Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NGONO ZEMBE YATAWALA HIKI KIJIJI, INA MAANA HAWAOGOPI HUKIMWI?


Hii ndio hali halisi utakayo kutana nayo kilometa 660 kutoka Dar es Salaam na kilimeta 122 kutoka Nachingwea. 
Katika kijiji cha Kiegei kila tarehe 25 ya mwisho wa mwezi, baada ya mnada wa bidhaa mbalimbali za kilimo kama chakula na vifaa vya nyumbani kama vyombo.
Watu wengine, wekiwemo watoto wa shule za msingi huuziana mabusu na wafanyabiashara wa mnada huo, kusababisha kukatisha masomo kwa baadhi ya wanafunzi kwa kushika ujauzito na wengine kupata magonjwa ya kuambukiza kama gono, kaswende...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Watanzania watakiwa kuacha ngono zembe

5

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Kutokomeza Ukimwi na maambukizi mapya ya Virusi hivyo vya Ukimwi kwa Watoto (AGPAHI), Laurean Bwanakunu (kulia).(Picha na Maktaba).

Na Mwandishi wetu

Watanzania wametakiwa kuepukana vitendo vya kuhamasisha ngono zembe itakayosababisha  maambukizi mapya ya Virusi vya Ukimwi (VVU).

Kauli hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam jana, Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Kutokomeza Ukimwi na maambukizi mapya ya virusi hivyo vya Ukimwi kwa Watoto (AGPAHI), Laurean...

 

5 years ago

BBCSwahili

Mahasimu wa Sudan Kusini wamesaini makubaliano ya kugawana madaraka, hii ina maana gani?

Utekelezwaji wa mkataba wa amani kwa Sudan Kusini ni jambo ambalo limeyumbisha nchi hiyo kwa miaka.

 

11 years ago

Michuzi

KAMPENI ZA CCM JIMBO LA CHALINZE ZAENDELEA KIJIJI KWA KIJIJI

  Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Pwani,Mwishehe Shaban Mlawa akimnadi Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze (CCM),Ridhiwani Jakaya Kikwete katika Mkutano wa Kampeni za CCM uliofanyika kwenye kijiji cha Misakazi,Kata ya Ubena ndani ya Jimbo la Chalinze leo Machi 20, 2014   Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze (CCM),Ridhiwani Jakaya Kikwete (katikati) akitambulishwa na Mwenyekiti wa Kijiji cha Mwidu,Mzee Mohamed Said kwa Bw. Chomiki kutoka...

 

10 years ago

Habarileo

Katiba yatawala Swala ya Idd

WATANZANIA wametakiwa kuomba kwa ajili ya amani ya nchi na kuiombea Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliyopitishwa na Bunge Maalumu la Katiba, inayotarajiwa kukabidhiwa kwa Rais Jakaya Kikwete kesho kutwa ili iweze kufikishwa kwa wananchi na kujadiliwa kwa amani na utulivu na Watanzania wote.

 

9 years ago

Habarileo

Amani yatawala Maulid, Krismasi

WAKAZI wa maeneo mbalimbali hapa nchini wamesherehekea sikukuu ya Maulid na Krismasi katika hali ya amani, bila kuwepo na matukio makubwa ya uvunjifu wa amani.

 

9 years ago

Mwananchi

Siasa yatawala maziko ya Kisumo

Maziko ya mwanasiasa mkongwe nchini, Peter Kisumo yametawaliwa na siasa za ‘chini chini’ kati ya makada wa CCM na wanachama wa Chadema huku Rais Jakaya Kikwete akishindwa kutoa hotuba.

 

9 years ago

Habarileo

Malumbano ya kisheria yatawala kesi ya Mwale

MALUMBANO ya kisheria yameibuka jana baina ya mawakili upande wa Serikali na utetezi katika kesi ya utakatishaji fedha inayowakabili washtakiwa wanne akiwemo wakili maarufu wa jijini Arusha, Median Mwale hali iliyosababisha Mahakama Kuu, Kanda ya Arusha kuendesha kesi ndani ya kesi.

 

11 years ago

GPL

Pambano la Nyilawila na Mbelwa, damu yatawala

Konde Mbelwa akiwa chini baada ya kipigo kutoka kwa Karama Nyirawila hayupo pichani . Na Richard Bukos
PAMBANO la ndondi kugombea mkanda wa ubingwa wa UBO, kati ya bondia Kalama Nyilawila na Said Mbelwa lililofanyika usiku wa kuamkia jana Jumapili kwenye Ukumbi wa Friends Corner Hotel, Manzese jijini Dar es Salaam, lilikatishwa kutokana na… ...

 

10 years ago

Habarileo

Migogoro ya wakulima, wafugaji yatawala Bunge

Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk Titus KamaniSAKATA la migogoro ya ardhi baina ya wakulima na wafugaji nchini, limetawala mjadala wa hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya fedha kwa mwaka 2015/16 ya Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, iliyowasilishwa bungeni juzi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani