Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


The country where jogging is a crime

The country where jogging is now a criminal activity

BBC

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Vijana wa Kawe washiriki Jogging

*Jogging zawaweka wananchi wa Kawe pamoja

*Watumia mazoezi kama njia ya kupinga matumizi ya madawa ya kulevya

*Kuhamasisha vijana wajiandikishe kwenye daftari la kudumu la wapiga kura

*Makundi zaidi ya 20 yashiriki.

8

 Vijana wa Kawe wakishiriki Jogging.

 Gabriel Munasa (mwenye kaptura ya pink) akishiriki jogging pamoja na vijana wa Kawe,kushoto kwake ni Elias Nawera.

 Bendera ya Taifa ikiwa juu kuashiria kuhitimisha kwa mchakamchaka huo ambao mgeni rasmi alikuwa Gabriel Munasa.

 

10 years ago

Dewji Blog

Nape ashiriki Jogging Tegeta

 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye akishiriki mazoezi ya kukimbia mchaka mchaka yalioandaliwa na kikundi cha Tegeta Jogging and Sports Club .

 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye pamoja na viongozi wengine na makada wa CCM wakishiriki mazoezi ya kukimbia mchaka mchaka yalioandaliwa na kikundi cha Tegeta Jogging and Sports Clubikiwa sehemu ya uzinduzi wa klabu hiyo ya michezo na mazoezi ya Tegeta.

 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwananyamala Jogging kuzinduliwa leo

p>KLABU ya Mwananyamala Jogging, inatarajiwa kufanya sherehe maalumu za kuizindua tangu ilipoanzishwa. Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar es Salaam jana, Katibu Mkuu wa klabu hiyo, Salum Nyumba ‘Chisco’, alisema...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bonanza la Jogging Bandari Juni 22

BONANZA la Jogging linatarajiwa kufanyika katika ukumbi wa Bandari jijini Dar es Salaam, Juni 22. Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar es Salaam jana, Mratibu wa tamasha hilo, Rajabu Mteta,...

 

10 years ago

Dewji Blog

Dk. Kigwangala ataka shirikisho la Jogging

1

Mbunge wa jimbo la Nzega Dr. Khamis Kigwangala akizungumza na vikundi mbalimbali vya Joging vilivyoshiriki katika tamasha la mbio za Amani lililoshirikisha wawakilishi kutoka pande mbalimbali za nchi na kupokelewa na mbunge huyo ambaye alikuwa mgeni rasmi, Dr. Khamis Kigwangala amewaasa wanasiasa kutoleta siasa za uchochezi hasa katika mchakato mzima wa Katiba mpya ambapo amesema waachwe wananchi wenyewe waisome waielewe na wao wataamua kama wataipigia kura ya Ndiyo au Hapana, mapokezi hayo...

 

11 years ago

GPL

TAMASHA LA JOGGING LILILOFANYIKA DAR LIVE

Washiriki wa Jogging wakiwa mitaani wakifanya mazoezi ya kukimbia. Washiriki wakiingia ndani ya ukumbi wa burudani, Dar Live kwa ajili ya kuanza kufanya mazoezi ya viungo.…

 

10 years ago

GPL

KONGOWE JOGGING YAADHIMISHA MIAKA MITANO

Mmoja wa washiriki wa Kongowe jogging akiwa kashika bendera ya taifa kama ishara ya uzalendo. Mbunge wa Kigamboni, Mhe. Faustine Ndugulile (mwenye jezi ya bluu) pamoja na viongozi wengine wa serikali kutoka Jimbo la Kigamboni wakiongoza…

 

11 years ago

GPL

BONANZA LA JOGGING DAR LIVE LAFANA

Mhe. Angela Kizigha na Mhe. Faustine Ndugulile wakifanya mazoezi na klabu mwenyeji wa bonanza hilo, Magenge 20. Mgeni Rasmi ambaye ni Mbunge katika Bunge la Afrika Mashariki, Mh Angella Kizigha akiongea na wanajogging wa bonanza hilo.…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kisarawe Jogging yapata rasmi katiba

KLABU ya Kisarawe Jogging imezindua katiba yake rasmi jana mjini hapa. Klabu hiyo inashughulika na mazoezi na michezo mbalimbali ikiwamo soka. Akizungumza katika hafla hiyo, mgeni rasmi katika uzinduzi huo,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani