NAPE: CCM ITAMPA USHIRIKIANO MKUBWA DK. MAGUFULI ATEKELEZE ILANI KIKAMILIFU
Mazungumzo yakiendelea
Naam hayo ndivyo yalivyo.....
Mkurugenzi wa New Habari Corporation Erasto Matasya akizungumza.
NA BASHIR NKOROMO.
Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimesema, kitampa ushirikiano mkubwa, Rais Dk. John Magufuli, ili aweze kwa ufanisi zaidi mapambano yake dhidi ya mafisadi na mikakati mingine ya kuinua uchumi wa Watanzania.
Kimesema, kitampa ushirikiano huo Rais Dk. Magufuli, kwa sababu, aliyoanza kuyafanya na atakayoyafanya baadaye katika uongozi wake wa Urais anatekeleza...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
CCM BlogNAPE ATINGA NEW HABARI CORPORATION LTD LEO, ASEMA CCM ITAMPA USHIRIKIANO MKUBWA DK. MAGUFULI ASIMAMIE ILANI VIZURI
9 years ago
Vijimambo15 Aug
NAPE NNAUYE: ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2015-2020 IKO TAYARI
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/248.jpg)
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/335.jpg)
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/527.jpg)
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/622.jpg)
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/722.jpg)
9 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/248.jpg)
NAPE NNAUYE:ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2015-2020 IKO TAYARI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-A4OmYwuwNbk/VYlagLhlnII/AAAAAAAHizQ/DDzun8lsTEQ/s72-c/picha%2B3.jpg)
SIMBACHAWENE ATAKA USHIRIKIANO ATEKELEZE MAJUKUMU YA WIZARA
![](http://2.bp.blogspot.com/-A4OmYwuwNbk/VYlagLhlnII/AAAAAAAHizQ/DDzun8lsTEQ/s640/picha%2B3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_ZbuOCFCbgk/VYlagbdzWSI/AAAAAAAHizU/YRotc_rnCKg/s640/picha%2B4.jpg)
9 years ago
Mtanzania31 Aug
Dk. Magufuli: Kama kungekuwa na mashindano ya ilani, CCM ingeshinda
Na Bakari Kimwanga
MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema kama kungekuwa na mashindao ya ilani bora ya uchaguzi, chama chake kingeongoza kwani kina ilani nzuri kuliko vyama vingine.
Alisema vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), havina ilani inayoweza kutatua matatizo ya Watanzani hivyo ni vyema wananchi wasihadaike nao.
Ukawa inayoundwa na vyama vya Chadema, CUF, NCCR-Mageuzi na NLD, walizindua kampeni na ilani yao juzi jijini Dar es Salaam na...
10 years ago
MichuziDKT. MAGUFULI AWAPONGEZA CCM CHATO KWA USHINDI MKUBWA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA
10 years ago
Dewji Blog06 Jan
Kinana ahutubia mkutano mkubwa Tanga, awashukuru watanzania kuipatia CCM ushindi mkubwa uchaguzi serikali za mitaa
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akihutubia katika mkutano wa hadhara ulioandaliwa maalumu kwa ajili ya kuwapongeza wananchi kuwachagua viongozi wa CCM katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyka nchini kote Desemba 14 mwaka jana. CCM imepata ushindi wa asilimia 81 nchi nzima.
Kinana amesema maeneo yote ambayo upinzania wameshinda na ushindi uliosababishwa na baadhi ya wana CCM NA ENDAPO WATAGUNDULIKA WAMEFANYA KUSUDI KUKIKOSESHA USHINDI CHAMA WATAWAJIBISHWA.
Katibu Mkuu wa...
10 years ago
Mwananchi27 Oct
Nape abeza ushirikiano, wasomi watoa angalizo
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SIjSWFM3gAw/Vm6SC_bJdkI/AAAAAAAAsOQ/ZHmpJTieqEI/s72-c/24.jpg)
NAPE AAHIDI KUTOA USHIRIKIANO KWA WANAHABARI NA WASHIKA DAU WAKE
![](http://3.bp.blogspot.com/-SIjSWFM3gAw/Vm6SC_bJdkI/AAAAAAAAsOQ/ZHmpJTieqEI/s640/24.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2tjAzUfPL1g/Vm6SBwRoDGI/AAAAAAAAsN8/1aF0qrGEcXQ/s640/15.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-OOgIB_EBpPc/Vm6SBq9h9AI/AAAAAAAAsN4/YPAlbZsufB4/s640/17.jpg)