Nape ashiriki Jogging Tegeta
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye akishiriki mazoezi ya kukimbia mchaka mchaka yalioandaliwa na kikundi cha Tegeta Jogging and Sports Club .
![](http://2.bp.blogspot.com/-4SHfSJzGAEw/VU8fVr01wXI/AAAAAAAAbdw/YumZ3FbbvEc/s640/11.jpg)
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye pamoja na viongozi wengine na makada wa CCM wakishiriki mazoezi ya kukimbia mchaka mchaka yalioandaliwa na kikundi cha Tegeta Jogging and Sports Clubikiwa sehemu ya uzinduzi wa klabu hiyo ya michezo na mazoezi ya Tegeta.
![](http://3.bp.blogspot.com/-70TaQ_9J8gw/VU8fUZt8iOI/AAAAAAAAbdo/fNST8nHqXo8/s640/13.jpg)
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-92E5ONMyB4M/VU8fcta2O-I/AAAAAAAAbfE/QPI8OZbi8cs/s72-c/34.jpg)
NAPE AZINDUA KIKUNDI CHA MICHEZO CHA TEGETA JOGGING.
![](http://4.bp.blogspot.com/-92E5ONMyB4M/VU8fcta2O-I/AAAAAAAAbfE/QPI8OZbi8cs/s640/34.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-6eeV9ERzzSg/VU8fdrIO5uI/AAAAAAAAbfM/qT5v4JQfK8M/s640/35.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/9Xb5Tkxx60I/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog20 Apr
Kinana ashiriki katika bonanza la vilabu vya Jogging mkoa wa Dar, vijana watakiwa kujiandikisha daftari la wapiga kura
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Abdulrahman Kinana akianza mazoezi wakati akishiriki katika bonanza la Jogging lililoandaliwa na Kundi la Kaza Moyo Jogging Club la Ukonga Sitakishari ili kuhamasishwa vijana kujitokeza kwa wingi kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura . Mazoezi hayo yameanzia katika viwanja vya Gonga Gongo la Mboto kupitia Kipawa na kuishia kwenye uwanja wa Social Sitaki Shari Ukonga ujumbe mkuu wa Bonanza hilo ulikuwa ni kuwataka vijana kujitokeza kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-MmYJspYSolg/VY46CxDzuvI/AAAAAAAAf3o/Mqp0M9inyRE/s72-c/1.jpg)
KINANA NA NAPE WAONGOZA MAKUNDI YA VIJANA KUSHIRIKI JOGGING JIJINI MWANZA ASUBUHI HII.
![](http://1.bp.blogspot.com/-MmYJspYSolg/VY46CxDzuvI/AAAAAAAAf3o/Mqp0M9inyRE/s640/1.jpg)
Viongozi mbali mbali walishiriki mchakamchaka huo akiwemo Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Magessa...
9 years ago
CCM Blog![](http://4.bp.blogspot.com/-mpm3i2ixWrc/VmfjNCpwpyI/AAAAAAAAsGw/M3Rj-4I5bKM/s72-c/1.jpg)
NAPE ASHIRIKI USAFI JIMBONI KWAKE MTAMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-mpm3i2ixWrc/VmfjNCpwpyI/AAAAAAAAsGw/M3Rj-4I5bKM/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-BGyHzPdi6MA/VmfjN4eMHAI/AAAAAAAAsG0/M2HP18CciGY/s640/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-YwFeRxJR-Sw/VmfjOSkgAhI/AAAAAAAAsHA/QWm-dMT9pzM/s640/4.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-fLYKLgogI2c/VmfjO08CriI/AAAAAAAAsHI/IhU3fDE8JJI/s640/6.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-fLYKLgogI2c/VmfjO08CriI/AAAAAAAAsHI/IhU3fDE8JJI/s72-c/6.jpg)
MBUNGE WA JIMBO LA MTAMA NAPE NNAUYE ASHIRIKI KUFANYA USAFI NA WANANCHI JIMBONI KWAKE
![](http://4.bp.blogspot.com/-fLYKLgogI2c/VmfjO08CriI/AAAAAAAAsHI/IhU3fDE8JJI/s640/6.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Lindi Mhe. Yahaya Nawanda (mwenye fulana nyeusi) akishiriki usafi pamoja Mbunge wa Jimbo la Mtama Ndugu Nape Nnauye na wakazi wa jimbo hilo ikiwa sehemu ya kutekeleza agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli inayowataka wananchi kushiriki usafi wa mazingira kwenye siku ya kilele cha kusheherekea uhuru wa Tanzania, Desemba 9.
![](http://4.bp.blogspot.com/-iKvu9VyK1Bw/VmfjPhuoS8I/AAAAAAAAsHU/i8Lg2rqs9ag/s640/7.jpg)
Usafi ukiendelea Mtama ambapo wananchi wamesafisha mitaro yote pamoja na maeneo ya sokoni.
![](http://2.bp.blogspot.com/-CKcrEgeg4gc/VmfjNy2uZJI/AAAAAAAAsHE/u-5iiOf2B84/s640/11.jpg)
Mbunge wa Jimbo la...
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/75514000/jpg/_75514447_runningfeet_think624.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima08 Dec
Mwananyamala Jogging kuzinduliwa leo
10 years ago
Dewji Blog31 May
Vijana wa Kawe washiriki Jogging
*Jogging zawaweka wananchi wa Kawe pamoja
*Watumia mazoezi kama njia ya kupinga matumizi ya madawa ya kulevya
*Kuhamasisha vijana wajiandikishe kwenye daftari la kudumu la wapiga kura
*Makundi zaidi ya 20 yashiriki.
![](http://1.bp.blogspot.com/-Kmi5BVm44q0/VWsTWtuOD3I/AAAAAAAAcnw/d61LlVmQYcY/s640/1.jpg)
Vijana wa Kawe wakishiriki Jogging.
![](http://3.bp.blogspot.com/-kin94seZRig/VWsTmLY4q8I/AAAAAAAAcpA/ONZu_QlhYoU/s640/2.jpg)
Gabriel Munasa (mwenye kaptura ya pink) akishiriki jogging pamoja na vijana wa Kawe,kushoto kwake ni Elias Nawera.
![](http://4.bp.blogspot.com/-ALaPZwn5VwY/VWsTno9JZmI/AAAAAAAAcpI/tHFINoBav4Q/s640/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-lqFdlpmRyKI/VWsTuTlroYI/AAAAAAAAcpw/MOgUjLplDWE/s640/4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-B_dMKmeTf18/VWsTv3oKemI/AAAAAAAAcp4/RzzzBRIhPjw/s640/7.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-OQkoRW0XlSo/VWsTwBeGnSI/AAAAAAAAcqY/9v5lpMSKJM8/s640/8.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5xA6dGzIJR8/VWsTXaIzlUI/AAAAAAAAcn4/tilxCsy6ivM/s640/10.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-tkziF0sLmSw/VWsTcsICvQI/AAAAAAAAcoA/a5E0d2oDVMY/s640/13.jpg)
Bendera ya Taifa ikiwa juu kuashiria kuhitimisha kwa mchakamchaka huo ambao mgeni rasmi alikuwa Gabriel Munasa.
![](http://4.bp.blogspot.com/-GmFjitxKDdQ/VWsTcVntgqI/AAAAAAAAcoE/z8ynax2r1-k/s640/15.jpg)