Ngorongoro yaing’oa Kenya
TIMU ya taifa ya Tanzania ya vijana chini ya miaka 20, Ngorongoro Heroes, jana ilifanikiwa kuiondoa Kenya kwa penalti 4-3 katika michuano ya kuwania kufuzu kwa fainali za Afrika kwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi28 Apr
Ngorongoro Heroes kuivaa Kenya leo
Timu ya soka ya vijana chini ya miaka 20 ‘Ngorongoro Heroes’, inajitupa uwanjani leo kuumana na Kenya katika mchezo wa marudiano wa kufuzu kwa Fainali za Afrika kwa vijana.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-F22IsqR6gos/U10tCsUaj2I/AAAAAAAA-B0/_9xLhotqo3E/s72-c/d1.jpg)
NGORONGORO HEROES YAIFUNGA KENYA KWA PENALT 4-3
![](http://2.bp.blogspot.com/-F22IsqR6gos/U10tCsUaj2I/AAAAAAAA-B0/_9xLhotqo3E/s1600/d1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-IqTwtCKERSU/U10tDxoB8KI/AAAAAAAA-CA/VXi4q33Rx4c/s1600/d2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bdrsTvcLHAA/XnzH75w9ilI/AAAAAAALlLw/Y_Dck3W0Lrc-_8elZhDZa76H1dQupo6MACLcBGAsYHQ/s72-c/a1b1e13a-e93f-4fa3-9a84-1930981a549e.jpg)
UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO NDANI YA HIFADHI YA ENEO LA NGORONGORO SASA WAHAMISHIWA HALMASHAURI YA WILAYA YA NGORONGORO
MKUTANO wa siku tatu uliokuwa unafanyika kati ya Wizara ya Maliasili na Utalii na Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro umemalizika leo Machi 26 mwaka huu wa 2020 kwa mafanikio makubwa.
Taarifa iliyotolewa leo kwa vyombo vya habari imeeleza mkutano huo wa siku tatu ulikuwa ukiongozwa na Waziri wa Maliasili na Utalii Dk.Hamis Kigwangala na moja ya majadiliano yalikuwa ni kuangalia utaratibu wa Usimamizi wa fedha zinazotolewa na Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro kwa ajili ya Baraza la...
Taarifa iliyotolewa leo kwa vyombo vya habari imeeleza mkutano huo wa siku tatu ulikuwa ukiongozwa na Waziri wa Maliasili na Utalii Dk.Hamis Kigwangala na moja ya majadiliano yalikuwa ni kuangalia utaratibu wa Usimamizi wa fedha zinazotolewa na Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro kwa ajili ya Baraza la...
11 years ago
Mwananchi30 Jan
Azam yaing’oa Yanga kileleni
Azam wamekalia usukani wa Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya Yanga kulazimishwa sare 0-0 na Coastal Union kwenye Uwanja wa Mkwakwani.
10 years ago
MichuziTanzanite yaing’arisha Tanzania kimataifa
11 years ago
Mwananchi06 Jun
Mapambano ya rushwa yaing’arisha Tanzania
Tanzania imetajwa kuwa miongoni mwa nchi tatu za juu ulimwenguni katika harakati za kuzuia na kupambana na rushwa pamoja na masuala ya utawala bora.
11 years ago
Mwananchi24 Jun
Sumatra yaing’ang’ania Uda
>Mabasi mengine 25 ya Shirika la Usafiri Dar es Salaam (Uda), yamekamatwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Majini na Baharini (Sumatra), kutokana na kuendelea kukaidi amri ya kuwataka wafuate sheria za usafirishaji wa abiria jijini.
9 years ago
Habarileo15 Oct
Abajalo yaing’oa Zakhem Kombe la Magufuli Taswa
TIMU ya soka ya Abajalo imefanikiwa kukata tiketi ya nusu fainali ya michuano ya Kombe la Magufuli kwa kuibuka na ushindi wa 3-2 dhidi ya Zakhem kwenye mechi mbili walizocheza kwa mtindo nyumbani na ugenini.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania