Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ni vita ya Takukuru, DPP

Wabunge jana walikoleza jitihada za kutaka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) ipewe mamlaka ya kufikisha watuhumiwa mahakamani, wakisema ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) pamoja na viongozi wa juu wanazima mashauri mengi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Rais Kikwete awatolea uvivu Takukuru, DPP

rais-kikweteNa Kulwa Mzee, Dar es Salaam
RAIS Jakaya Kikwete ameijia juu Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) na Jeshi la Polisi kwa kusema kuwa wana viherehere vya kukurupuka, kuwakamata watu na kuwafikisha mahakamani bila ushahidi unaojitosheleza.

Rais Kikwete alisema hayo jana jijini Dar es Salaam, katika maadhimisho ya Siku ya Sheria ikiwa ni mara yake ya nane na ya mwisho kuhudhuria hafla hiyo akiwa kiongozi wa nchi.

Alisema ofisi ya DPP,...

 

10 years ago

Bongo Movies

Bomu Jipya: Hii ni Vita ya Utamaduni, Ni Vita ya Kutawaliwa Kiakili

AWALI kuna wale waliolalamikia kuhusu maadili hasa pale filamu za kitanzania zilipozuiliwa na watayarishaji wetu wakashindwa kujenga hoja kwa kuuliza kwanini sinema zao zikitamka tu neno la Shoga wanaambiwa watoe lakini za kutoka nje Mashoga wanaonekana, hapa kuna maswali mengi sana.

1. Kwanini balozi wa Korea kwa niaba ya nchi yake alikuwa anatoa tamthilia za kikorea zionyeshwe ITV bure?
2. Kwanini serikali ya China inaingia gharama za kutafsiri tamthilia zao kwa kiswahili na kuzitoa...

 

10 years ago

Vijimambo

Makongoro: Lowassa sikumuona Vita ya Kagera, Labda alikuja baada ya vita kuburudisha wanajeshi

MAKONGORO: Tupimwe afya kwani tunataka kwenda kuchezea Real Madrid au Manchester United? 
CHARLES Makongoro Nyerere (CMN) ni miongoni mwa wanachama wa CCM waliotangaza nia ya kutaka kuchaguliwa kuwania urais kupitia chama hicho mwaka huu. Raia Mwema lilifanya naye mahojiano wiki hii nyumbani kwake jijini Dar es Salaam. Endelea
-RAIA MWEMA: Kwanini wana CCM wanatakiwa wakuchague wewe uwe mgombea wao na si mwingine miongoni mwa wenzako 41 waliojitokeza kuwania nafasi hiyo?MAKONGORO: Mimi si...

 

5 years ago

BBCSwahili

Vita vya Afghan: Marekani na Taliban watia saini kumaliza vita vya miezi 18

Marekani na washirika wake wa Nato wamekubaiana kuondoa vikosu vyote ikiwa Talibanitatimiza ahadi yake

 

10 years ago

In, Pledges Delivery

New DPP sworn


New DPP sworn-in, pledges delivery
Daily News
NEWLY-appointed Director of Public Prosecutions (DPP) Biswalo Mganga was sworn-in yesterday after which he expressed readiness to take up the new challenges and deliver to expectation. “The DPP's duties cannot be executed single handedly.

 

9 years ago

Mramba

DPP pushes for Mgonja


DPP pushes for Mgonja- Mramba-Yona case review
Daily News
THE Director of Public Prosecutions (DPP) has asked the High Court to convict Gray Mgonja of abuse of office and occasioning loss charges and order Basil Mramba and Daniel Yona to pay compensation of over 11.7bn/- to the government. In his written ...

 

11 years ago

TheCitizen

DPP files objection against nine

The Director of Public Prosecutions (DPP) has filed a preliminary objection at the High Court against an application by nine persons accused of murder allegedly linked with the building that collapsed in the city centre early last year.

 

10 years ago

Habarileo

Bunge lalia na DPP

Spika wa Bunge, Anna Makinda.OFISI ya Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP) imetajwa kudhoofisha juhudi za Taasisi ya Kuzua na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kutokana na ama kuchelewesha au kutokutoa vibali vya kufikisha mahakamani kesi kwa makosa makubwa ya rushwa.

 

10 years ago

Habarileo

Rais ateua DPP

RAIS Jakaya Kikwete amemteua Biswalo Mganga kuwa Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani