NAPE ATINGA NEW HABARI CORPORATION LTD LEO, ASEMA CCM ITAMPA USHIRIKIANO MKUBWA DK. MAGUFULI ASIMAMIE ILANI VIZURI
Mhariri Mtendaji wa New Habari Corporation Ltd, Absalom Kibanda akimkarbisha Karibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye ambaye pia ni Mbunge wa Mtama, alipotembelea Ofisi za kampini hiyo leo, Sinza jijini Dar es Salaam
Karibu sana
Karibu sana hapa ni ofisini kwako
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akisalimiana na Mhariri wa Habari wa gazeti la Mtanzania, Bakari Kimwanga
Mkurugenzi wa Mawasiliano wa CCM, Godfrey Chongolo akisalimiana na Kibanda
Wakienda ukumbini
Wakiwa katika...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziNAPE: CCM ITAMPA USHIRIKIANO MKUBWA DK. MAGUFULI ATEKELEZE ILANI KIKAMILIFU
NA BASHIR NKOROMO.
Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimesema, kitampa ushirikiano mkubwa, Rais Dk. John Magufuli, ili aweze kwa ufanisi zaidi mapambano yake dhidi ya mafisadi na mikakati mingine ya kuinua uchumi wa Watanzania.
Kimesema, kitampa ushirikiano huo Rais Dk. Magufuli, kwa sababu, aliyoanza kuyafanya na atakayoyafanya baadaye katika uongozi wake wa Urais anatekeleza...
9 years ago
Bongo507 Dec
‘Wema Sepetu na Lulu wanaweza kufanya vizuri Hollywood’ asema staa mkubwa wa filamu
![wema lulu](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/wema-lulu-300x194.jpg)
Staa wa filamu ya Going Bongo, Ernest Napoleon amesema Wema Sepetu na Elizabeth ‘Lulu’ Michael wanaweza kufanya vizuri Hollywood.
Akiongea na Bongo5, Napoleon amesema uwezo wa waigizaji hao unaweza kutisha watu kama wakipewa muongozo mzuri.
“Tanzania tuna waigizaji wazuri wengi sana,” amesema. “Watu wengi wakiangalia bongo movie wanaona movie mbovu au vipi. Hilo sio suala la uigizaji, hayo yanakuwa ni mambo mengine ya production yanayofanya filamu iwe mbovu labda filamu imeharakishwa...
9 years ago
Vijimambo15 Aug
NAPE NNAUYE: ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2015-2020 IKO TAYARI
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/248.jpg)
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/335.jpg)
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/527.jpg)
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/622.jpg)
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/722.jpg)
9 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/248.jpg)
NAPE NNAUYE:ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2015-2020 IKO TAYARI
10 years ago
Vijimambo21 Jul
Nape asema CCM imezuia mafuriko kwa mikono.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Nape-21july2015.jpg)
Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimejigamba kwamba kimeweza kuzuia ‘mafuriko’ kwa mikono huku kikiwatakia kila la kheri baadhi ya makada wake waliotangaza kutogombea kupitia chama hicho pamoja na wale waliokihama na wanaotaka kukihama.
Mwishoni mwa wiki iliyopita waliokuwa madiwani jimbo la Monduli kupitia CCM mkoani Arusha, walitangaza kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), huku wabunge wa viti maalum, Ester Bulaya na James Lembeli...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-SD3bldeVLqI/UzuxCdjiAMI/AAAAAAAFXx4/-NKuR-TN9_o/s72-c/MMG25603.jpg)
Nape asema CCM itashinda kwa kishindo jimbo la Chalinze
![](http://2.bp.blogspot.com/-SD3bldeVLqI/UzuxCdjiAMI/AAAAAAAFXx4/-NKuR-TN9_o/s1600/MMG25603.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-eCIncuO9dYI/UzuxZFj_6II/AAAAAAAFXyA/sDeLsKs_DuE/s1600/MMG25611.jpg)
9 years ago
Mtanzania31 Aug
Dk. Magufuli: Kama kungekuwa na mashindano ya ilani, CCM ingeshinda
Na Bakari Kimwanga
MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema kama kungekuwa na mashindao ya ilani bora ya uchaguzi, chama chake kingeongoza kwani kina ilani nzuri kuliko vyama vingine.
Alisema vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), havina ilani inayoweza kutatua matatizo ya Watanzani hivyo ni vyema wananchi wasihadaike nao.
Ukawa inayoundwa na vyama vya Chadema, CUF, NCCR-Mageuzi na NLD, walizindua kampeni na ilani yao juzi jijini Dar es Salaam na...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-esbi6gGa_9k/XkghNxY0xyI/AAAAAAACHqI/L64D059JACU0vLTA0XLRgQ_Xo1vQHdJTgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200215_194650_953.jpg)
10 years ago
VijimamboNAPE AKIZUNGUMZA NA WAANDISHI LEO, ASEMA WALIOVURUGA UCHAGUZI WAADHIBIWE
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimetaka watendaji wote waliosababisha kuharibika kwa uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika baadhi ya maeneo nchini wachukuliwe hatua kali.
Kimesema, watendaji hao wanastahili...