Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


New Music: Obriz – Penzi

20151201063048

Wimbo mpya wa msanii chipukizi, Obriz ‘Penzi’ uliotayarishwa na Rash Don wa Kiri Records.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Music: M.Pyii Da Silver Ft Ney Lee — Lishe Ya Penzi

Msanii mpya anaitwa M.Pyii Da Silver wimbo unaitwa “Lishe Ya Penzi” amemshirikisha Mwanadada Ney Lee. Producer C9 Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Music: Promise Ft. Chege & Mucky – Nipe Penzi

Promise-Nipe-Penzi

Huu ni wimbo mpya wa msanii PROMISE akiwashirikisha CHEGE na MUCKY, Wimbo unaoitwa “NIPE PENZI” umetayarishwa na Producer MR T TOUCH ikiwa ni Love and Dance song.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Michuzi

African in New York Episode 23: Music From The Tanzanian Diapora: The Authenticity of Modern Music

Tina Kakolaki is a Tanzanian born musician who resides in the United States. She sings in Haya, Swahili and English. With two albums already in the market and one still a work in progress, Tina has attracted a significant number of fans worldwide.  As a member of the Tanzanian Diaspora, Tina has embraced both the Tanzanian and the American cultures and her music speaks for itself carrying the message of love. Moreover, Tina has become one of the musicians in the United States who still have...

 

9 years ago

Global Publishers

Penzi Kabla Ya Kifo-12

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA
Elizabeth alibaki akiwa amesimama kama nguzo ya umeme, hakuamini kile kilichotokea, moyo wake ulikuwa kwenye maumivu makali mno, hakutingishika, alibaki vilevile na ghafla machozi yakaanza kumbubujika mashavuni mwake.
ENDELEA NAYO…

Usiku, hakulala, alikesha huku mawazo yake yakiwa kwa Edson tu. Kila wakati aliishika simu ile na kuiangalia namba ya Edson, alitamani kumpigia na kuzungumza naye, japokuwa alikuwa ametukanwa lakini hilo wala halikuwa tatizo, vitisho...

 

11 years ago

GPL

TIMBULO NA PENZI LA SKAINA

Stori: Mayasa Mariwata
CHIPUKIZI wa Bongo Fleva, Ally Timbulo amefunguka kuwa alimwagana na mwigizaji Skyner Ally ‘Skaina’ kwani aligundua kuwa ana uhusiano na Mbongo Fleva mwenzake, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’. ‘Akikonfesi’ mbele ya kinasa sauti cha Ijumaa Wikienda, Timbulo alisema ishu hiyo ilitokea miaka kadhaa iliyopita ambapo ‘alimsarendia’ mlimbwende huyo ili awe...

 

11 years ago

GPL

KISA PENZI LA BURE

Stori:Denis Mtima na Gabriel Ng’osha Shabaash! Jamaa ambaye jina halikupatikana aliyedai kuwa ni mume wa mtu, ameonja joto ya jiwe baada ya kujikuta akikunjwa na mwanamke kisa penzi la bure alilopewa akashindwa kulilipia. Jamaa anayedaiwa kuwa mume wa mtu akiwa amekunjana na mwanamke baada ya kupewa penzi na kukataa kulipa. Wakiwa kwenye ‘patroo’ zao za kufichua uovu, makamanda wa Oparesheni Fichua Maovu...

 

10 years ago

GPL

UTAMU NA CHUNGU YA PENZI NI 50%

Kama ilivyo ada wapenzi wasomaji wa safu hii karibuni kwa Jumanne nyingine katika kuelimishana na kujuzana kuhusu uhusianao na maisha.Kabla sijaanza mada ya wiki hii napenda kuwakumbusha mada ya wiki iliyopita kutamani au kuwa na mtu anayekufaa wakati wewe mwenye hujajitathmini kama unamfaa. Ni matumaini yangu wasomaji wangu mtakuwa mmejifunza mengi kuhusu mada iliyopita, leo nitazungumza nanyi kuhusu utamu na uchungu wa penzi...

 

10 years ago

GPL

MASOGANGE, DAVIDO PENZI...

Agness Gerald ‘Masogange’ na staa wa muziki nchini Nigeria ‘Naija’, David Adedeji Adeleke ‘Davido’ wakijiachia katika klabu moja ya usiku nchini Afrika Kusini. Mwandishi wetu PENZI ni kikohozi, kulificha huwezi! Habari ya mjini kwa sasa ni mahaba niue ya muuza nyago kwenye nyimbo za wanamuziki wa Bongo Fleva, Agness Gerald ‘Masogange’ na staa wa muziki nchini Nigeria...

 

9 years ago

Global Publishers

Penzi Kabla Ya Kifo-13

Mwanamke bilionea mwenye kiu ya kupata mtoto, Elizabeth Marcel anajikuta akitukanwa na mume wa mtu kisa tu alikuwa akimpenda na kumtaka kimapenzi. Hilo, linamuumiza mno na kuamua kuachana naye kisha kusonga na maisha yake pasipo kujua Mungu amemuandalia kitu gani mbele yake.
SONGA NAYO…

Baada ya miezi miwili kupita, hatimaye maumivu yakawa yamepungua, hakumkumbuka tena Edson, aliamua kuachana naye na kufanya ishu zake nyingine. Safari hazikuisha, hakuwa mtu wa kutulia, leo alikuwa akienda...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani