ALBINO WAANGUA KILIO KABURINI KWA NYERERE
![](http://api.ning.com:80/files/UQSvRDwuxJJGN1gLplPuzTu0U5vc0ULzUR2HxG-hI78nLlQfM8Pm5klD5bFkf2HiaBkJ6jX-mK4oYBdPg2GY8sCAAfsMiZy7/d.jpg?width=650)
Gabriel Ng’osha WATU wenye ulemavu wa ngozi, ambao ni wanachama wa Chama cha Maalbino Mkoa wa Mwanza, wakiwa na wanaharakati wengine, mwishoni mwa wiki iliyopita walitembea kwa miguu kutoka jijini humo hadi Butiama, liliko kaburi la Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere na kuangua kilio cha nguvu, wakilalamika kutotendewa haki ndani ya nchi aliyoiacha salama. Walemavu hao wa ngozi wakilia mbele ya kaburi la Baba wa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi20 Dec
Wakulima waangua kilio mahakamani
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZahK2JNbKSt9u2uuqgUeBWBGcNFmyRY*jbPRMmEvaGy8NJdbjAPoBj547C04u6p2zqvMIVY81LLQ4y47g2NMEmfVgZxZ16hk/wema.jpg?width=650)
WEMA AMWAGA CHOZI KABURINI KWA NYERERE!
10 years ago
BBCSwahili10 Dec
Kilio cha Albino Tanzania
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/R*tm0ukPJZcJjc-cFlCFydPONc6eWwrTjtIH5e9b-MrHLYBtgbqFoTarbnxhumdXQ4Flm8EPN*Wkcss6NGpTOTr-19Pcnj07/rachel.jpg)
UCHAWI KABURINI KWA RECHO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DmWKX8GKoMkQucAeEyjY3zoNF5Wp07cge*gWNm*v8Uet2PGtQabxLpnPQdTE1HRC7fgssuCAh7gpX0vAshSqfK-4YpQF5Oeg/ngweacopy.jpg?width=650)
PADRI AKUTA TUNGULI KABURINI KWA NGWEA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9nG191KtIdiPExfrYkWXkm92ixZgRqFcC4pQM*-JtJVDk8T1CV7d9vs2GIxk1X8YLUIRqZIQTKsinIKAiUqaXnZDFrBQhrPw/FRONTRISASI.jpg)
WEMA, AUNT KICHEKO KABURINI KWA NGWEA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QsYVKE-pbjZ0MvMlY72WoREwIc563VzavC5UggkrxZeKHhOQYluYaN4taOS6znQVBAuEAj33wtvo*UbjDVQQNA8jscpII3dK/FRONTJUMATANO.jpg?width=650)
WEMA AFUNGA MWAKA KWA KILIO!
10 years ago
BBCSwahili03 Dec
Kilio na majonzi kwa waliouawa Mandera
9 years ago
Mwananchi20 Dec
Yafaa kutafakari kilio cha TLS kwa Ma-DC