New Music: Recho — Naringa
Hii ni ngoma nyingine kutoka kwa Mwanadada Recho ambayo imetoka hivi karibuni imesambaa katika mitandao mingi Recho anasema hafahamu nani ameivujisha hii ngoma imefanyika katika Studio za Kiri Records ngoma inaitwa “Naringa”
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo508 Nov
New Music: Lamar f/ Recho — Replay (Refix)
Refix nyingine kutoka kwa Lamar ya wimbo wa Recho ‘Replay’.
11 years ago
GPL05 Jun
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0PKyB0rYTqoCUxMpuHvHy4BEgDYgmDSJrDPZIP729LIl2tAp73vJy4FauyIoxLy2ZeCINwMn3VCR1CiZoUoZ-vgS1Ar2iRrz/snura.jpg?width=650)
RECHO: NIMEACHA UTOTO
Stori: Gladness Mallya
MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Rachel Haule ‘Recho’, amefunguka kuwa ameona umri umeanza kumtupa mkono hivyo ameacha kufanya matukio ya kitoto ambayo alikuwa akiyafanya kipindi cha nyuma. Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Rachel Haule ‘Recho’. Pasipo kuainisha matukio ya utoto aliyoyafanya, Recho alisema:
“Nimekua sasa, yale mambo ya kitoto tupa kule sasa naangalia zaidi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LAl787uzrCAZuYnr*TSQS4g81EJCNvNOwrkM*ZhL*V9*Q73WjLVT5PeG2NqCpz*rw3JrQIyWxQy3Cqot18ckwbQYixJ7GTky/DSC_0462.jpg?width=650)
HUYU RECHO NI TATIZO!
Msanii na Sexy lady wa Bongo Fleva, Winfrida Josephat ‘Recho’ akifanya vitu vyake jukwaani. Stori: Mayasa Mariwata na Denis Mtima Ni tatizo! Sexy lady wa Bongo Fleva, Winfrida Josephat ‘Recho’ ametia fora baada ya kutinga kipensi kilichoonesha sawia maungo yake nyeti. ...Akizidi kufanya yake. Ishu hiyo ya aibu ilijiri kwenye Ukumbi wa Sun Ciro uliopo Ubungo, Dar… ...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MjUiWVyv*JJoClo4omQ1fzYD--5fqPWclFMjkS4LLAOvd9oaIWytcleQoLeoaYY89OuCH47P9cqs5tBWF*onVvuxylDA-Qx-/recho.jpg)
KIFO CHA RECHO...
Na Waandishi Wetu
Maskini! Wakati tasnia ya filamu Bongo ikiwa katika majonzi ya kuondokewa na ‘dairekta’ na mwigizaji mkubwa, Adam Phillip Kuambiana (38), pigo lingine limetokea kwa wasanii hao kwa kuondokewa na kichwa kingine, Sheila Haule ‘Recho’ (26).Recho alikutwa na umauti Mei 26, mwaka huu katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dar alipokuwa amelazwa baada ya kujifungua kwa oparesheni Mei 25,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YWMj-J29SNzB3kGvp5sfZzyjvEeqcqrswtr-uSG*WF3GyFN0P98aVvT7lM0PfBMEBJqhv7A6QdcyZwkXwNIQM4BZP*MzSdtA/recho.jpg)
SIMULIZI YA RECHO INAUMA
Stori: Waandishi Wetu
HUKU makovu ya machungu ya kifo cha msanii wa filamu za Kibongo, Rachel (Sheila) Leo Haule ‘Recho’ yakiwa bado hayajakauka, Risasi Jumamosi linakupa simulizi yenye maumivu kuhusu marehemu huyo. Mchumba wa marehemu Saguda akilia kwa uchungu. Recho alifariki dunia Mei 27, mwaka huu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alipokuwa amelazwa kwenye chumba cha wagonjwa wanaohitaji uangalizi...
10 years ago
Bongo513 May
I’m still very single — Recho Kizunguzungu
Recho is single and ready to mingle guys. Akiongea na Bongo5 hivi karibuni, Recho amedai kuwa bado hajampata mwanaume anayeweza kumuita wake na ambaye huenda wanaweza kuzaa watoto pamoja. “Bado nipo single, nafanya kazi kwanza, wanaume wapo,” alisema Recho baada ya kicheko kirefu. Recho anaamini kuwa ni rahisi kwa msichana mrembo na staa kama yeye […]
10 years ago
Vijimambo12 Oct
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/R*tm0ukPJZcJjc-cFlCFydPONc6eWwrTjtIH5e9b-MrHLYBtgbqFoTarbnxhumdXQ4Flm8EPN*Wkcss6NGpTOTr-19Pcnj07/rachel.jpg)
UCHAWI KABURINI KWA RECHO
Richard bukos na ISSA MNALLY AMA kweli duniani imani imekwisha! Ikiwa inakaribia miezi miwili tangu kifo cha msanii wa filamu Bongo, Rachel Leo Haule, vitu vya kutisha vinavyoashiria mambo ya uchawi vimekutwa juu ya kaburi lake, Kinondoni jijini Dar. Tunguli za kichawi zikiwa juu ya kaburi la Marehemu Recho Haule. Tukio hilo…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania