Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ngeleja amponda Mbowe

MBUNGE wa Sengerema (CCM), William Ngeleja amesema Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe hakutenda haki kuzungumzia masuala ya Bunge la Katiba katika Bunge la Bajeti la Jamhuri ya Muungano Tanzania.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Nape amponda Dk. Slaa

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) leo kitazungumzia mambo mbalimbali yaliyojadiliwa kwenye Kamati Kuu ya CCM likiwamo suala la mgombea urais kupitia chama hicho. Hivi karibuni baadhi ya wanachama wa chama hicho kwa nyakati tofauti wameweka hadharani nia ya kuwania nafasi ya urais ndani ya CCM.

 

9 years ago

Habarileo

Abwao amponda Mchungaji Msigwa

MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Iringa Mjini kupitia ACT-Wazalendo, Chiku Abwao amesema heri ya miaka mitano ya aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo, Monica Mbega wa CCM kuliko miaka mitano ya Mchungaji Peter Msigwa wa Chadema.

 

10 years ago

CloudsFM

Snura amponda Nuh Mziwanda

Staa wa muziki nchini Tanzania Snura aamua kumpa makavu mchumba wa Shilole Nuh Mziwanda na kumuonya asiwe anaingilia bifu za wanawake kwani hazimuhusuSnura alikasilishwa na kauli za Nuh Mziwanda kusema hawezi kumfikia mchumba wake Shilole labda ashindane na kina Pam Dafa kwasababu shilole kafika mbali kimuziki na hampati hata kidogo Snura akamuua kumwambia Nuh asiwe anafatilia mambo ya wanawake hayamuhusu

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbunge CCM amponda rais

BAADHI ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wameipinga hotuba ya Rais Kikwete kwa madai kuwa imejaa vitisho na kujibu hotuba ya Mwenyekiti wa Tume ya Katiba Jaji Joseph Warioba....

 

11 years ago

Mwananchi

Lwakatare aibuka, amponda Nchemba wa CCM

Mkurugenzi wa Usalama wa Chadema, Wilfred Lwakatare, amemwelezea Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Bara) Mwigulu Nchemba kuwa mmoja wa watu wasiojua mahesabu kutokana na kauli yake kwamba chama hicho kinatumia fedha za ufisadi kuruka anga kwa anga.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Fella amponda Ostaz Juma Namusoma

MENEJA mkongwe wa muziki wa kizazi kipya nchini ‘Bongo Fleva,’ Said Fella ‘Mkubwa Fella’ amemponda Meneja na mmiliki wa ‘lebo’ ya Mtanashati, Ostaz Juma Namusoma, kwa kitendo cha kupigiwa magoti...

 

10 years ago

Bongo5

Video: Jaguar amponda Iyanya, ‘I don’t pick his phone’

Pamoja na kumshirikisha kwenye remix yake ya One Centimeter, Jaguar haziivi tena na Iyanya. Akiongea kwenye tuzo za Bingwa zilizotolewa jana jijini Nairobi ambapo alishinda tuzo ya video bora ya mwaka, Jaguar alisema Iyanya alimpa masharti kuwa kama anataka washoot video hiyo ni lazima waende Nigeria ama Uingereza na wawatumie waongozaji wa Nigeria, Clarence Peter […]

 

10 years ago

Bongo5

Iyanya amponda Jaguar amuita ‘mshari na mjivuni’, amsifia Diamond na Sauti Sol

Muimbaji wa Nigeria, Iyanya ameamua kujibu tuhuma alizotupiwa na msanii wa Kenya, Jaguar kuwa hakumpa ushirikiano kwenye video ya remix aliyomshirikisha ya wimbo wake ‘One Centimenter’ Jaguar alidai kuwa baada ya kushoot video hiyo kwa kubembelezana alimtumia Iyanya ili aisambaze kwenye vituo vya TV nchini humo na kwamba hakufanya hivyo. Akiongea na Radio Maisha ya […]

 

10 years ago

Vijimambo

Jaguar Amponda Iyanya " Hata akinipigia sasa hivi Sipokei simu yake "

Urafiki wa Jaguar na Iyanya mpaka kufanay Rmx ya "one centimeter" umeisha ndani ya muda mfupi.Wakati akipokea Tuzo ya video bora ya mwaka ya Bingwa Awards ,Jaguar alifunguka kuwa Iyanya alimpa masharti kama anataka kufanya video ya wimbo huo basi ni lazima waende Nigeria ama Uingereza na watumie waongozaji wa video wa Naija kama clarence peter au Moe Musa,Jaguar anadai aliamua kwenda Naija na Muongozaji wake lakini Iyanya alitaka kugoma lakini baada e alibadilisha mawazo.Baada ya video...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani