Nature aapa kutoweka wazi miradi yake, ni baada ya idea ya ndala kuchukuliwa
Msanii mkongwe wa muziki kutoka TMK, Juma Nature amesema baada ya kuibiwa idea yake ya biashara ya ndala amejifunza kutoweka wazi miradi yake iliyopo kwenye ‘pipeline’. Nature ameiambia Bongo5 kuwa amekoma kutangaza miradi yake hadi pale itakapokuwa imekamilika. “Watu wanakuwa matajiri kwa idea za kwangu mimi, sasa hivi siwezi kuzinadi kazi zangu kwa sababu zinapotea, […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
5 years ago
CHADEMA Blog![](https://img.youtube.com/vi/3oqxHOLqISY/default.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima22 Nov
‘Tanzania kinara kutoweka wazi nyaraka za bajeti kwa wananchi’
TANZANIA imeelezwa kuwa nchi inayoongoza kwa kutoweka bajeti zake wazi kwa wananchi na hivyo kurudisha nyuma suala zima la uwajibikaji. Hayo yalielezwa jana Jijini Dar es Salaam na Kaimu Mkurugenzi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/czF6wJsbSj3FIYwLDHFvAMn3Aj-wr0CGhANVfy*FPGOYba2POr9lk8nRebs5WljaT-M7krgRAdc7ZNy-*qF-o3quLRBZ9twe/jokate2.jpg?width=650)
JOKATE AELEZEA BIDHAA YAKE MPYA YA NDALA
10 years ago
Bongo507 Jan
Noorah: Nilikata tamaa ya kuachia nyimbo baada ya ngoma mbili kali za mwisho kuchukuliwa poa
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-e-5vKoe8xhM/VjNYm5sJhzI/AAAAAAAAn9c/BPfrE3lefsw/s72-c/1.jpg)
AUDIO : LEMBELI AELEZA HATMA YAKE BAADA YA KUUKOSA UBUNGE, AJIBU TETESI JUU YAKE IKIWEMO YA KUUZA REDIO YAKE
![](http://1.bp.blogspot.com/-e-5vKoe8xhM/VjNYm5sJhzI/AAAAAAAAn9c/BPfrE3lefsw/s640/1.jpg)
Aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo la Kahama Mjini, James Lembeli ameelezea kinachoendelea katika maisha yake ya kisiasa hasa baada ya kushindwa katika uchaguzi wa mwaka huu akiwa ndani ya chama chake kipya cha Chadema.
Akiongea katika taarifa rasmi kwa wananchi wa jimbo hilo, Lembeli amesema kuwa hivi sasa atajikita zaidi katika shughuli za chama chake pamoja na shughuli alizokuwa akizifanya kabla ya kuwa mbunge wa jimbo hilo.
Alisema kuwa ataendelea kufanya kazi zake na mashirika ya kimataifa...
5 years ago
BBCSwahili10 May
Kim Jong-un: Kutoweka kwake, siasa ya kimataifa, malengo yake na jeshi la Korea Kaskazini
9 years ago
Bongo517 Nov
Cassper Nyovest aapa kutozungumzia tena beef yake na AKA, ‘It’s over for me’
![Cassper-Nyovest4](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Cassper-Nyovest4-300x194.jpg)
Rapper wa Afrika Kusini, Cassper Nyovest ameapa kutozungumzia tena beef yake na rapper AKA kwasababu ameamua kuachana nayo moja kwa moja ili aendelee na mambo mengine.
Akihojiwa kwenye kipindi cha MTV Base ‘Behind The Story’, Cassper ambaye ameshinda tuzo mbili za AFRIMA weekend iliyopita Lagos, Nigeria, alipohojiwa kuhusu beef yake na AKA alisema hataki kuzungumzia tena swala hilo, ameamua kuendelea mbele.
“I don’t wanna talk about it anymore. It’s not gonna end, man. This is one of the...
10 years ago
Mtanzania12 May
Juma Nature kujivunia miaka 16 ya mafanikio yake
NA HADIA KHAMIS
MSANII mwenye jina kubwa katika muziki wa Bongo Fleva nchini, Juma Kassim Kiroboto ‘Juma Nature’, anatarajia kusherehekea miaka 16 ya mafanikio yake hivi karibuni.
Mafanikio hayo atayafurahia katika tamasha la Komaa Concert ambapo watashirikiana na kituo cha Redio cha EFM kinachosherehekea mwaka mmoja tangu kuanzishwa kwake.
Mkurugenzi wa mawasiliano wa kituo hicho, Dennis Sebbo, alisema tamasha hilo litafanyika katika Manispaa ya Temeke ikiwa ni heshima ya msanii huyo kwa...