NGONO ZEMBE YATAWALA HIKI KIJIJI, INA MAANA HAWAOGOPI HUKIMWI?
Hii ndio hali halisi utakayo kutana nayo kilometa 660 kutoka Dar es Salaam na kilimeta 122 kutoka Nachingwea.
Katika kijiji cha Kiegei kila tarehe 25 ya mwisho wa mwezi, baada ya mnada wa bidhaa mbalimbali za kilimo kama chakula na vifaa vya nyumbani kama vyombo.
Watu wengine, wekiwemo watoto wa shule za msingi huuziana mabusu na wafanyabiashara wa mnada huo, kusababisha kukatisha masomo kwa baadhi ya wanafunzi kwa kushika ujauzito na wengine kupata magonjwa ya kuambukiza kama gono, kaswende...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog04 Jul
Watanzania watakiwa kuacha ngono zembe
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Kutokomeza Ukimwi na maambukizi mapya ya Virusi hivyo vya Ukimwi kwa Watoto (AGPAHI), Laurean Bwanakunu (kulia).(Picha na Maktaba).
Na Mwandishi wetu
Watanzania wametakiwa kuepukana vitendo vya kuhamasisha ngono zembe itakayosababisha maambukizi mapya ya Virusi vya Ukimwi (VVU).
Kauli hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam jana, Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Kutokomeza Ukimwi na maambukizi mapya ya virusi hivyo vya Ukimwi kwa Watoto (AGPAHI), Laurean...
5 years ago
BBCSwahili22 Feb
Mahasimu wa Sudan Kusini wamesaini makubaliano ya kugawana madaraka, hii ina maana gani?
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-6QzVEOciBno/Uyr6tv8tyaI/AAAAAAACdDE/QrPusb8lDRs/s72-c/UB+4.jpg)
KAMPENI ZA CCM JIMBO LA CHALINZE ZAENDELEA KIJIJI KWA KIJIJI
![](http://2.bp.blogspot.com/-6QzVEOciBno/Uyr6tv8tyaI/AAAAAAACdDE/QrPusb8lDRs/s1600/UB+4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9QZDqllaCHE/Uyr6t8geP2I/AAAAAAACdDI/utbvAvqj7B4/s1600/UB+5.jpg)
10 years ago
Habarileo06 Oct
Katiba yatawala Swala ya Idd
WATANZANIA wametakiwa kuomba kwa ajili ya amani ya nchi na kuiombea Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliyopitishwa na Bunge Maalumu la Katiba, inayotarajiwa kukabidhiwa kwa Rais Jakaya Kikwete kesho kutwa ili iweze kufikishwa kwa wananchi na kujadiliwa kwa amani na utulivu na Watanzania wote.
9 years ago
Habarileo27 Dec
Amani yatawala Maulid, Krismasi
WAKAZI wa maeneo mbalimbali hapa nchini wamesherehekea sikukuu ya Maulid na Krismasi katika hali ya amani, bila kuwepo na matukio makubwa ya uvunjifu wa amani.
9 years ago
Mwananchi14 Aug
Siasa yatawala maziko ya Kisumo
9 years ago
Habarileo05 Dec
Malumbano ya kisheria yatawala kesi ya Mwale
MALUMBANO ya kisheria yameibuka jana baina ya mawakili upande wa Serikali na utetezi katika kesi ya utakatishaji fedha inayowakabili washtakiwa wanne akiwemo wakili maarufu wa jijini Arusha, Median Mwale hali iliyosababisha Mahakama Kuu, Kanda ya Arusha kuendesha kesi ndani ya kesi.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*o-iN*f1vZmSo8IhAOA5NH7mHVe9-kkTWIXVhGEaq8P0Z6S5fo*JmgLxqTYcThpQFB4bIAOsFe8y80knSDIrH1x/pambanooo.jpg?width=650)
Pambano la Nyilawila na Mbelwa, damu yatawala
10 years ago
Habarileo22 May
Migogoro ya wakulima, wafugaji yatawala Bunge
SAKATA la migogoro ya ardhi baina ya wakulima na wafugaji nchini, limetawala mjadala wa hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya fedha kwa mwaka 2015/16 ya Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, iliyowasilishwa bungeni juzi.