The country where jogging is a crime
![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/75514000/jpg/_75514447_runningfeet_think624.jpg)
The country where jogging is now a criminal activity
BBC
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog31 May
Vijana wa Kawe washiriki Jogging
*Jogging zawaweka wananchi wa Kawe pamoja
*Watumia mazoezi kama njia ya kupinga matumizi ya madawa ya kulevya
*Kuhamasisha vijana wajiandikishe kwenye daftari la kudumu la wapiga kura
*Makundi zaidi ya 20 yashiriki.
![](http://1.bp.blogspot.com/-Kmi5BVm44q0/VWsTWtuOD3I/AAAAAAAAcnw/d61LlVmQYcY/s640/1.jpg)
Vijana wa Kawe wakishiriki Jogging.
![](http://3.bp.blogspot.com/-kin94seZRig/VWsTmLY4q8I/AAAAAAAAcpA/ONZu_QlhYoU/s640/2.jpg)
Gabriel Munasa (mwenye kaptura ya pink) akishiriki jogging pamoja na vijana wa Kawe,kushoto kwake ni Elias Nawera.
![](http://4.bp.blogspot.com/-ALaPZwn5VwY/VWsTno9JZmI/AAAAAAAAcpI/tHFINoBav4Q/s640/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-lqFdlpmRyKI/VWsTuTlroYI/AAAAAAAAcpw/MOgUjLplDWE/s640/4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-B_dMKmeTf18/VWsTv3oKemI/AAAAAAAAcp4/RzzzBRIhPjw/s640/7.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-OQkoRW0XlSo/VWsTwBeGnSI/AAAAAAAAcqY/9v5lpMSKJM8/s640/8.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5xA6dGzIJR8/VWsTXaIzlUI/AAAAAAAAcn4/tilxCsy6ivM/s640/10.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-tkziF0sLmSw/VWsTcsICvQI/AAAAAAAAcoA/a5E0d2oDVMY/s640/13.jpg)
Bendera ya Taifa ikiwa juu kuashiria kuhitimisha kwa mchakamchaka huo ambao mgeni rasmi alikuwa Gabriel Munasa.
![](http://4.bp.blogspot.com/-GmFjitxKDdQ/VWsTcVntgqI/AAAAAAAAcoE/z8ynax2r1-k/s640/15.jpg)
10 years ago
Dewji Blog11 May
Nape ashiriki Jogging Tegeta
![](http://2.bp.blogspot.com/-1n_8w9lgV8I/VU8feX8ybVI/AAAAAAAAbfU/exhCfydbJSY/s640/7.jpg)
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye akishiriki mazoezi ya kukimbia mchaka mchaka yalioandaliwa na kikundi cha Tegeta Jogging and Sports Club .
![](http://2.bp.blogspot.com/-4SHfSJzGAEw/VU8fVr01wXI/AAAAAAAAbdw/YumZ3FbbvEc/s640/11.jpg)
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye pamoja na viongozi wengine na makada wa CCM wakishiriki mazoezi ya kukimbia mchaka mchaka yalioandaliwa na kikundi cha Tegeta Jogging and Sports Clubikiwa sehemu ya uzinduzi wa klabu hiyo ya michezo na mazoezi ya Tegeta.
![](http://3.bp.blogspot.com/-70TaQ_9J8gw/VU8fUZt8iOI/AAAAAAAAbdo/fNST8nHqXo8/s640/13.jpg)
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye...
11 years ago
Tanzania Daima08 Dec
Mwananyamala Jogging kuzinduliwa leo
11 years ago
Tanzania Daima11 Jun
Bonanza la Jogging Bandari Juni 22
BONANZA la Jogging linatarajiwa kufanyika katika ukumbi wa Bandari jijini Dar es Salaam, Juni 22. Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar es Salaam jana, Mratibu wa tamasha hilo, Rajabu Mteta,...
10 years ago
Dewji Blog03 Nov
Dk. Kigwangala ataka shirikisho la Jogging
Mbunge wa jimbo la Nzega Dr. Khamis Kigwangala akizungumza na vikundi mbalimbali vya Joging vilivyoshiriki katika tamasha la mbio za Amani lililoshirikisha wawakilishi kutoka pande mbalimbali za nchi na kupokelewa na mbunge huyo ambaye alikuwa mgeni rasmi, Dr. Khamis Kigwangala amewaasa wanasiasa kutoleta siasa za uchochezi hasa katika mchakato mzima wa Katiba mpya ambapo amesema waachwe wananchi wenyewe waisome waielewe na wao wataamua kama wataipigia kura ya Ndiyo au Hapana, mapokezi hayo...
11 years ago
GPLTAMASHA LA JOGGING LILILOFANYIKA DAR LIVE
10 years ago
GPLKONGOWE JOGGING YAADHIMISHA MIAKA MITANO
11 years ago
GPLBONANZA LA JOGGING DAR LIVE LAFANA
11 years ago
Tanzania Daima03 Jan
Kisarawe Jogging yapata rasmi katiba
KLABU ya Kisarawe Jogging imezindua katiba yake rasmi jana mjini hapa. Klabu hiyo inashughulika na mazoezi na michezo mbalimbali ikiwamo soka. Akizungumza katika hafla hiyo, mgeni rasmi katika uzinduzi huo,...