NAY NDIYE ‘MDUDU’ NDOA YA WEMA
![](http://api.ning.com:80/files/9677Xpk6OnWMB20jxNHc0eNKf5rkvnVvFa*i8OhZz-mgZykkH3IN0LnHXxiFd3*RG9XvDlbEplByaMAd9OSOb9MxU6XHaP*l/nay.jpg)
Stori: Shakoor Jongo IMEVUJA kwamba Staa wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ ndiye aliyemshauri Nasibu Abdul ‘Diamond’ asioe kwa sasa ili asishuke kimuziki. Staa wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ Ushauri huo umekuwa mwiba kwa mpenzi wa Diamond, Wema Sepetu ambaye amekuwa na ndoto ya kuolewa na staa huyo anayekimbiza kitaani na wimbo wake wa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UZ8UQ2FXhhMpfFA9J0M-1AxiXXEscrpUm*Fg-G2CVHLZ8yEtWDu0NwHUHLFGbQhgyZsB6VKKNLgCHWzys-2DVPk70m2cFESS/skain.jpg?width=650)
KUMBE NAY WA MITEGO NDIYE ALIYEUNJA NDOA YA SKAINA!
9 years ago
Bongo519 Nov
Chagga Barbie ndiye ameziba nafasi ya Shamsa Ford kwa Nay Wa Mitego? Nay azungumza
![Chagga na Nay](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Chagga-na-Nay-300x194.jpg)
Jimbo la mapenzi la Nay Wa Mitego liko wazi toka aachane na aliyekuwa cousin mpenzi wake Shamsa Ford, lakini swali ni kwamba ni mrembo gani aliyerithi nafasi hiyo iliyoachwa wazi na Shamsa ambayo huenda kuna warembo wengi wanaitamani?
Kama unamfatilia Nay Wa Mitego kwenye akunti yake ya Instagram sina shaka utakuwa umeanza kuona dalili za kuwa kuna mpenzi mpya ‘mteule’ anayesubiri ‘kuapishwa’ na kuwa rasmi.
Chagga Barbie sio jina geni, ndio yule aliyezitawala headlines nyingi alipokuwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uX0ODFdMLacFduaa7AUhDAgYoqKc165wEJayHYN16KweE6hitNcETSdkyFjGeurhEI8sr4FCA1ybQCIyi9CowapetAb-z-MH/Nay.jpg?width=650)
NAY AFUNGUKIA NDOA NA SHAMSA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3DtnypFvu9EBNRU09fff6ngFMzjjsbDURB0PQT0jJLC5dAD6GRfuMxNlweTdvfhE5ocqsxiDaKyzWUT2KvHOfg3gTeHRi6cJ/Love.jpg?width=650)
WEWE NDIYE MWENYE MPINI WA NDOA YAKO
9 years ago
Bongo529 Dec
Mama wa Mtoto wangu wa nne ndiye atakuja kuwa mke wangu – Nay Wa Mitego
![Chagga-na-Nay](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Chagga-na-Nay-300x194.jpg)
Nay Wa Mitego ni staa ambaye miezi michache iliyopita alikuwa hakosekani kwenye ‘headlines’ kutokana na uhusiano wa kimapenzi na muigizaji wa Bongo movie, Shamsa Ford uliokuwa ukifatiliwa sana na mashabiki wao.
Uhusiano wa Nay na Shamsa ambao kwa mujibu wa Nay ulidumu kwa takribani miezi mitano, ulizaliwa muda mfupi baada ya Nay kuachana na mama wa mtoto wake wa tatu Curtis, Siwema ambaye baada ya kujifungua mtoto huyo waliachana na Nay kumchukua mwanaye.
Chagga Barbie na Nay Wa Mitego
Siku...
11 years ago
Tanzania Daima02 Jan
Snura: Wema ndiye aliyenifungulia njia
MWANADADA anayetamba katika tasnia ya muziki wa mduara, Snura Mushi ‘Snura’ au ‘Mamaa Majanga’, amefunguka kuwa msanii wa filamu nchini, Wema Sepetu, ndiye aliyemfungulia milango ya kuelekea kwenye mafanikio ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8pnqwPqNt2NrG6ClGsFO5dFKq9yqpPDpEHr-hW8Z6Z304RzFtgrBfKboH81iA3lTRwjZ9mUS77yCt*gL9WB1RnxGphNbz*CS/BREAKINGNEWS.gif)
WEMA SEPETU NDIYE IJUMAA SEXIEST GIRL
10 years ago
GPLDIAMOND, NAY ‘WAWAVUA NGUO’ WEMA, SIWEMA!