ndondi kuchapwa JUNI 21 Ulongoni B, GONGOLAMBOTO, Dar es salaam
Bondia Said Uwezo (kushoto) akifundishwa jinsi ya kutupa makonde na Shujaa Keyakeya wakati wa mazoezi yake ya kujiandaa kupambana na Thobias Adaut katika ukumbi wa Swai Pub uliopo Ulongoni 'B' huko Gongolamboto, Dar es salaam.
Bondia Abdallah Mbela kushoto akipiga ngumi kwa Said Uwezo wakati wa mazoezi ya kujianda kupambana mnamo Juni 21 mwaka huu. Uwezo atapambana na Thobias Adaut katika ukumbi wa Swai Pub huko Ulongoni 'B' Gongolamboto
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-RFSF5tvDd-0/VbFI53O6YNI/AAAAAAAHrYI/2rhfEX9_k1g/s72-c/unnamed%2B%252831%2529.jpg)
FRIENDS OF DEVELOPMENTS (FOD) na Bigright YAANDAA MAPAMBANO ya NDONDI JIJINI DAR ES SALAAM mwezi ujao
10 years ago
MichuziProgramu ya kukuza ajira zenye staha kwa vijana kuzinduliwa jijini Dar es Salaam juni 5, 2015
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-r4Rp-Nim--g/U5xSauvKLCI/AAAAAAAFqpM/da_Wg94nYAg/s72-c/Untitled1.png)
RATIBA YA UFUNGUZI WA MAADHIMISHO WIKI YA UTUMISHI WA UMMA, VIWANJA VYA MNAZI MMOJA, DAR ES SALAAM, TAREHE 16 JUNI 2014
![](http://2.bp.blogspot.com/-r4Rp-Nim--g/U5xSauvKLCI/AAAAAAAFqpM/da_Wg94nYAg/s1600/Untitled1.png)
OFISI YA RAIS, MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA
RATIBA YA UFUNGUZI WA MAADHIMISHO WIKI YA UTUMISHI WA UMMA, VIWANJA VYA MNAZI MMOJA, DAR ES SALAAM, TAREHE 16 JUNI 2014
MUDA TUKIO MHUSIKA 02.00-03.30 Burudani MC 03.30-04.00 Waalikwa Kuingia Uwanjani MC/Wageni Waalikwa 04.00-04.15 Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma Kuingia Uwanjani MC/ Kamati ya Mapokezi 04.15-04.30 Mgeni...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Dq75gLB3mK0/VZRpQrxJWgI/AAAAAAAHmVA/-763h8m8pXE/s72-c/unnamed%2B%252815%2529.jpg)
WARSHA YA KISAYANSI KUHUSU HUDUMA ZA HALI YA HEWA KUPITIA MODELI YA ‘PRECIS’, KUANZIA TAREHE 29 JUNI HADI 3 JULAI 2015, DAR ES SALAAM, TANZANIA.
11 years ago
Tanzania Daima24 Jul
Mafunzo ya ndondi kwa vitendo kuanza leo Dar
SHIRIKISHO la Ngumi za Kulipwa Tanzania (TPBC), leo linaanza kutoa mafunzo ya mchezo huo kwa vitendo kwa waamuzi na mabondia kwa lengo la kuuboresha. Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa TPBC,...
10 years ago
Michuzi06 Sep
VIJANA WAONYESHANA UMWAMBA KATIKA MAPAMBANO YA NDONDI JIJINI DAR
10 years ago
Vijimambo05 Jan
Bondia mtanzania Omari Kimweri anayetesa Australia kutoa sapoti ya mafunzo ya ndondi Dar
![](https://3.bp.blogspot.com/-W0lOaU1IF04/VKoU9uj9VaI/AAAAAAAAG0c/9pGg8y8LSGQ/s1600/kimweri.jpg)
NDONDI ni miongoni mwa michezo maarufu mno hapa Tanzania na duniani kwa ujumla.
Wapo wanamichezo waliojipatia heshima kubwa duniani kutokana na kufanikiwa kupitia mchezo wa ndondi.
Miongoni mwa wanamichezo hao ni nguli Mohammed Ali, Mike ‘Iron’ Tyson, Evender Holyfield, Floyd Mayweather, Manny Pacquiao na wengineo wengi.
![](https://2.bp.blogspot.com/-jVGECxfX8ZQ/VKoNc3m3EAI/AAAAAAAAG0A/X05YNo9_STk/s1600/876159-7bcf965c-4826-11e3-add9-a931c5f36f4d.jpg)
10 years ago
GPL08 May
10 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-bZnR9tmZ_rw/VA4W9K5DchI/AAAAAAAGiJk/QVCC2doAHvs/s1600/unnamed%2B%2813%29.jpg?width=650)
KIVUKO KIPYA (MV DAR ES SALAAM) KITAKACHOTOA HUDUMA KATI YA MWAMBAO WA BAHARI YA HINDI (DAR ES SALAAM NA BAGAMOYO) CHAKAMILIKA