Ngeleja: Wapinzani wazushi
MBUNGE wa Sengerema, William Ngeleja (CCM), ameitaka Kambi Rasmi ya Upinzani, kuijibu Serikali kwa kutumia takwimu badala ya kuwalisha Watanzania takwimu za kupika. Alisema hayo juzi usiku alipokuwa akichangia hotuba ya Bajeti Kuu ya Serikali, ambapo alitoa mifano ya nchi zilizoendelea ambako umasikini haujaondoka, kujenga hoja kuwa umasikini unaondoka katika mchakato na si suala la kuondoka siku moja.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BybgAqvu3OlH1FQgaK9AxkcBKfOJFEEBdes5tkoX7-Q89Dg65bIvix5ORcVwFPMM1h58dQx86omYZmMzcEk4LLVW-c*p*dF2/williamngeleja.jpg?width=650)
NGELEJA: SERIKALI ZA MITAA TUMEWAKIMBIZA WAPINZANI
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/aqmhJZLv6Zc/default.jpg)
10 years ago
Deal04 Mar
Ngeleja explains 40m/
Daily News
SENGEREMA Member of Parliament (MP) William Ngeleja denied receiving 40m/- from a local firm, VIP Engineering and Marketing Limited, which had a stake in the Independent Power Tanzania Limited (IPTL). “According to a bank statement from Mkombozi ...
10 years ago
Mtanzania05 Mar
Zitto: Ngeleja anatapatapa
Fredy Azzah na Patricia Kimelemeta
SIKU moja baada ya Mbunge wa Sengerema, William Ngeleja (CCM), kumtumia Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Zitto Kabwe katika utetezi wake mbele ya Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma, kiongozi huyo amesema mtuhumiwa huyo anatapatapa.
Kauli hiyo ya Zitto imekuja siku moja baada ya kutoa maelezo yake mbele ya baraza kama njia ya kujinasua kwenye kashfa ya kunufaika na mgawo wa Sh milioni 40 kutoka kwenye Akaunti ya Tegeta...
10 years ago
TheCitizen04 Mar
Ngeleja: Yes, I took Escrow cash, but...
11 years ago
Habarileo09 May
Ngeleja amponda Mbowe
MBUNGE wa Sengerema (CCM), William Ngeleja amesema Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe hakutenda haki kuzungumzia masuala ya Bunge la Katiba katika Bunge la Bajeti la Jamhuri ya Muungano Tanzania.
10 years ago
Deal04 Mar
Ngeleja Explains 40 Million/
IPPmedia
AllAfrica.com
SENGEREMA Member of Parliament (MP) William Ngeleja denied receiving 40m/- from a local firm, VIP Engineering and Marketing Limited, which had a stake in the Independent Power Tanzania Limited (IPTL). "According to a bank statement from Mkombozi ...
Denies alleged source, discredits alleged account numberIPPmedia
all 3
11 years ago
Tanzania Daima16 Mar
Ngeleja awa kivutio bungeni
WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba juzi walishindwa kuzuia hisia zao za mapenzi na kuvutiwa na Mbunge wa Sengerema, William Ngeleja, mara baada ya kutajwa jina lake kwenda kuapishwa. Ngeleja...
11 years ago
Tanzania Daima15 Jul
Ngeleja: Naheshimu uamuzi wa CCM
MBUNGE wa Sengerema, William Ngeleja, amesema anaheshimu adhabu aliyopewa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), hivyo hayupo tayari kuzungumzia masuala ya kuwania urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika mwakani. CCM iliwaadhibu makada...