Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mradi wa Mavoko kusaidia watoto waliofungwa jela wakwama

Rich Mavoko amedai amekwamishwa na wahusika wa magereza za watoto katika mradi wake wa kuwatembelea watoto waliofungwa jela na kuwapa mahitaji yao. Mwaka jana Mavoko alijitangaza kuwa ni balozi wa watoto waliofungwa baada ya yeye kupitia maisha magumu kama hayo. Mavoko ameiambia Bongo5 kuwa maofisa wa magereza wamekuwa wakimpiga kalenda kila siku. “Ile tumeshindwa kuitangaza […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Watoto 70 waliofungwa waokolewa Cameroon

Polisi waliojihami Cameroon wameivamia nyumba moja na kuwaokoa watoto wapatao 70 waliokuwa wamefungwa.

 

10 years ago

Michuzi

FISA USTAWI WA JAMII NA MAENDELEO YA JAMII AKITEMBELEA MRADI WA SHIRIKA LA KUSAIDIA WATOTO WA MITAANI JIJINI ARUSHA

 Afisa ustawi wa jamii na Maendeleo ya jamii jijini Arusha  Mwantumu Dossi akitembelea mradi wa shamba la mahindi unaoendeshwa na taasisi ya Gola Foundation jana katika kituo cha Kufikia watoto wa mitaani,katikati ni Mkurugenzi wa shirika hilo  Elisha Maghembe.Picha na Mahmoud Ahmad
.

 

11 years ago

Tanzania Daima

WAMA ni mradi wa kusaidia CCM au ulaji?

UKISIKIA Wama inatamkwa ujue hapa inazungumziwa asasi isiyo ya serikali, inayoshughulikia Wanawake na Maendeleo. Asasi hii iliyoanzishwa mara baada ya Rais Jakaya Kikwete, kuingia madarakani mwaka 2006, imeibua mjadala bungeni....

 

10 years ago

Habarileo

Mradi wa ‘Sauti Yetu’ kusaidia wenye VVU

SHIRIKA lisilo la kiserikali linalohamasisha na kutetea haki za binadamu la WCSA linatekeleza mradi wa Sauti Yetu unaowalenga kuwasaidia watu wanaoishi na Virusi Vya Ukimwi (VVU) na Ukimwi ili sauti zao ziweze kusikika.

 

10 years ago

Michuzi

NBC YAMWAGA MILIONI 62 KUSAIDIA MRADI WA USIMAMIZI WA TAKA

Meneja Miradi wa Envirocare, Bw Isreal Richard (kulia) akizungumza wakati wa ufunguzi wa semina ya siku moja ya mradi wa majaribio wa usimamizi wa taka kwa utunzaji mazingira na ustawi wa jamii jijini Dar es Salaam leo. Mradi unaendeshwa na Envirocare kwa ufadhili wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC).Ofisa Afya Mazingira wa Manispaa ya Kinondoni, Kawa Kafuru (kulia) akizungumza na washiriki wa semina hiyo.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

9 years ago

GPL

AIRTEL KUPITIA MRADI WA TUNAKUJALI WAENDELEA KUSAIDIA SHULE HAPA NCHINI

Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania, Sunil Colaso akizungumza kabla ya kukabidhi darasa la awali ‘Chekechea’ lililokarabatiwa kwa hisani ya Wafanyakazi wa Airtel kama sehemu ya huduma kwa jamii, katika Shule ya Msingi Kumbukumbu iliyopo Block 41, jijini Dar es Salaam jana.  Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania, Sunil Colaso akikata utepe kama ishara ya kukabidhi darasa la awali ‘Chekechea’, lililokarabatiwa kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wadau waombwa kusaidia watoto

SERIKALI na sekta mbalimbali zimeombwa kuguswa na tatizo la watoto wa mitaani ambalo ni janga la taifa. Hayo yalizungumzwa na mama Mlezi wa Kituo cha watoto yatima na waishio katika...

 

5 years ago

Michuzi

TAKUKURU DODOMA YAOKOA MILIONI 297 NA KUSAIDIA KUKAMILIKA MRADI WA MAJI UTAKAOHUDUMIA WANANCHI 5000

Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Mkoa wa Dodoma (TAKUKURU) Sosthenes Kibwengo akizungumza na wandishi wa habari ofisini kwake leo kuhusiana na tathimini ya robo ya mwaka kwa mwezi Januari hadi Machi.
Charles James, Michuzi TVTAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Mkoa wa Dodoma katika kufuatilia miradi ya maendeleo imewezesha mradi wa maji wa kijiji cha Mlongia wilayani Chemba kutoa maji na kuwafaidisha wananchi zaidi ya 5000 ambao awali hawakua na huduma ya maji.

Mradi huo...

 

9 years ago

Bongo5

Diva kusaidia watoto yatima siku ya Christmas

11917989_166629733673746_101973509_n

Mtangazaji wa Clouds FM, Diva Gissele Malinzi aka The Bawse kupitia Diva Giving For Charity na Foundation yake ya Diva Foundation anatarajia kutoa msaada kwenye vituo vinavyolea watoto yatima.

11917989_166629733673746_101973509_n

Ili kufanikisha shughuli hiyo, Diva anaomba watu mbalimbali wamuunge mkono.

Kama una msaada wako wasiliana naye kwa number 0656 336919. Diva pia anapigwa tafu na Sigwa Herbal Clinic.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani