Nassari kortini
MBUNGE wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari (CHADEMA) jana alifikishwa Mahakama ya Mwanzo Maji ya Chai na kusomewa shtaka la uharibifu wa mali na kuchoma bendera ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), yenye thamani ya Sh laki mbili na elfu tano.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi15 Mar
Nassari aumbuka bungeni
10 years ago
Habarileo17 May
Nyalandu amjibu Nassari
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amesema kauli zilizotolewa bungeni na Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari (Chadema)dhidi yake kuwa hafanyi kazi ila kupiga picha wakati wote, ni za kutapatapa na zimejaa ukosefu wa busara na uzushi.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/a5b4X5Lcvi1wp8RDvDZg-3B5d8cu*v5KgvEw8JExj50NuRGX3VyRnBvT*AyF7TRAVTqO7XV6QxB3mBn85sN0jgqr-mbqBgit/Nasari2.jpg?width=534)
NASSARI AFUNGA NDOA
10 years ago
Habarileo29 Dec
Nassari atambia mafanikio yake
MBUNGE wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari (Chadema) amesema atapita tena katika jimbo hilo mchana kweupe, kwani amefanya mambo mengi, ikiwemo kuhakikisha usafi wa Soko la Tengeru, hivyo wafanyabiashara kufanya biashara sehemu safi na salama.
11 years ago
Habarileo06 Jun
Mbunge Nassari kufunga ndoa kesho
MBUNGE wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari (CHADEMA) anatarajia kufunga ndoa kesho, ilielezwa mjini hapa jana.
11 years ago
Tanzania Daima19 Jan
Lema, Nassari kuzindua kampeni Sombetini
WABUNGE wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoani Arusha, Godbless Lema na Joshua Nassari, wanatarajia kuzindua kampeni za udiwani Kata ya Sombetini, kesho. Akizungumza na Tanzania Daima jana, mgombea...
10 years ago
Daily News18 Dec
Nassari arrested for leading poll violence in Arumeru
Daily News
Daily News
ARUMERU East Member of Parliament (Chadema) Joshua Nassari under arrest over charges of attacking, hijacking and injuring a man during the just-ended civic polls. Arusha Regional Police Commander (RPC) Liberatus Sabas confirmed the report, ...
11 years ago
Tanzania Daima08 May
Nassari: Serikali inunune mashine za EFD China
MBUNGE wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari (CHADEMA), ameihoji serikali ni kwanini isinunue mashine za kieletroniki (EFD) nchini China ambako zinauzwa kwa bei ndogo. Nassari amehoji hatua hiyo bungeni jana alipokuwa...
10 years ago
Mwananchi18 Dec
Nassari kizimbani, adaiwa kuchoma bendera ya CCM