New Music: Obriz – Penzi
Wimbo mpya wa msanii chipukizi, Obriz ‘Penzi’ uliotayarishwa na Rash Don wa Kiri Records.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo517 Oct
Music: M.Pyii Da Silver Ft Ney Lee — Lishe Ya Penzi
9 years ago
Bongo515 Dec
Music: Promise Ft. Chege & Mucky – Nipe Penzi

Huu ni wimbo mpya wa msanii PROMISE akiwashirikisha CHEGE na MUCKY, Wimbo unaoitwa “NIPE PENZI” umetayarishwa na Producer MR T TOUCH ikiwa ni Love and Dance song.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
10 years ago
Michuzi
African in New York Episode 23: Music From The Tanzanian Diapora: The Authenticity of Modern Music
9 years ago
Global Publishers25 Dec
Penzi Kabla Ya Kifo-12
ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA
Elizabeth alibaki akiwa amesimama kama nguzo ya umeme, hakuamini kile kilichotokea, moyo wake ulikuwa kwenye maumivu makali mno, hakutingishika, alibaki vilevile na ghafla machozi yakaanza kumbubujika mashavuni mwake.
ENDELEA NAYO…
Usiku, hakulala, alikesha huku mawazo yake yakiwa kwa Edson tu. Kila wakati aliishika simu ile na kuiangalia namba ya Edson, alitamani kumpigia na kuzungumza naye, japokuwa alikuwa ametukanwa lakini hilo wala halikuwa tatizo, vitisho...
11 years ago
GPL
TIMBULO NA PENZI LA SKAINA
11 years ago
GPL
KISA PENZI LA BURE
10 years ago
GPL
UTAMU NA CHUNGU YA PENZI NI 50%
10 years ago
GPL
MASOGANGE, DAVIDO PENZI...
9 years ago
Global Publishers01 Jan
Penzi Kabla Ya Kifo-13
Mwanamke bilionea mwenye kiu ya kupata mtoto, Elizabeth Marcel anajikuta akitukanwa na mume wa mtu kisa tu alikuwa akimpenda na kumtaka kimapenzi. Hilo, linamuumiza mno na kuamua kuachana naye kisha kusonga na maisha yake pasipo kujua Mungu amemuandalia kitu gani mbele yake.
SONGA NAYO…
Baada ya miezi miwili kupita, hatimaye maumivu yakawa yamepungua, hakumkumbuka tena Edson, aliamua kuachana naye na kufanya ishu zake nyingine. Safari hazikuisha, hakuwa mtu wa kutulia, leo alikuwa akienda...