NFRA yashindwa kulipa milioni 600
WAKALA wa Akiba ya Chakula wa Taifa (NFRA), ameshindwa kulipa deni la zaidi ya sh. milioni 600 zinazodaiwa na Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa kutoka kwenye ushuru wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili01 Jul
Ugiriki yashindwa kulipa deni la IMF
Ugiriki imeshindwa kulipa deni la IMF wakati muda uliokuwa umepangwa kulipa deni hilo ukimalizika
10 years ago
Habarileo08 Mar
Milioni 85 kutumika kulipa fidia Ruangwa
NAIBU Waziri wa Maji Amosi Makala amewahakikishia wananchi wa kijiji cha Chinongwe wilayani Ruangwa kwamba Wizara ya Maji imesikia kilio chao cha muda mrefu kuhusu fidia katika mradi wa usambazaji wa maji kupitia mradi mkubwa wa Mbwinji na kwamba tayari fedha za fidia hizo zimeshapatikana.
10 years ago
Mwananchi30 Mar
RT yasaka Sh9 milioni kulipa deni la tiketi
Licha ya kuingia kwenye 10 bora ya riadha duniani, Shirikisho la Riadha Tanzania (RT) linahaha kusaka Dola 5904 (sawa na Sh 9, 446, 400) kulipia deni la tiketi za wanariadha walioiwakilisha nchi kwenye mbio za dunia za nyika.
10 years ago
BBCSwahili09 Apr
Ugiriki kulipa deni la dola milioni 450
Ugiriki inatarajiwa leo Alhamisi kulipa nusu ya deni lake la dola milioni 450 inayodaiwa na shirika la fedha Duniani IMF.
5 years ago
MichuziRAIA WAWILI WA INDIA WAHUKUMIWA, KULIPA FAINI YA SH. MILIONI 230
Na Karama...
5 years ago
Michuzi
MWANDISHI ERICK KABENDERA AHUKUMIWA KULIPA SHILINGI MILIONI 273, MAHAKAMA YAMUACHIA HURU

MWANDISHI maarufu wa Habari za uchunguzi Erick Kabendera amehukumiwa kulipa faini na Fidia ya jumla ya sh. Milioni 273 baada ya kukiri makosa ya utakatishaji fedha na kukwepa kodi.
Aidha Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuhukumu Kabendera kulipa faini ya sh.250,000 ama kutumikia kifungo cha miezi mitatu jela baada ya kukiri kosa la kukwepa kodi huku pia akifutiwa kosa la kuongoza genge la uhalifu.
Hata hivyo mshtakiwa Kabendera ameishalipa Sh. Milioni 100 na...
5 years ago
Michuzi
RAIA WA CAMEROON AHUKUMIWA KULIPA FAINI YA SH. MILIONI 100 AMA KWENDA JELA MIAKA MITATU

Pia Mahakama imeamuru kutaifishwa kwa USD 84,300 alizokutwa nazo mshtakiwa.
Hukumu hiyo imesomwa na Hakimu Mkazi Mwandamizi, Rashidi Chaungu baada ya mshtakiwa kukiri kosa lake.
Kabla ya kusomwa kwa hukumu hiyo Wakili wa Serikali Mkuu, Shadrack Kimaro aliomba mahakama pamoja na adhabu ya kulipa faini aliomba...
10 years ago
Bongo517 Aug
Wasanii wa Tanzania watakaotaka kufanya show Mombasa wanatakiwa kulipa Tsh Milioni 4 ili kupewa kibali
Gazeti la The Star la Kenya limeripoti kuwa wasanii kutoka nje ya Mombasa watakaoenda kufanya maonesho mjini humo, watalazimika kulipa kiasi kikubwa cha pesa ili kupewa kibali. Gazeti hilo limemnukuu Gavana wa Mombasa akisema kuwa , wasanii kutoka mikoa mingine nje ya Mombasa ikiwa ni pamoja na wale wa Nairobi , watalazimika kulipa shilingi ya […]
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania