Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sera kuwezesha wanafunzi wajawazito yaja

SERIKALI imesema iko mbioni kuzindua sera ya elimu itakayoruhusu wasichana kuendelea na masomo pindi wanapokuwa wamepata ujauzito na kujifungua ili kuhakikisha kila mmoja anapata haki sawa ya elimu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Sheria kuwezesha wazawa kwenye gesi yaja

RAIS Jakaya Kikwete amesema serikali ipo kwenye hatua za mwisho za kuandaaa sheria, kanuni na taratibu kwa ajili ya uwekezaji wenye tija kwa wazawa katika sekta ya gesi na mafuta....

 

10 years ago

Tanzania Daima

Sera ya Taifa ya Magereza yaja

JESHI la Magereza nchini liko katika hatua ya mwisho kukamilisha Sera ya Taifa ya Magereza ili kuleta ufanisi katika utendaji na uboreshaji huduma zitolewazo ndani ya magereza. Kauli hiyo ilitolewa...

 

11 years ago

Mwananchi

NCAA yaja na sera ya Ukimwi kazini

Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro,(NCAA), imesema haiwezi kufanikisha biashara ya utalii katika viwango vinavyotakiwa iwapo wafanyakazi hawatakuwa na afya bora.

 

10 years ago

Habarileo

DC awaokoa wanafunzi wajawazito

BAADHI ya wanafunzi walioacha masomo, baada ya kupata ujauzito wilayani Rufiji mkoani Pwani, wameelezea kujutia makosa hayo na kumuomba Mkuu wa Wilaya kuwasaidia warudi shuleni.

 

5 years ago

BBCSwahili

Benki ya dunia yaitaka Tanzania kutowabagua wanafunzi wajawazito

Tanzania na Benki ya Dunia zimekubaliana kuendelea kushirikiana katika masuala mbalimbali ikiwemo elimu, uendelezaji wa miundo mbinu na masuala ya kijamii

 

10 years ago

Habarileo

Aagiza halmashauri kuwezesha hatimiliki

HALMASHAURI zote nchini zimetakiwa kutenga fedha katika bajeti zake kwa ajili ya kutoa Hatimiliki za kimila kwa wananchi.

 

11 years ago

Michuzi

M-pesa kuwezesha uwekezaji UTT

 Afisa Mkuu Mwendeshaji wa  Dhamana ya Uwekazaji Tanzania (UTT) Simon Migangala akifafanua  jambo  kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusiana na wateja wa mfuko huo watakavyonufaika na utumiaji wa  huduma ya M-Pesa itakavyowawezesha wananchi  kununua Vipande vya mifuko ya Pamoja iliyo chini ya UTT   kwa njia rahisi na salama katika kufanikisha azima yao kujijengea maisha bora ya baadaye kwa kujiwekea akiba.Kushoto ni Meneja Uhusiano wa  Nje wa Vodacom Tanzania,Salum Mwalim.Uzinduzi...

 

10 years ago

Habarileo

Kliniki kuwezesha afya tele

Waziri wa Afya, Dk Seif Rashid.WAJAWAZITO mkoani T a b o r a wameaswa k u a n z a huduma za kliniki mapema sana ili kuepuka madhara ya uzazi na kutunza ujauzito wao vizuri kupitia huduma za afya ya uzazi kwa mama na mtoto zinazotolewa katika vituo mbalimbali vya afya.

 

11 years ago

Habarileo

NSSF kuwezesha mitaji kupitia ushirika

MFUKO wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii ( NSSF) unatarajia kuanza kutoa mikopo kwa wakulima, wachimbaji wadogo wa madini, wavuvi na wafugaji kupitia vyama vyao vya ushirika wa akiba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani