Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NAY NDIYE ‘MDUDU’ NDOA YA WEMA

Stori: Shakoor Jongo IMEVUJA kwamba Staa wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ ndiye aliyemshauri Nasibu Abdul ‘Diamond’ asioe kwa sasa ili asishuke kimuziki. Staa wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ Ushauri huo umekuwa mwiba kwa mpenzi wa Diamond, Wema Sepetu ambaye amekuwa na ndoto ya kuolewa na staa huyo anayekimbiza kitaani na wimbo wake wa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

KUMBE NAY WA MITEGO NDIYE ALIYEUNJA NDOA YA SKAINA!

Stori: Musa Mateja na Shakoor Jongo
SASA hakuna ubishi kuwa, ile ndoa iliyofungwa kwa mbwembwe na kuvunjika kabla ya mwezi mmoja kati ya msanii wa filamu za Kibongo, Skyner Ally ‘Skaina’ na Saad Omar, chanzo ni Mwanabongo Fleva, Emmanuel Eribaliki ‘Nay wa Mitego’. Nay wa Mitego 'True Boy'. Habari za awali zilisema kuwa, ndoa ya Skaina iliingia mdudu baada ya mumewe kugundua kuwa alinunua ‘mbuzi...

 

9 years ago

Bongo5

Chagga Barbie ndiye ameziba nafasi ya Shamsa Ford kwa Nay Wa Mitego? Nay azungumza

Chagga na Nay

Jimbo la mapenzi la Nay Wa Mitego liko wazi toka aachane na aliyekuwa cousin mpenzi wake Shamsa Ford, lakini swali ni kwamba ni mrembo gani aliyerithi nafasi hiyo iliyoachwa wazi na Shamsa ambayo huenda kuna warembo wengi wanaitamani?

Chagga na Nay

Kama unamfatilia Nay Wa Mitego kwenye akunti yake ya Instagram sina shaka utakuwa umeanza kuona dalili za kuwa kuna mpenzi mpya ‘mteule’ anayesubiri ‘kuapishwa’ na kuwa rasmi.

Chagga Barbie sio jina geni, ndio yule aliyezitawala headlines nyingi alipokuwa...

 

10 years ago

GPL

NAY AFUNGUKIA NDOA NA SHAMSA

Na Mussa Mateja
Msanii wa muziki, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’, ameeleza kuwa endapo msanii mwenzake ambaye sasa hivi wanapika na kupakua, Shamsa Ford atamuonesha utulivu na uaminifu hataona sababu ya kutomuoa. Msanii wa muziki, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’,akipozi kimahaba na Shamsa Ford. Nay aliyasema hayo juzikati alipokuwa akizungumzia mipango yake na Shamsa ambaye amejiweka kwake...

 

10 years ago

GPL

WEWE NDIYE MWENYE MPINI WA NDOA YAKO

KATI ya vitu vinavyochukua nafasi kubwa sana katika maisha ya wanadamu, wakivizungumza kila mara na hata kuomba ushauri, basi ni vile vinavyohusu mapenzi. Nimekuwa nikiandika mambo haya ya uhusiano na maisha, lakini asilimia kubwa ya ushauri ninaoombwa kutoka kwa watu mbalimbali ni juu ya kitu gani wafanye ili nyenendo zao za kimapenzi ziende sawa. Msichana ataomba ushauri juu ya nini afanye ili mvulana wake ampende na kijana...

 

9 years ago

Bongo5

Mama wa Mtoto wangu wa nne ndiye atakuja kuwa mke wangu – Nay Wa Mitego

Chagga-na-Nay

Nay Wa Mitego ni staa ambaye miezi michache iliyopita alikuwa hakosekani kwenye ‘headlines’ kutokana na uhusiano wa kimapenzi na muigizaji wa Bongo movie, Shamsa Ford uliokuwa ukifatiliwa sana na mashabiki wao.

nay-na-shamsha

Uhusiano wa Nay na Shamsa ambao kwa mujibu wa Nay ulidumu kwa takribani miezi mitano, ulizaliwa muda mfupi baada ya Nay kuachana na mama wa mtoto wake wa tatu Curtis, Siwema ambaye baada ya kujifungua mtoto huyo waliachana na Nay kumchukua mwanaye.

Chagga-na-Nay
Chagga Barbie na Nay Wa Mitego

Siku...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Snura: Wema ndiye aliyenifungulia njia

MWANADADA anayetamba katika tasnia ya muziki wa mduara, Snura Mushi ‘Snura’ au ‘Mamaa Majanga’, amefunguka kuwa msanii wa filamu nchini, Wema Sepetu, ndiye aliyemfungulia milango ya kuelekea kwenye mafanikio ya...

 

11 years ago

GPL

WEMA SEPETU NDIYE IJUMAA SEXIEST GIRL

STAA wa filamu Bongo, Wema Isaac Sepetu ameibuka mshindi katika shindano la Ijumaa Sexiest Girls akiwabwaga Elizabeth Michael ‘Lulu’, Nelly Kamwelu, Jacqueline Wolper na Jokate Mwegelo usiku huu ndani ya Dar Live. Shindano hilo lilikuwa linaendeshwa kupitia Gazeti Pendwa la Ijumaa linalochapishwa na kampuni ya Global Publishers… ...

 

10 years ago

GPL

DIAMOND, NAY ‘WAWAVUA NGUO’ WEMA, SIWEMA!

Diamond na Nay wa Mitego wakiimba ngoma yao ya Muziki Gani. Musa Mateja
DONGO! Wakali wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ wameamua kuwavua nguo waliokuwa wapenzi wao kwa kuandaa wimbo ambao unazungumzia matendo machafu waliyowahi kutendewa na wapenzi wao hao.

Ngoma hiyo inayofahamika kama Mapenzi Pesa ambayo inaachiwa leo katika vituo mbalimbali vya redio,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani