Mradi wa Mavoko kusaidia watoto waliofungwa jela wakwama
Rich Mavoko amedai amekwamishwa na wahusika wa magereza za watoto katika mradi wake wa kuwatembelea watoto waliofungwa jela na kuwapa mahitaji yao. Mwaka jana Mavoko alijitangaza kuwa ni balozi wa watoto waliofungwa baada ya yeye kupitia maisha magumu kama hayo. Mavoko ameiambia Bongo5 kuwa maofisa wa magereza wamekuwa wakimpiga kalenda kila siku. “Ile tumeshindwa kuitangaza […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili10 Aug
Watoto 70 waliofungwa waokolewa Cameroon
10 years ago
MichuziFISA USTAWI WA JAMII NA MAENDELEO YA JAMII AKITEMBELEA MRADI WA SHIRIKA LA KUSAIDIA WATOTO WA MITAANI JIJINI ARUSHA
.
11 years ago
Tanzania Daima01 Jun
WAMA ni mradi wa kusaidia CCM au ulaji?
UKISIKIA Wama inatamkwa ujue hapa inazungumziwa asasi isiyo ya serikali, inayoshughulikia Wanawake na Maendeleo. Asasi hii iliyoanzishwa mara baada ya Rais Jakaya Kikwete, kuingia madarakani mwaka 2006, imeibua mjadala bungeni....
10 years ago
Habarileo15 Feb
Mradi wa ‘Sauti Yetu’ kusaidia wenye VVU
SHIRIKA lisilo la kiserikali linalohamasisha na kutetea haki za binadamu la WCSA linatekeleza mradi wa Sauti Yetu unaowalenga kuwasaidia watu wanaoishi na Virusi Vya Ukimwi (VVU) na Ukimwi ili sauti zao ziweze kusikika.
10 years ago
MichuziNBC YAMWAGA MILIONI 62 KUSAIDIA MRADI WA USIMAMIZI WA TAKA
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/130.jpg)
AIRTEL KUPITIA MRADI WA TUNAKUJALI WAENDELEA KUSAIDIA SHULE HAPA NCHINI
11 years ago
Tanzania Daima14 Jul
Wadau waombwa kusaidia watoto
SERIKALI na sekta mbalimbali zimeombwa kuguswa na tatizo la watoto wa mitaani ambalo ni janga la taifa. Hayo yalizungumzwa na mama Mlezi wa Kituo cha watoto yatima na waishio katika...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mDyU6A0pbsQ/XossUeR9FjI/AAAAAAALmKc/uM7WO3j4uFASfsM4kU5FIDCuYyMhst-ygCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-06%2Bat%2B12.13.01%2BPM.jpeg)
TAKUKURU DODOMA YAOKOA MILIONI 297 NA KUSAIDIA KUKAMILIKA MRADI WA MAJI UTAKAOHUDUMIA WANANCHI 5000
![](https://1.bp.blogspot.com/-mDyU6A0pbsQ/XossUeR9FjI/AAAAAAALmKc/uM7WO3j4uFASfsM4kU5FIDCuYyMhst-ygCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-06%2Bat%2B12.13.01%2BPM.jpeg)
Charles James, Michuzi TVTAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Mkoa wa Dodoma katika kufuatilia miradi ya maendeleo imewezesha mradi wa maji wa kijiji cha Mlongia wilayani Chemba kutoa maji na kuwafaidisha wananchi zaidi ya 5000 ambao awali hawakua na huduma ya maji.
Mradi huo...
9 years ago
Bongo519 Dec
Diva kusaidia watoto yatima siku ya Christmas
![11917989_166629733673746_101973509_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/11917989_166629733673746_101973509_n-1-300x194.jpg)
Mtangazaji wa Clouds FM, Diva Gissele Malinzi aka The Bawse kupitia Diva Giving For Charity na Foundation yake ya Diva Foundation anatarajia kutoa msaada kwenye vituo vinavyolea watoto yatima.
Ili kufanikisha shughuli hiyo, Diva anaomba watu mbalimbali wamuunge mkono.
Kama una msaada wako wasiliana naye kwa number 0656 336919. Diva pia anapigwa tafu na Sigwa Herbal Clinic.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za...