Ndugu wa Baltimore waliofungwa kimakosa kwa miaka 24 walipwa $3.8m
Kuachiliwa kwao kunajiri huku kukiwa na mjadala wa kitaifa wa jinsi ya kuifanyia mabadiliko idara ya polisi nchini Marekani.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili21 Nov
Wanawake walipwa kwa kunyonyesha watoto
Wanawake nchini Uingereza wanalipwa pesa ili kuwahamasisha kujenga tabia ya kunyonyesha watoto ipasavyo
10 years ago
BBCSwahili02 Dec
Awashitaki madaktari kwa kumpa ARV'S kimakosa
Mwanaume mmoja nchini Kenya amewashtaki madaktari watano kwa kumpima HIV halikadhalika kumpa dawa za ARV wala hakuwa na HIV.
10 years ago
Michuzi02 Sep
FATHER EVOD SHAO AAGWA KWA KISHINDO BALTIMORE MD.
![IMG_9800](http://sundayshomari.files.wordpress.com/2014/09/img_9800.jpg?w=714)
![IMG_9827](http://sundayshomari.files.wordpress.com/2014/09/img_9827.jpg?w=714)
![IMG_9927](http://sundayshomari.files.wordpress.com/2014/09/img_9927.jpg?w=714)
![IMG_9917](http://sundayshomari.files.wordpress.com/2014/09/img_9917.jpg?w=714)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hhL0MdDLp-U/UzWbuh4jAFI/AAAAAAAFXCY/kVZU6FZ3L-c/s72-c/8.jpg)
News alert mahakama ya rufaa yawaachia huru wachina wawili waliofungwa kwa kosa la kuvua samaki nchini kinyume na sheria
![](http://1.bp.blogspot.com/-hhL0MdDLp-U/UzWbuh4jAFI/AAAAAAAFXCY/kVZU6FZ3L-c/s1600/8.jpg)
10 years ago
Africanjam.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-ZGIw1mTzVPw/U2oNcLvVeSI/AAAAAAAAApY/qgSEiPpnvbw/s72-c/BABY.jpg)
MAKADIRIO YA WATOTO WANAOZALIWA NA KUPEWA KWA WAZAZI WASIO WAO KIMAKOSA
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZGIw1mTzVPw/U2oNcLvVeSI/AAAAAAAAApY/qgSEiPpnvbw/s1600/BABY.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NFpLPbeZNYDL8ksvzeClbb8PEBhs4Svbwt7L3f-QqjSBlYV1WkgvYun9c62ELVKV8c1z9hp89vC02t9ADxMQKCosRCdpmfux/FRANCIS.jpg?width=650)
FRANCIS BENARD; MIAKA 29 KITANDANI MUHIMBILI, HANA NDUGU!
ALIPOPANDA basi kutoka Tanga kuelekea Dar es Salaam mwezi fulani mwaka 1984, hakujua kama ilikuwa ni siku yake ya mwisho kuwa mzima, mwenye mwili mkakamavu uliokamilika viungo vyote. Akiwaacha nyuma mkewe, Veneranda Makamba na watoto wake wawili, Bashangi (aliyekuwa na umri wa miaka 12) na James (10), Francis Benard aliyekuwa na umri wa miaka 46 wakati huo, uzima wake ulikomea maeneo ya Mto Wami, ambako alipata ajali iliyomlaza...
10 years ago
Habarileo03 Nov
Waliofungwa kesi ya EPA waachiwa
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imewaachia huru wafanyabiashara watatu, wakiwemo mume na mke, waliokuwa wamehukumiwa kifungo cha miaka 13 na miezi sita jela kwa sababu ya wizi wa Sh bilioni 1.1 katika Akaunti ya Madeni ya Nje ya (EPA) ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT).
10 years ago
BBCSwahili10 Aug
Watoto 70 waliofungwa waokolewa Cameroon
Polisi waliojihami Cameroon wameivamia nyumba moja na kuwaokoa watoto wapatao 70 waliokuwa wamefungwa.
9 years ago
Bongo528 Oct
Mradi wa Mavoko kusaidia watoto waliofungwa jela wakwama
Rich Mavoko amedai amekwamishwa na wahusika wa magereza za watoto katika mradi wake wa kuwatembelea watoto waliofungwa jela na kuwapa mahitaji yao. Mwaka jana Mavoko alijitangaza kuwa ni balozi wa watoto waliofungwa baada ya yeye kupitia maisha magumu kama hayo. Mavoko ameiambia Bongo5 kuwa maofisa wa magereza wamekuwa wakimpiga kalenda kila siku. “Ile tumeshindwa kuitangaza […]
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania