Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nida watua Zanzibar kuandikisha

Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imeanza kazi ya kuandikisha wakazi wa Zanzibar kwa ajili ya vitambulisho vya uraia huku ikibainisha kutumia muda wa mwezi mmoja na nusu visiwani humo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

NIDA IMEUNDWA KWA MUJIBU WA SHERIA NA MAJUKUMU YA NIDA YAPO WAZI HIVYO NEC WAACHENI NIDA WAFANYE KAZI KAMA WALIVYOPANGIWA :WAZIRI CHIKAWE

 Waziri wa mambo ya ndani ya  nchi Mathias Chikawe  akiwa anafunga mkutano wa wafanyakazi wa mamlaka ya vitambulisho vya taifa  uliokuwa unafanyika ndani ya hotel ya snowcrest jiji Arusha.  washiriki  katika mkutano wa Wafanyakazi wa  Mamlaka ya vitambulisho vya taifa NIda wakiwa wanamsikiliza waziri wa mambo ya ndani ya nchi kwa makini wakati akifunga mkutano wao katika hotel ya snowcrest waziri akiwa anapena mkono na mkurugenzi mara baada ya kutoa  risala ya kufunga mkutano huo Mkurugenzi...

 

11 years ago

IPPmedia

NIDA exercise to move to Zanzibar next month


IPPmedia
NIDA exercise to move to Zanzibar next month
IPPmedia
The National Identification Authority (NIDA) will next month start collecting biometric information in Zanzibar after completing the exercise in Dar es Salaam. NIDA Director General Dickson Maimu told The Guardian that the exercise in Zanzibar is expected to ...

 

10 years ago

AllAfrica.Com

Nida Starts Issuing IDs in Zanzibar


Nida Starts Issuing IDs in Zanzibar
AllAfrica.com
Zanzibar — THE National Identification Authority (NIDA) started issuing national identity cards to ordinary Zanzibaris aged 18 years and above. The exercise started with 13 wards (shehia), including Bandamaji, Kinyasini, Kandwi, Pwani Mchangani, ...

 

9 years ago

Michuzi

Mgogoro wa Zanzibar watua ikulu ya Marekani

Na Mwandishi Maalum, Washington 
Wakati vikao vya siri vya kutafuta suluhu ya mzozo wa kisiasa visiwani Zanzibar vikiwa vimeripotiwa, juhudi za kuupatia ufumbuzi mzozo huo zimehamia kutoka Ikulu ya Zanzibar na kufika Ikulu ya Marekani (White House).Wanachama wa ZADIA kutoka majimbo tafauti Nchini Marekani wakionyesha mabango yao.
Mnamo tarehe 21 mwezi huu, Wazanzibari waishio nchini Marekani waliandamana hadi kwenye Ikulu ya nchi hiyo katika juhudi za kutafuta uingiliaji kati wa kimataifa ili...

 

9 years ago

BBCSwahili

Albamu ya Adele kuandikisha historia

Huenda Album ya mwanamuziki maarufu wa Uingereza Adele ikaandikisha historia ya kununuliwa kwa kasi sana kwa muda wa wiki moja

 

11 years ago

Habarileo

RITA kuandikisha vyeti sekondari

KATIKA kuongeza idadi ya Watanzania wenye vyeti vya kuzaliwa, Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA), inatarajia kuanza kuandikisha wanafunzi wa shule za sekondari katika Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Michuzi

TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI (NEC) KUTUMIA BILIONI 293 KUANDIKISHA WAPIGA KURA

1Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Damian Lubuva akizunguza na waandishi wa habari kwenye makao makuu ya tume ya uchaguzi jijini Dar es salaam wakati alipozungumzia maandalizi ya uboreshaji wa daftari la wapiga kura, kura ya maoni ya Katiba mpya na uchaguzi mkuu mwezi oktoba mwaka huu, kulia ni Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Bw. Julius Mh.Julius Mallaba.2 Baadhi ya waadishi wa habari wakiwa katika kutano huo.

NA CHALILA KIBUDA ,GLOBU YA JAMII DAR


Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC)...

 

10 years ago

Michuzi

ZOEZI LA KITAIFA LA KUANDIKISHA RAIA WA KIGENI NCHI NZIMA LAZINDULIWA RASMI KIGOMA

 kamishna  wa uhamiaji na usimamazi na uthibiti wa mipaka Abdallah Khamis akipata maelekezo kutoka kwa maofisa wa uhamiaji namna zoezi la kuandikisha raia wa kigeni linavyofanyika.Maofisa wa uhamiaji wakichukua alama za vidole Moja ya kitambulisho wanachopewa Raia wasio wa Tanzania .  Raia wa Congo ambaye ameishi nchini isivyo halali kwa miaka kumi na moja akifurahi na familia yake baada ya kupata vitambulisho vya kuishi nchini kihalali.Baadhi ya wananchi ambao si raia wa Tanzania...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani