Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NCAA yaja na sera ya Ukimwi kazini

Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro,(NCAA), imesema haiwezi kufanikisha biashara ya utalii katika viwango vinavyotakiwa iwapo wafanyakazi hawatakuwa na afya bora.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Sera ya Taifa ya Magereza yaja

JESHI la Magereza nchini liko katika hatua ya mwisho kukamilisha Sera ya Taifa ya Magereza ili kuleta ufanisi katika utendaji na uboreshaji huduma zitolewazo ndani ya magereza. Kauli hiyo ilitolewa...

 

10 years ago

Habarileo

Sera kuwezesha wanafunzi wajawazito yaja

SERIKALI imesema iko mbioni kuzindua sera ya elimu itakayoruhusu wasichana kuendelea na masomo pindi wanapokuwa wamepata ujauzito na kujifungua ili kuhakikisha kila mmoja anapata haki sawa ya elimu.

 

10 years ago

Habarileo

UNESCO, NCAA kuendeleza utalii

 Zulmira RodriguesSHIRIKA la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) kwa kushirikiana na Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA), wameendesha kongamano la siku nne mjini hapa kuangalia mkakati mpya wa kuendeleza utalii kama kitovu cha mapato katika Hifadhi ya Ngorongoro.

 

9 years ago

TheCitizen

Seek more tourist attractions, JK tells NCAA

President Jakaya Kikwete said he would like to see the Ngorongoro Conservation Area Authority investing in research of new tourist sites within the 600-feet-deep crater instead of concentrating on wildlife animals alone.

 

10 years ago

Dewji Blog

NCAA, UNESCO waangalia utalii endelevu Ngorongoro

DSC_0015

Mkufunzi ambaye pia ni mtaalamu mshauri wa Unesco, katika masuala ya utalii endelevu, James Banks akiendesha mafunzo kwenye warsha ya siku nne ya kutengeneza mkakati wa utalii endelevu hifadhi ya Ngorongoro iliyomalizika mwishoni mwa wiki mji mdogo wa Karatu, mkoani Arusha na kuandaliwa na Shirika la UNESCO kwa kushirikiana na Ngorongoro Conservation Area Authority (NCAA). Pichani chini kulia ni Mmoja wa wakufunzi wa warsha hiyo, Tamim Amijee.(Picha zote na Zainul Mzige wa modewjiblog)

Na...

 

9 years ago

TheCitizen

New spending curbs to hit Tanapa, NCAA hard

Conservationists have voiced their concern about the coming into effect of a new law that limits expenditure for autonomous conservation agencies.

 

10 years ago

Mwananchi

Malipo ya kadi maalumu yaongeza mapato NCAA

Mapato ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) yameongezeka kutoka Sh27 bilioni mwaka 2004 hadi Sh55.809 bilioni mwaka jana, baada ya kuanzishwa kwa matumizi ya smart card katika malipo ya kuingia kwenye hifadhi hiyo.

 

9 years ago

Mwananchi

NCAA yafundisha ufyatuaji matofali kwa mashine

Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro (NCAA), imeamua kutunza mazingira yanayoizunguka kwa kuwafundisha vijana utengenezaji wa matofali ya udongo kwa kutumia mashine maalumu inayotumia mafuta ya diseli ili kuzuia ukataji wa miti.

 

5 years ago

Michuzi

Waziri Kigwangalla ashuhudia uvishwaji vyeo kwa Menejimenti ya NCAA.


Na Mwandishi wetu-NCAA
Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla ameshuhudia uvishwaji vyeo kwa menejimenti ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) ikiwa ni utekelezaji wa sheria kwa taasisi zilizoko chini ya Wizara ya Maliasili na Utalii kujiendesha kijeshi katika usimamizi wa Rasilimali za wanyamapori.
Katika sherehe hiyo wajumbe 15 wa menejimenti ya Ngorongoro walivishwa vyeo ambapo idadi hiyo inajumuisha Naibu Makamishna wa uhifadhi wawili na Makamishna wasaidizi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani