NATURE ATOA MSAADA HOSPITALI YA MBAGALA
Muuguzi akijaribu kumpatia maelekezo ya wagonjwa wa hospitali hiyo baada ya mgonjwa kuingizwa katika wodi. Mmoja wa watu walioambatana na Juma Nature akifungua boksi lenye mashuka katika hospitali ya Mbagala.…
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-61xA1nF_-b0/ViRkLwMhBvI/AAAAAAAIAyk/_06j8GW8yDA/s72-c/ASHA%2B1.jpg)
MKUBWA FELLA ATOA MSAADA KATIKA HOSPITALI YA MBAGALA ZAKHEM JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-61xA1nF_-b0/ViRkLwMhBvI/AAAAAAAIAyk/_06j8GW8yDA/s640/ASHA%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-BPyDBUCJJb8/ViRkKLqZK8I/AAAAAAAIAyc/Ux7fqnmS-Cw/s640/ASHA%2B2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ivZMAsijS7I/ViRkPkl8IuI/AAAAAAAIAy0/-ZxOuQMxV9A/s640/ASHA.jpg)
Mwandishi Wetu
TAASISI ya Mkubwa na Wanawe inayomilikiwa na Mkurugenzi wake Said Fella 'Mkubwa Fella' jana ilitembelea Wodi ya Wanawake na Watoto katika Hospital ya Mbagala Zakhem Jijini Dar es...
10 years ago
Dewji Blog26 May
Juma Nature na wenzake kuiteka Dar katika tamasha la “Komaa” litakalofanyika jumamosi ukumbi wa Dar Live Mbagala
Msanii Juma Nature ‘Kiroboto’ akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, kuhusu tamasha kubwa la kuadhimisha miaka 16 ya kazi zake za muziki nchini pamoja na hitimisho la sherehe za mwaka mmoja za Kituo cha Redio cha EFM linalofahamika kwa jina la Komaa Concert litakalofanyika kwa mara ya kwanza Jumamosi Ukumbi wa Dar Live Mbagala kuanzia saa 12 jioni. Kushoto ni Mkurugenzi wa Idara ya Mahusiano na Mawasiliano wa Kituo cha Redio cha EFM, Denis Ssebo,...
10 years ago
VijimamboJUMA NATURE NA WENZAKE KUITEKA DAR ES SALAAM KATIKA TAMASHA LA KOMAA LITAKALOFANYIKA JUMAMOSI UKUMBI WA DAR LIVE MBAGALA
10 years ago
MichuziTBL YATOA MSAADA WA VISIMA VYA MAJI ZANZIBAR NA MBAGALA
![](http://3.bp.blogspot.com/-sGDd74hOiZI/VCKCLkkJ18I/AAAAAAAAAFo/CtwEZNVhxy0/s1600/TBL%2B5.jpg)
10 years ago
GPLTBL YATOA MSAADA WA VISIMA VYA MAJI ZANZIBAR NA MBAGALA
10 years ago
Dewji Blog21 Dec
Mkubwa na wanawe & High Class Look watoa msaada kituo cha watoto yatima Hazina Mbagala Maji Matitu
Mkubwa Fella akikabidhi kiroba cha Sembe kwa Bi Hawa Mmiliki wa Kituo cha watoto yatima Hazina kilichopo Mbagala maji Matitu.
Picha ya pamoja na watoto hao.
![](http://2.bp.blogspot.com/-1nZPIjONkcY/VJaeQo4IcBI/AAAAAAAAqQ8/Z-U00n3zJ8c/s1600/IMG_4734.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-_e9dXxrVzVE/VJaeR4e0_TI/AAAAAAAAqRM/J0EN8DJBy64/s1600/IMG_4741.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-R-7C4IGquWI/VJaeSoHSmJI/AAAAAAAAqRQ/wXaw4vKo-3g/s1600/IMG_4743.jpg)
Vijana wa Yamoto Band Wakitoa Burudani kwa watoto hao.
Kabla ya kuzungumza chochote Napenda kutoa shukrani zangu kwa Mwenyezi Mungu kwa kila jambo ambalo limefanikiwa ni kwakupitia yeye aliye Muweza wa yote, Pili nawashukuru Watanzania wote karibu kila nyanja kwa kuonyesha ushirikiano wao kwa Mkubwa na wanawe mpaka kufikia...
10 years ago
CloudsFM21 Nov
WAKATI FELA ANA MPANGO WA KUMALIZA BIFU NA JUMA NATURE, NATURE ACHOMOA MCHONGO
Mkurugenzi wa kituo cha kukuza vipaji vya wasanii “Mkubwa na Wanae”, Saidi Fela ambaye pia ni kiongozi wa kundi la TMK Wanaume Family, kundi ambalo lilianzishwa mwanzoni mwa miaka ya 2000 baadaye likaja kuvunjika vipande viwili likazaliwa kundi la TMK Halisi chini ya Juma Nature, hiyo ilikuwa mwaka 2006.
Hivi karibuni Said Fela amefunguka kuwa ana mpango wa kumfuata Juma Nature ili wakae chini na kushirikiana kikazi kama zamani. Lakini alipoulizwa Juma Nature kama yuko tayari kufanya kazi na...
11 years ago
Tanzania Daima04 Jan
Clouds yatoa msaada hospitali Temeke
KAMPUNI ya Clouds Media Group imetoa msaada wa vifaa vya hospitali kwa Hospitali ya Temeke, Dar es Salaam. Akizungumza baada ya kukabidhiwa vifaa hivyo ambavyo vitatumika kwa wajawazito na wagonjwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/A1Qs8*3Ts4z3pbuzUQt0oHKfb0w1OmsfqNKYIVT6qtl4YifhLNGLZKqEZJ6380XNIdCKoCzy936ylWLayo-7PkhSAKgcCIcP/AMANA.jpg?width=650)
GLOBAL YATOA MSAADA HOSPITALI YA AMANA