UCHAWI KABURINI KWA RECHO
Richard bukos na ISSA MNALLY AMA kweli duniani imani imekwisha! Ikiwa inakaribia miezi miwili tangu kifo cha msanii wa filamu Bongo, Rachel Leo Haule, vitu vya kutisha vinavyoashiria mambo ya uchawi vimekutwa juu ya kaburi lake, Kinondoni jijini Dar. Tunguli za kichawi zikiwa juu ya kaburi la Marehemu Recho Haule. Tukio hilo…
GPL
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania