Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ni anguko la Brazil

FAINALI za Kombe la Dunia 2014 zilifikia tamati jana usiku kwa Ujerumani kuumana na Argentina, kumsaka bingwa wa 20 wa michuano hiyo iliyoasisiwa mwaka 1930 nchini Uruguay ikifanyika kila baada...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Anguko la Sekondari ya Tambaza

Msemo usemao ‘Wa kwanza atakuwa wa mwisho na wa mwisho atakuwa wa kwanza’ unatosha kuelezea shule maarufu ambazo zimeporomoka kielimu kwa miaka ya hivi karibuni.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Zitto unajiandalia anguko

VITABU mbalimbali vya dini vinaainisha kuwa mtu anayeahidi jambo na kushindwa kulitekeleza, hupoteza imani mbele ya jamii inayomzunguka na hivyo kujishushia heshima. Kuaminika ni jambo muhimu sana katika jamii, hasa...

 

9 years ago

Raia Mwema

Ya First Lady, kufuru na anguko la Dk. slaa

“Enyi wake, watiini waume zenu, kwa maana mume ni kichwa cha mkewe….Enyi waume, wapendeni wake ze

Joseph Mihangwa

 

9 years ago

Raia Mwema

Lowassa, anguko la upinzani nchini

NIMEKUWA na siku nyingi kidogo sijaandika.Mwandishi Wetu

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ngeze atabiri anguko la CCM

MWENYEKITI mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kagera, Pius Ngeze (70) anaamini kwamba chama chake kina wakati mgumu kutokana na mambo mawili: Kwanza, upinzani umepata nguvu zaidi, pili...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Anguko la makada wa chama tawala

Salma Said, TUNAPOULIZANA sababu “hasa” za anguko la makada wakubwa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika kura za maoni za kutafuta uteuzi wa kugombea uwakilishi na ubunge majimboni Zanzibar, muhimu kwanza tukumbushane ukweli kuwa kisiasa, CCM […]

The post Anguko la makada wa chama tawala appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Raia Mwema

Ukawa, Magufuli na anguko kuu

WAHENGA wana msemo; “mwenye nguvu mpishe, usipompisha utavunjika mbavu. Si siri Dk.

Yahya Msangi

 

10 years ago

Habarileo

CC ya CCM yathibitisha anguko la mawaziri

KAMATI Kuu (CC) ya CCM jana ilikamilisha uteuzi wa wagombea ubunge katika majimbo 11 yaliyokuwa na dosari ambapo sasa wabunge wa zamani, Profesa Peter Msolla, Dk Binilith Mahenge, Dk Seif Rashid, Vita Kawawa, Gaudence Kayombo na Dk Titus Kamani wamekwama katika kutetea nafasi hiyo.

 

10 years ago

Habarileo

Wasomi watabiri anguko la Chadema, Ukawa

SIKU moja baada ya Mwenyekiti wa Taifa ya Chadema, Freeman Mbowe kukiri kupumzika kwa aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama hicho, Dk Willbrod Slaa, wasomi na wanachama wa chama hicho, wamedai kuwa huo ni mwanzo wa kupasuka kwa chama hicho na kusambaratika kwa umoja wa vyama vinne vya upinzani vinavyounda Ukawa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani