New TPSF chair to be known in September
New TPSF chair to be known in September The Citizen Daily
The Citizen Daily
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBC18 Sep
Africa in pictures: 11 September-17 September 2015
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/77552000/jpg/_77552322_ivorycoastebolareu.jpg)
Africa in pictures: 05 September - 11 September 2014
9 years ago
BBC11 Sep
Africa in pictures: 4 September-10 September 2015
11 years ago
Tanzania Daima12 May
TPSF: Watanzania fanyeni biashara na UN
TAASISI ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) imehamasisha jumuiya ya wafanyabiashara nchini kuchangamkia fursa za biashara katika Umoja wa Mataifa (UN). Wito huo ulitolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa TPSF, Godfrey Simbeye,...
10 years ago
Tanzania Daima01 Sep
TPSF yasisitiza matumizi ya Tehama
TANZANIA imeshauriwa kujikita zaidi katika matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) ili kuimarisha utendaji wa biashara hasa mipakani. Imesemekana pamoja na kuwepo kwa mifumo mingi inayoweza kusaidia kuongeza...
10 years ago
Mtanzania21 Apr
TPSF yataka mageuzi ya viwanda
Na Christina Gauluhanga, Dar es Salaam
SERIKALI imetakiwa kuharakisha mageuzi ya viwanda ili kukuza soko la biashara nchini na kuongeza pato la taifa.
Akizungumza na MTANZANIA jijini Dar es Salaam jana, Mwenyekiti Mtendaji wa Sekta Binafsi (TPSF), Godfrey Simbeye, alisema maboresho ya viwanda yatasaidia bidhaa nyingi kununuliwa nchini.
Alisema kasi ya uingizaji wa bidhaa kutoka nje ya nchi imeongezeka ambapo mwaka huu zimefikia dola za Marekani bilioni 5 ikilinganishwa na mwaka jana ambapo...
10 years ago
IPPmedia16 Jun
TPSF forms partnership with SMEs lobby
IPPmedia
Tanzania Private Sector Foundation chairman Dr Reginald Mengi briefs journalists in Dar es Salaam yesterday. The Tanzania Private Sector Foundation (TPSF) has joined hands with the Tanzania Business Community to make use of available economic ...
11 years ago
Tanzania Daima05 Jul
TPSF kuanzisha soko la bidhaa ghafi
TAASISI ya Sekta Binafsi (TPSF) inatarajia kuanzisha soko la bidhaa ghafi litakalowasaidia wakulima kuwa na bei elekezi za mazao yao. Kauli hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam jana na Mwenyekiti...
10 years ago
Habarileo03 Dec
TPSF yachangia mil.20/- wabunge wanawake
TAASISI ya sekta binafsi Tanzania (TPSF) jana ilichangia Sh milioni 19.5 kuwasaidia wabunge wanawake wa majimbo kisiasa na kiuchumi.