Siasa yatawala maziko ya Kisumo
Maziko ya mwanasiasa mkongwe nchini, Peter Kisumo yametawaliwa na siasa za ‘chini chini’ kati ya makada wa CCM na wanachama wa Chadema huku Rais Jakaya Kikwete akishindwa kutoa hotuba.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo13 Aug
Kikwete kuongoza maziko ya Kisumo
RAIS Jakaya Kikwete leo anatarajiwa kuongoza maelfu ya waombolezaji katika maziko ya aliyekuwa mwasisi wa TANU na CCM, Peter Kisumo.
10 years ago
Habarileo06 Oct
Katiba yatawala Swala ya Idd
WATANZANIA wametakiwa kuomba kwa ajili ya amani ya nchi na kuiombea Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliyopitishwa na Bunge Maalumu la Katiba, inayotarajiwa kukabidhiwa kwa Rais Jakaya Kikwete kesho kutwa ili iweze kufikishwa kwa wananchi na kujadiliwa kwa amani na utulivu na Watanzania wote.
9 years ago
Habarileo27 Dec
Amani yatawala Maulid, Krismasi
WAKAZI wa maeneo mbalimbali hapa nchini wamesherehekea sikukuu ya Maulid na Krismasi katika hali ya amani, bila kuwepo na matukio makubwa ya uvunjifu wa amani.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*o-iN*f1vZmSo8IhAOA5NH7mHVe9-kkTWIXVhGEaq8P0Z6S5fo*JmgLxqTYcThpQFB4bIAOsFe8y80knSDIrH1x/pambanooo.jpg?width=650)
Pambano la Nyilawila na Mbelwa, damu yatawala
10 years ago
Habarileo22 May
Migogoro ya wakulima, wafugaji yatawala Bunge
SAKATA la migogoro ya ardhi baina ya wakulima na wafugaji nchini, limetawala mjadala wa hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya fedha kwa mwaka 2015/16 ya Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, iliyowasilishwa bungeni juzi.
9 years ago
Habarileo05 Dec
Malumbano ya kisheria yatawala kesi ya Mwale
MALUMBANO ya kisheria yameibuka jana baina ya mawakili upande wa Serikali na utetezi katika kesi ya utakatishaji fedha inayowakabili washtakiwa wanne akiwemo wakili maarufu wa jijini Arusha, Median Mwale hali iliyosababisha Mahakama Kuu, Kanda ya Arusha kuendesha kesi ndani ya kesi.
9 years ago
StarTV19 Aug
Rushwa yatawala uchaguzi Chadema Geita
Wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Mjini Geita wamesema kura za maoni za ubunge na udiwani zimekuwa na vurugu nyingi kutokana na vitendo vinavyodaiwa kuwa ni vya rushwa hali iliyochangia kuchagua viongozi wanaowapendekeza baadhi ya viongozi wasimamizi wa mchakato huo.
Katika kura za maoni za udiwani, wafuasi wa Chama hicho mnamo Agosti 17 majira ya jioni walivamia ofisi ya CHADEMA na kumpiga katibu wa jimbo hilo Ezekiel Mapesa kwa kile kinachodaiwa kuhujumu kura za maoni...
9 years ago
StarTV02 Nov
Mabomu ya machozi yatawala dimba la Mkwakwani.
Hali ya taharuki imeibuka kwenye uwanja wa CCM Mkwakwani wakati wa mchezo kati ya Coastal Union ya jijini Tanga na Mbeya City.
Mashabiki wa Cost unioni walifikia uamuzi huo baada ya kudai kuwa mwamuzi ndiye aliyewasababishia penalt hiyo kwa sababu zake binafsi.
Taharuki ilianza baada ya mbea City kupata goli moja dakika ya tisini kupitia kwa mchezaji wake Raphael Alpha.
Baada yua matokeo hayo,washabiki cost union wakaanza kurusha mawe uwanjani huku wakitaka kuvunja milango ya kuingilia...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/R9XIwqbdD--3KIKwfTUZLJYmFGi4noEyapJUXJITaZvSaNfpiXtJzVJRQSBn6REK5ws41bPNWzbBfU715zyU9lDUHWxyqwIL/snura.jpg?width=650)
HOFU YA KIFO YATAWALA MASTAA BONGO