Ndalichako azibana Nacte, TET kuhusu ubora wa elimu
Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi, Profesa Joyce Ndalichako ametoa siku 30 kwa Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (Nacte), Dk Primus Nkwera kufanya ukaguzi wa vyuo vyote na kumkabidhi ripoti ili kujiridhisha na ubora wa elimu inayotolewa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-N8wRFTPcsMI/VoUqqjRkNRI/AAAAAAAIPls/UGSTxmR-nxY/s72-c/001.WAZIRI.jpg)
WAZIRI WA ELIMU,SAYANSI,TEKNOLOGIA NA UFUNDI PROFESA. JOYCE NDALICHAKO ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA NACTE
![](http://2.bp.blogspot.com/-N8wRFTPcsMI/VoUqqjRkNRI/AAAAAAAIPls/UGSTxmR-nxY/s640/001.WAZIRI.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9dkmyE-C1vw/VoUqqwOKSoI/AAAAAAAIPlw/5R3KX7QQwAE/s640/002.WAZIRI.jpg)
9 years ago
VijimamboTEA YAIPA TET MKOPO WA SHILINGI BILIONI TATU KUANDAA MITAALA NA KUCHAPISHA VITABU VYA ELIMU YA MSINGI
9 years ago
Mwananchi26 Dec
MAKALA: Dk Ndalichako ni mtu sahihi Wizara ya Elimu
9 years ago
Mwananchi05 Jan
Profesa Ndalichako ana kibarua cha kuiokoa elimu nchini
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-_FNj4QjTAnc/XunJYvXFD_I/AAAAAAAC7wY/EPhqvB4bze0DngbR0Mb7ko4001VcRY6VgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpeg)
WAZIRI WA ELIMU PROF. NDALICHAKO ATANGAZA RATIBA ZA MITIHANI NA MASOMO
![](https://1.bp.blogspot.com/-_FNj4QjTAnc/XunJYvXFD_I/AAAAAAAC7wY/EPhqvB4bze0DngbR0Mb7ko4001VcRY6VgCLcBGAsYHQ/s400/1.jpeg)
Akizungumza na wandishi wa habari jijini Dodoma, Waziri Ndalichako amesema muhula wa kwanza wa masomo utamalizika Agosti 28 mwaka huu na kuanza kwa muhula mpya utakaoishia Desemba 18 mwaka huu.
Prof Ndalichako amesema ili kukamilisha muhtasari wa masomo shule...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FAVRxp5y-eI/Xkg4sprKj8I/AAAAAAALdgc/pDWswrxmxpc7qSGrnba1n3GE-1fuH_NfgCLcBGAsYHQ/s72-c/dcbf8941-1e6d-44b8-ac08-ba9a39510198.jpg)
PROF NDALICHAKO AWATAKA WATENDAJI KUSIMAMIA VIZURI FEDHA ZA MIRADI YA ELIMU
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Joyce Ndalichako ametoa rai kwa watendaji wa Taasisi zilizo chini ya wizara yake kusimamia vizuri fedha za miradi ya Elimu inayotelekezwa katika maeneo yao ili ikamilike kwa wakati na ubora.
Waziri Ndalichako ametoa rai hiyo Jijini Dar es Salaam wakati akizinduzia Jengo la Utawala la Chuo Kishiriki cha Elimu Dar es Salaam (DUCE) lililokarabatiwa na kuongeza ukubwa ambapo amesema Serikali imekuwa ikitoa fedha nyingi za miradi lakini haikamiliki...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-IHUDrC-TPYs/VQWF9SOCrvI/AAAAAAAHKfE/BzYPbLfV7ak/s72-c/unnamed%2B(27).jpg)
BARAZA LA TAIFA LA ELIMU YA UFUNDI(NACTE)LINAKARIBISHA MAOMBI YA KUJIUNGA NA UALIMU 2015/2016
![](http://2.bp.blogspot.com/-IHUDrC-TPYs/VQWF9SOCrvI/AAAAAAAHKfE/BzYPbLfV7ak/s1600/unnamed%2B(27).jpg)
10 years ago
Dewji Blog15 Mar
Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) linakaribisha maombi ya kujiunga na ualimu 2015/2016
Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) Dkt. Primus Nkwela (kushoto) akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) kwenye Makao makuu ya ofisi hizo Mikocheni B jijini Dar es Salaam, Wakati akiutangazia Umma juu ya kukaribisha maombi ya kujiunga na mafunzo ya Ualimu kwa mwaka wa masomo 2015/2016 kwa vijana waliomaliza kidato cha Nne Oktoba 2014. na wengine wenye sifa mbalimbali kama zinavyopatikana kwenye tovuti ya baraza hilo:www.necte.go.tz.Waombaji watakao...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-auILKFCV9aM/VOl-mDEsJ3I/AAAAAAAHFGA/oZ2JHFSb1L8/s72-c/004.jpg)
Dkt. Kawambwa azindua jengo jipya la Mitihani la Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE)
![](http://1.bp.blogspot.com/-auILKFCV9aM/VOl-mDEsJ3I/AAAAAAAHFGA/oZ2JHFSb1L8/s1600/004.jpg)