Ndugai akerwa kusingiziwa kuwa mahututi
SPIKA wa Bunge, Job Ndugai ameeleza kusikitishwa na taarifa zinazosambazwa kwenye mitandao ya kijamii na katika baadhi ya vyombo vya habari zikieleza kuwa ni mgonjwa mahututi.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo21 Nov
Ndugai-Msirudie, naweza kuwa mbabe
WAKATI Rais John Magufuli akieleza kusikitishwa na vitendo vya kitoto vilivyofanywa bungeni na Kambi ya Upinzani jana, Spika wa Bunge, Job Ndugai amewataka wabunge wasimfanye awe Spika mbabe.
9 years ago
StarTV18 Nov
Job Ndugai achaguliwa kuwa spika, wabunge waapishwa
Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeanza vikao vyake mjini Dodoma kwa kumchagua Job Ndugai wa Chama cha Mapinduzi CCM kuwa spika wa bunge hilo kati ya wagombea wenzake nane kutoka vyama vya upinzani waliojitokeza kuwania nafasi hiyo.
Ndugai amepata kura 254 akifuatiwa na Dokta Ole Medeye wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA aliyepata kura 109 na wagombea wengine wakikosa kura yoyote.
Bunge la 11 limeanza vikao vyakao vyake majira ya 3 asubuhi kwa katibu wa bunge Dk...
11 years ago
Mwananchi04 Jun
Mawaziri saba ‘mahututi’
11 years ago
BBCSwahili15 Jul
Je wagonjwa mahututi wasaidiwe kufa?
11 years ago
GPLALIYEPIGWA NA CHID BENZ MAHUTUTI
9 years ago
Mtanzania28 Dec
Leticia Nyerere mahututi Marekani
*Apumulia mashine, familia yaanza kujipanga
Na Veronica Romwald, Dar es Salaam
HALI ya afya ya aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalumu kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Leticia Nyerere si nzuri.
Kwa mujibu wa chanzo chetu cha habari, Leticia amelazwa katika Hospitali ya Doctors Community iliyopo Maryland nchini Marekani.
Chanzo hicho kimeeleza kuwa mwanasiasa huyo amelazwa katika Chumba cha Wagonjwa Mahututi (ICU), ingawa haijafahamika anasumbuliwa na tatizo gani.
Tangu juzi...
11 years ago
BBCSwahili29 Jan
Jogoo wa langalanga bado mahututi
11 years ago
Mwananchi18 May
Tazara sasa ‘mahututi’ yaomba kusaidiwa