Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nassari kortini

Joshua Nassari MBUNGE wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari (CHADEMA) jana alifikishwa Mahakama ya Mwanzo Maji ya Chai na kusomewa shtaka la uharibifu wa mali na kuchoma bendera ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), yenye thamani ya Sh laki mbili na elfu tano.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Nassari aumbuka bungeni

Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Joshua Nassari, juzi alijikuta akiumbuka bungeni baada ya kushindwa kutaja kanuni aliyoitumia, kuomba mwongozo.

 

10 years ago

Habarileo

Nyalandu amjibu Nassari

Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu.WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amesema kauli zilizotolewa bungeni na Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari (Chadema)dhidi yake kuwa hafanyi kazi ila kupiga picha wakati wote, ni za kutapatapa na zimejaa ukosefu wa busara na uzushi.

 

11 years ago

GPL

NASSARI AFUNGA NDOA

Joshua Samwel Nassari (kulia) akiwa na mke wake Anande Nko. Mbunge Arumeru Mashariki (Chadema), Joshua Samwel Nassari amefunga ndoa na Anande Nko kwenye Kanisa la Pentekoste lililopo Kilinga, Arumeru ikifuatiwa na sherehe kubwa iliyofanyika katika Viwanja vya Usa-River Academy jirani na Hoteli ya Ngurdoto. Sherehe hiyo ilianza mishale ya saa 7:00 mchana ambapo watu wote walialikwa wakiwemo ndugu, marafiki, jamaa na wananchi wote...

 

10 years ago

Habarileo

Nassari atambia mafanikio yake

Joshua NassariMBUNGE wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari (Chadema) amesema atapita tena katika jimbo hilo mchana kweupe, kwani amefanya mambo mengi, ikiwemo kuhakikisha usafi wa Soko la Tengeru, hivyo wafanyabiashara kufanya biashara sehemu safi na salama.

 

11 years ago

Habarileo

Mbunge Nassari kufunga ndoa kesho

MBUNGE wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari (CHADEMA) anatarajia kufunga ndoa kesho, ilielezwa mjini hapa jana.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lema, Nassari kuzindua kampeni Sombetini

WABUNGE wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoani Arusha, Godbless Lema na Joshua Nassari, wanatarajia kuzindua kampeni za udiwani Kata ya Sombetini, kesho. Akizungumza na Tanzania Daima jana, mgombea...

 

10 years ago

Daily News

Nassari arrested for leading poll violence in Arumeru


Daily News
Nassari arrested for leading poll violence in Arumeru
Daily News
ARUMERU East Member of Parliament (Chadema) Joshua Nassari under arrest over charges of attacking, hijacking and injuring a man during the just-ended civic polls. Arusha Regional Police Commander (RPC) Liberatus Sabas confirmed the report, ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nassari: Serikali inunune mashine za EFD China

MBUNGE wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari (CHADEMA), ameihoji serikali ni kwanini isinunue mashine za kieletroniki (EFD) nchini China ambako zinauzwa kwa bei ndogo. Nassari amehoji hatua hiyo bungeni jana alipokuwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Nassari kizimbani, adaiwa kuchoma bendera ya CCM

Mamia ya wakazi wa Jimbo la Arumeru Mashariki, jana walifurika katika Mahakama ya Mwanzo ya Maji ya Chai kusikiliza kesi inayomkabili Mbunge wa jimbo hilo, Joshua Nassari ya kuchoma bendera ya CCM yenye thamani ya Sh250,000.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani