Natse: Rais vunja Bunge la Katiba
>Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Mchungaji Israel Natse amemshauri Rais Jakaya Kikwete alipokonye Bunge hilo kazi hiyo na badala yake atengue kanuni kwa kuirudisha Tume ya Mabadiliko ya Katiba kwa ajili ya kufanya kazi hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pM3ABSV3WVUvn9QfrYSWn25qAl60MzILkHfC6gZlMNfwi1KVQhgjYGsVfw76*gaasWeUvb0cLMD5UQSsVIwVHzfA*rWlqrpy/KATIBA.jpg?width=650)
WABONGO: CHONDECHONDE JK VUNJA BUNGE LA KATIBA
10 years ago
KwanzaJamii15 Aug
MADARAKA YA RAIS YAWAGAWA WAJUMBE BUNGE LA KATIBA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DmWKX8GKoMku8UlNsqnI4pzrzhU0rQMZio9Kl7GwjvJnOcT3sirPLmU5rTxJcuDNYVAiLcmQBYF39qxxkzi3NCfOKZxNWtaL/BREAKINGNEWS.gif)
RAIS KIKWETE AHUTUBIA BUNGE MAALUM LA KATIBA
10 years ago
Uhuru Newspaper14 Aug
Wajumbe Bunge la Katiba waridhia madaraka ya Rais kupunguzwa
Na Waandishi Wetu, Dodoma
BAADHI ya wajumbe wa kamati namba 12, wamekubaliana kupunguza majukumu ya Rais na kutengwa kwa orodha ya viongozi ambao Rais anaweza kuwateua endapo atafanya uteuzi.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa jana, Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Paul Kimiti, alisema kamati yake pia imeridhia utaratibu wa uraia pacha.
Kimiti alisema wajumbe wa kamati yake wameona wapunguze majukumu ya Rais, ikiwa ni pamoja na kumtengea orodha ya viongozi, ambao anaweza kuwateua wakati...
10 years ago
KwanzaJamii10 Sep
Uamuzi Mgumu, Rais Hataongeza Muda Bunge la Katiba
11 years ago
GPL21 Mar
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/WA*Dv5OWc2hvy3wHuA6qJo6JlK0cm7ED4QudaA6XjaqIWbrHYXNWq7s0EMtVZHVUnaZiggkyYTIICyzrL303mZxoyQQdjioH/unnamed.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE KUUNGURUMA KESHO BUNGE MAALUM LA KATIBA.
10 years ago
Mwananchi10 Sep
Uamuzi mgumu,Rais hataongeza muda Bunge la Katiba
11 years ago
Dewji Blog21 Jun
Mjadala Bunge Maalum la Katiba halininyimi usingizi — Rais Kikwete
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete amekumbuka enzi za kuwa mwalimu katika Chuo cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania cha Monduli, Arusha, alipotoa mhadhara katika Chuo cha Taifa cha ulinzi (National Defence College -NDC- ) kilichopo Kunduchi jijini Dar es salaam ambako aliahidi kwamba baada ya kustaafu Urais mwakani atakuwa mwalimu chuoni hapo. Pichani anaonekana Rais Kikwete akisikiliza swali kutoka kwa mmoja wanafunzi hao baada ya mhadhara wake.
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na...