New Music Video: Timbulo — Nakumiss Miss
Msanii Timbulo ameachia rasmi video yake mpya ‘Nakumiss Miss’ ambayo imeongozwa na director Pablo. Hii ni video ya pili kutolewa na msanii nhuyo kwa mwaka huu, baada ya ‘Niende Zangu aliyomshirikisha Rich Mavoko.
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo521 Dec
Miss Universe 2015: Mc amtangaza Miss Colombia kimakosa kuwa mshindi, na baadaye kumvua taji na kumvisha mshindi halali Miss Philippines (Video/Picha)

Shindano la kumtafuta Miss Universe 2015 limefanyika Jumapili Dec.19 huko Hollywood, Marekani, ambapo Pia Alonzo Wurtzbach wa Philippines alitangazwa mshindi.
Miss Universe 2015 Pia Alonzo
Kabla ya Pia kutangazwa mshindi ilijitokeza hali ya sintofahamu, pale ambapo Mc wa tukio hilo Steve Harvey alipomtangaza kimakosa Miss Colombia kuwa ndio mshindi na kuvishwa kabisa taji.
Kwa dakika kadhaa Miss Colombia alikaa na taji hilo huku akipunga bendera ya nchi yake akionekana mwenye furaha.
Miss...
10 years ago
Dewji Blog26 Nov
VIDEO: Watanzania tumpe support Miss Tanzania Happiness Watimanywa kwenye shindano la Miss World 2014â€â€Ž
Happiness Watimanywa (20) aliyekuwa Redds Miss Tanzania 2013 sasa yuko jijini London Uingereza kwa ajili ya kuiwakilisha Tanzania katika mashindano ya Miss World 2014.
Happiness ambaye kwa sasa anashikilia taji la Miss World Tanzania 2014 amesema ana kila sababu ya kurudisha taji nyumbani ikiwa watanzania watamuunga mkono kwa kusambaza video zake katika mitandao mbalimbali ya kijamii.
“Hebu angalia uzuri wa taifa letu, amani, upendo na vivutio mbalimbali vya utalii. Hebu niangalie na mimi...
10 years ago
Dewji Blog17 Nov
9 years ago
Bongo514 Dec
New Music: Miss KK – Anginandaba

Ngoma mpya ya msanii wa Tanzania anayeishi Durban, Afrika Kusini, Miss KK. Inaitwa Anginandaba na ameiamba kwa Kiswahili na Kizulu.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
11 years ago
GPL
TIMBULO NA PENZI LA SKAINA
10 years ago
Bongo512 Jan
New Music: Mike Tee — I Miss You
10 years ago
Vijimambo
11 years ago
GPL
ALLY TIMBULO ATISHIWA KUUAWA
11 years ago
Michuzi
MO MUSIC KUTUMBUIZA MISS CHANG'OMBE

MKALI wa kibao cha Basi Nenda Moshi Katemi 'Mo Music' anatarajia kutumbuiza katika shindano la kanda ya Temeke, litakalofanyika Julai 27, katika ukumbi wa TCC Club Chang’ombe. Mo Music ambae anatamba na kibao hicho atakuwa sambamba na bendi ya Ruvu Stars, mchekeshaji nyota na msanii wa muziki Mussa 'Kitale' na...