Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NGO DRC zataka MUNUSCO isijiondoe Congo

Mashirika mbali mbali ya kiraia nchini DRC yameomba majeshi ya Umoja wa Mataifa ya kulinda amani nchini humo MUNUSCO kufikiria upya mpango wake kujiondoa kupambana na kundi la waasi la FDLR.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Asasi za DRC zataka el Bashir ashikwe.

Mashirika ya kutetea haki za kibinadamu DRC, yanaitaka seikali yao rais wa Sudan, Omar el Bashir aliyeko Kinshasa

 

11 years ago

BBCSwahili

21 wafariki nchini DRC Congo

Takriban watu 21 wamefariki baada ya kukanyagana katika sherehe za muziki nchini jamhuri ya kidemokrasia ya Congo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Cape Verde kumenyana na Congo DRC

Mshambuliaji wa DRC Yannick Bolassie ambaye ndiye mfungaji wa bao lililosabbisha sare ya 1-1 dhidi ya Zambia anasema watashinda.

 

11 years ago

BBCSwahili

Watu Congo Brazaville wakimbilia DRC

Wakimbizi kutoka Congo Brazaville wanakimbilia Congo Kinshasa. Kunani?

 

9 years ago

Michuzi

Mashehe wa Tanzania waliotekwa nchini Congo DRC waachiwa huru

Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Balozi Liberata Mulamula (katikati) akizungumza na Waandishi wa Habari (hawapo pichani) juu ya kuachiwa huru kwa Mashekhe wa Tanzania waliotekwa nchini Congo DRC. Kushoto ni Mkurugenzi wa Idara ya Mambo ya Nje Zanzibar, Balozi Silima Haji Kombo na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bi. Mindi Kasiga (kulia) wakimsikiliza Balozi Mulamula wakati akizungumza na Waandishi wa...

 

10 years ago

Vijimambo

BILEKU MPASI KUTOKA CONGO (DRC) NA MASHUJAA BAND KUFANYA ONESHO LA PAMOJA DISEMBA 12

Rais wa Band ya Mashujaa, Chalz Baba (kushoto), akitoa burudani mbele ya wanahabari Dar es Salaam leo, kuhusu onesho hilo litakalofanyika katika ukumbi huo.. Kutoka kulia ni Meneja Mauzo wa Kampuni ya Bia ya Mabibo, Joseph Emanuel na Ofisa Uhusiano wa Band ya Mashujaa, King Dodo la Buche. Ofisa Uhusiano wa Band ya Mashujaa, King Dodo la Buche (katikati) akizungumza na waandishi wa habari kuhusu onesho hilo. Kulia ni Meneja Mauzo wa Kampuni ya Bia ya Mabibo, Joseph Emanuel na Rais wa Band ya...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Congo DRC yathibitisha kisa cha kwanza cha virusi vya Corona

Kisa cha kwanza cha virusi vya Corona kimethibitishwa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Msemaji wa wizara ya Afya amesema Jumanne.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Asasi zataka Bunge livunjwe

IMEELEZWA kuwa hakuna sababu ya kuendelea na Bunge Maalumu la Katiba, kama rasimu ya pili iliyopelekwa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba iliyoongozwa na Jaji Joseph Warioba inadhihakiwa na kudharauliwa....

 

11 years ago

Habarileo

Asasi zataka soko la tembo lifungwe

ZAIDI ya asasi 70 zinazojihusisha na mazingira nchini (MANET), zimeiomba serikali kushauri Jumuiya za Kimataifa zifunge soko la meno ya tembo ili majangili wakose soko la bidhaa hiyo na kuachana na ujangili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani