NGO’s zatakiwa kutobagua jamii
LENGO la kuanzishwa mashirika yasiyokuwa ya Kiserikali (NGOs), ni kutoa huduma kwa jamii nzima bila kubagua kundi fulani kama yanavyofanya baadhi ya mashirika hayo hapa nchini. Hayo yamebainishwa na Msajili...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog15 Aug
Redio za kijamii zatakiwa kutoa elimu kwa jamii
Afisa Miradi ya Mawasiliano, Habari na Tehama wa UNESCO, Bw. Al Amin Yusuph, akifafanua jambo kwa Diwani wa kata ya Ololosokwani ambaye pia ni Mkurugenzi wa Shirika lisiolo la kiserikali la RAMAT inayomiliki Redio Loliondo FM, Bw. Yannick Ndoinyo (kushoto) wakati wa ziara ya kukagua miradi inayofadhiliwa na UNESCO. Bw. Al Amin aliambatana na wadau wa maendeleo Meneja Mauzo wa Samsung tawi la Tanzania, Bw. Sylvester Nteere (wa pili kushoto) na Mwakilishi wa Ubalozi wa Uswiss nchini, Bw....
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_0323.jpg)
REDIO ZA KIJAMII ZATAKIWA KUTOA ELIMU KWA JAMII
10 years ago
Habarileo19 Jun
Pinda ataka WanaCCM kutobagua wagombea
MGOMBEA wa Urais kupitia CCM, Waziri Mkuu, Mizengo Pinda amewataka wanachama wa chama hicho tawala mkoani Njombe kuendelea kujitokeza kwa wingi na kuendelea kuwadhamini wagombea mbalimbali waliochukua fomu na watakaochukua fomu za kugombea nafasi ya Urais bila kubagua mgombea yoyote.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_4DTGij9Ck0/XooCfRmUHDI/AAAAAAALmG8/UK7OxAHMxt0xYivashlRnlGoi11BshjUgCLcBGAsYHQ/s72-c/29ecbe31-0488-484c-80bb-ff5a6789c20e.jpg)
KUNDI LA SIMBA JAMII TANZANIA LAZIDI KUTOA MISAADA KWA JAMII
Msaada huo ulitolewa mbele ya Mwenyekiti wa Kamati ya Shule hiyo Ndg Happy Bakamba pamoja na maafisa kadhaa wa Kata.
Simba Jamii iliwakilishwa na wanachama wake Ndg Jacob Madege,Ndg Mwakalilila,Ndg Anangisye na Ndg Maureen.
Mkuu wa msafara wa Simba Jamii Ndg Maureen amedai kuwa...
11 years ago
Michuzi13 Feb
WAANDISHI WA HABARI WA REDIO ZA JAMII WAASWA KUZINGATIA MAADILI YA TAALUMA KATIKA KUITUMIKIA JAMII
![DSC_0046](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/02/DSC_0046.jpg)
![DSC_0012](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/02/DSC_00121.jpg)
9 years ago
Mwananchi15 Dec
Dk Kigwangalla-Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto
11 years ago
Habarileo22 Dec
‘Jamii Kwanza’ yazinduliwa na rai ya elimu kubadili jamii
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, amewataka watu waliopata elimu kuitumia kwa manufaa ya umma ili kuleta mabadiliko ya haraka katika jamii.
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/02/DSC_0046.jpg)
WAANDISHI WA HABARI WA REDIO ZA JAMII WAASWA KUZINGATIA MAADILI YA TAALUMA KATIKA KUITUMIKIA JAMII
9 years ago
Dewji Blog26 Nov
Makundi ya jamii Asilia ya Wahadzabe, Wabarabaig,Wamasai waiomba Serikali ya Tanzania kuwatambua kama jamii nyingine!
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu, Mh. Idd Ramadhan Mapuri (katikati) akizindua taarifa ya Tume ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu kuhusu utafiti wa Hali ya Haki za watu wenye kuishi maisha asilia Tanzania. kushoto kwake ni Katibu Mtendaji wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Bi. Mary Massay na (kulia) ni mmoja wa wajumbe walioshiriki kuandaa ripoti hiyo, kutoka nchini Kenya katika taasisi ya ACHPR, Dk. Naomi Kipuri. (Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog).
Na...