Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ya First Lady, kufuru na anguko la Dk. slaa

“Enyi wake, watiini waume zenu, kwa maana mume ni kichwa cha mkewe….Enyi waume, wapendeni wake ze

Joseph Mihangwa

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

MKE HALALI WA NDOA WA DK.WILBROD SLAA, MBUNGE ROSE KAMILI AMLIPUA DR SLAA


Mbunge wa Viti Maalumu kupitia chadema,Rose Kamili,akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo jioni kuhusiana na tuhuma alizozitoa mume wake kwamba waliishi kwa maisha ya kula mihogo na familia yake ili kuhakikisha chadema inastawi na kuimarika jambo ambalo si la kweli walikuwa na maisha mazuri ya kawaida tu na kusema kuwa Dk.Slaa anapaswa awaombe radhi wataznzania kwa kufafanisha kula mihogo kuwa ni umaskini na kuongeza kwa kusema mbona ukienda katika mahoteli makubwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ni anguko la Brazil

FAINALI za Kombe la Dunia 2014 zilifikia tamati jana usiku kwa Ujerumani kuumana na Argentina, kumsaka bingwa wa 20 wa michuano hiyo iliyoasisiwa mwaka 1930 nchini Uruguay ikifanyika kila baada...

 

11 years ago

Mwananchi

Anguko la Sekondari ya Tambaza

Msemo usemao ‘Wa kwanza atakuwa wa mwisho na wa mwisho atakuwa wa kwanza’ unatosha kuelezea shule maarufu ambazo zimeporomoka kielimu kwa miaka ya hivi karibuni.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Zitto unajiandalia anguko

VITABU mbalimbali vya dini vinaainisha kuwa mtu anayeahidi jambo na kushindwa kulitekeleza, hupoteza imani mbele ya jamii inayomzunguka na hivyo kujishushia heshima. Kuaminika ni jambo muhimu sana katika jamii, hasa...

 

10 years ago

Habarileo

CC ya CCM yathibitisha anguko la mawaziri

KAMATI Kuu (CC) ya CCM jana ilikamilisha uteuzi wa wagombea ubunge katika majimbo 11 yaliyokuwa na dosari ambapo sasa wabunge wa zamani, Profesa Peter Msolla, Dk Binilith Mahenge, Dk Seif Rashid, Vita Kawawa, Gaudence Kayombo na Dk Titus Kamani wamekwama katika kutetea nafasi hiyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ngeze atabiri anguko la CCM

MWENYEKITI mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kagera, Pius Ngeze (70) anaamini kwamba chama chake kina wakati mgumu kutokana na mambo mawili: Kwanza, upinzani umepata nguvu zaidi, pili...

 

9 years ago

Raia Mwema

Lowassa, anguko la upinzani nchini

NIMEKUWA na siku nyingi kidogo sijaandika.Mwandishi Wetu

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Anguko la makada wa chama tawala

Salma Said, TUNAPOULIZANA sababu “hasa” za anguko la makada wakubwa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika kura za maoni za kutafuta uteuzi wa kugombea uwakilishi na ubunge majimboni Zanzibar, muhimu kwanza tukumbushane ukweli kuwa kisiasa, CCM […]

The post Anguko la makada wa chama tawala appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Raia Mwema

Ukawa, Magufuli na anguko kuu

WAHENGA wana msemo; “mwenye nguvu mpishe, usipompisha utavunjika mbavu. Si siri Dk.

Yahya Msangi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani