwa kwenye Kamati Kuu ya CCM likiwamo suala la mgombea urais kupitia chama hicho. Hivi karibuni baadhi ya wanachama wa chama hicho kwa nyakati tofauti wameweka hadharani nia ya kuwania nafasi ya urais ndani ya CCM.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania15 Aug
Nape awapongeza Dk. Slaa, Lipumba
NA EVANS MAGEGE
KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Nape Nnauye, amewafananisha viongozi waliokihama chama hicho na oili chafu.
Pia aliwapongeza aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba na Katibu Mkuu ‘aliyepumzishwa’ wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, kuwa wamejitambua kisiasa kwa kujitenga na oili hiyo inayomiminwa ndani ya injini ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA).
Akizungumza na waandishi wa...
10 years ago
Mwananchi12 Mar
Kinana abanwa, Nape ampiga kijembe Dk Slaa
11 years ago
Habarileo09 May
Ngeleja amponda Mbowe
MBUNGE wa Sengerema (CCM), William Ngeleja amesema Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe hakutenda haki kuzungumzia masuala ya Bunge la Katiba katika Bunge la Bajeti la Jamhuri ya Muungano Tanzania.
9 years ago
Habarileo21 Sep
Abwao amponda Mchungaji Msigwa
MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Iringa Mjini kupitia ACT-Wazalendo, Chiku Abwao amesema heri ya miaka mitano ya aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo, Monica Mbega wa CCM kuliko miaka mitano ya Mchungaji Peter Msigwa wa Chadema.
10 years ago
CloudsFM13 Mar
Snura amponda Nuh Mziwanda
11 years ago
Tanzania Daima22 Mar
Mbunge CCM amponda rais
BAADHI ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wameipinga hotuba ya Rais Kikwete kwa madai kuwa imejaa vitisho na kujibu hotuba ya Mwenyekiti wa Tume ya Katiba Jaji Joseph Warioba....
11 years ago
Tanzania Daima28 Feb
Fella amponda Ostaz Juma Namusoma
MENEJA mkongwe wa muziki wa kizazi kipya nchini ‘Bongo Fleva,’ Said Fella ‘Mkubwa Fella’ amemponda Meneja na mmiliki wa ‘lebo’ ya Mtanashati, Ostaz Juma Namusoma, kwa kitendo cha kupigiwa magoti...
11 years ago
Mwananchi01 Feb
Lwakatare aibuka, amponda Nchemba wa CCM
10 years ago
Bongo511 Jan
Video: Jaguar amponda Iyanya, ‘I don’t pick his phone’