Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Albamu ya Adele kuandikisha historia

Huenda Album ya mwanamuziki maarufu wa Uingereza Adele ikaandikisha historia ya kununuliwa kwa kasi sana kwa muda wa wiki moja

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Albamu ya Adele kuweka historia ya mauzo UK

Albamu ya mwanamuziki Adele huenda ikaweka historia nchini Uingereza kwa kuwa albamu iliouza zaidi ,ikiwa tayari imeuza zaidi ya kopi nusu milioni

 

11 years ago

Mwananchi

Nida watua Zanzibar kuandikisha

Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imeanza kazi ya kuandikisha wakazi wa Zanzibar kwa ajili ya vitambulisho vya uraia huku ikibainisha kutumia muda wa mwezi mmoja na nusu visiwani humo.

 

11 years ago

Habarileo

RITA kuandikisha vyeti sekondari

KATIKA kuongeza idadi ya Watanzania wenye vyeti vya kuzaliwa, Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA), inatarajia kuanza kuandikisha wanafunzi wa shule za sekondari katika Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Michuzi

ZOEZI LA KITAIFA LA KUANDIKISHA RAIA WA KIGENI NCHI NZIMA LAZINDULIWA RASMI KIGOMA

 kamishna  wa uhamiaji na usimamazi na uthibiti wa mipaka Abdallah Khamis akipata maelekezo kutoka kwa maofisa wa uhamiaji namna zoezi la kuandikisha raia wa kigeni linavyofanyika.Maofisa wa uhamiaji wakichukua alama za vidole Moja ya kitambulisho wanachopewa Raia wasio wa Tanzania .  Raia wa Congo ambaye ameishi nchini isivyo halali kwa miaka kumi na moja akifurahi na familia yake baada ya kupata vitambulisho vya kuishi nchini kihalali.Baadhi ya wananchi ambao si raia wa Tanzania...

 

10 years ago

Michuzi

TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI (NEC) KUTUMIA BILIONI 293 KUANDIKISHA WAPIGA KURA

1Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Damian Lubuva akizunguza na waandishi wa habari kwenye makao makuu ya tume ya uchaguzi jijini Dar es salaam wakati alipozungumzia maandalizi ya uboreshaji wa daftari la wapiga kura, kura ya maoni ya Katiba mpya na uchaguzi mkuu mwezi oktoba mwaka huu, kulia ni Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Bw. Julius Mh.Julius Mallaba.2 Baadhi ya waadishi wa habari wakiwa katika kutano huo.

NA CHALILA KIBUDA ,GLOBU YA JAMII DAR


Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC)...

 

9 years ago

BBCSwahili

Adele atawala tuzo za BBC

Nyota wa muziki wa Pop Adele ametawala tuzo za pili za BBC baada ya kushinda tuzo ya msanii bora Uingereza na maonyesho bora ya moja kwa moja.

 

9 years ago

Bongo5

Song: Pipi – Hello (Adele Cover)

PIPI COVER

Msanii wa Bongo fleva Pipi amewapa mashabiki wake zawadi ya mwaka mpya kwa kufanya Cover ya wimbo wa Adele unaitwa “Hello” Produced by Valentino and Sifa.. Enjoy.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Mtanzania

Adele akimbiza kwenye chati za Billboard

Adele.NEW YORK, MAREKANI

NYOTA wa muziki nchini Uingereza, Adele Adkins, anamaliza mwaka kwa kushika nafasi ya kwanza katika chati za Billboard kwa wiki nne.

Katika chati hiyo kulikuwa na albamu 200 ambazo zilikuwa zinashindanishwa, lakini Adele amefanikiwa kushika nafasi ya kwanza kwenye ushindani huo kwa wiki nne.

Mkali huyo wa sauti amesema ni furaha kwake kuona kazi zake zikikubalika na idadi kubwa ya watu duniani na ndiyo maana ameweza kukaa kwa muda mrefu ambapo sio kawaida kutokana na...

 

9 years ago

Bongo5

Why Adele isn’t streaming her new album ‘25’

600

By restricting her new album 25 from streaming services Apple Music and Spotify, Adele is playing to her greatest strength: wide appeal.

600

The British singer is the rare artist whose allure spans demographic groups, from teenagers on YouTube and Spotify to adults who visit record stores or frequent iTunes. Music executives liken her to a four-quadrant movie, the lingo for blockbusters like The Avengers and Jurassic World that draw in young and old, men and women.

Adele and Sony Corp’s music...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani