Ndalichako ajitosa Umeya jiji la Dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-fAmHatzSmZA/VmJDD9haGfI/AAAAAAAAXXg/OaHM8HO6wFc/s72-c/Ndalichako-620x309.jpg)
DIWANI wa Kata ya Chang’ombe kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Benjamini Lazaro Ndalichako amejitosa rasmi katika kinyan’ganyiro cha kuwania Umeya wa Jiji la Dar es Saalam.Anaandika Michael Sarungi … (endelea).Ndalichako ni diwani wa kwanza kurejesha fomu ya kuwania nafasi hiyo huku milango ya chama hicho kwa nafasi hiyo ikiwa wazi hadi kesho saa nne.Akizungumza na waandishi
CHADEMA Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi19 Dec
Chadema yapitisha mgombea umeya wa jiji la Dar
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-63t1CMXqqn4/Vaas5FfWAxI/AAAAAAAHp-o/3BkvaoQ824c/s72-c/unnamed%2B%252810%2529.jpg)
Mtabiri na mtaalamu wa nyoya Hassan Yahya hussein ajitosa kugombea udiwani kata ya mzimuni, Magomeni, Dar es salaam
![](http://4.bp.blogspot.com/-63t1CMXqqn4/Vaas5FfWAxI/AAAAAAAHp-o/3BkvaoQ824c/s640/unnamed%2B%252810%2529.jpg)
9 years ago
Habarileo20 Nov
5 wawania umeya
KINYANG’ANYIRO cha kumsaka Meya wa Jiji la Arusha kinashika kasi kwani madiwani watano wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wameonesha nia ya kuwania kiti cha Umeya wa Jiji la Arusha.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QIdRI1cpSGo/VSJg8JvA1QI/AAAAAAAHPZ0/65vqE4q1lAY/s72-c/DSCF8047.jpg)
9 years ago
Habarileo19 Nov
5 wawania umeya, makamu
MADIWANI watano kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Lindi Mjini mkoani hapa, wamejitokeza kuchukua fomu na kurudisha wakiwania ridhaa ya chama hicho kugombea nafasi ya Meya na makamu wake kwenye uchaguzi utakaofanyika mwezi huu katika Manispaa ya Lindi.
11 years ago
Mwananchi20 Jan
Halmashauri ya Jiji Dar ‘yazinduka usingizini’
10 years ago
GPLAFTER SCHOOL BASH YATIKISA JIJI LA DAR
11 years ago
Mwananchi17 Jan
Jiji Dar lajitetea ushuru Ubungo