Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nidhamu yawaingiza vitani makocha Chelsea, Man City

Makocha wa Chelsea, Manchester City wameingia kwenye vita ya maneno kila mmoja akiwa na upande wake kuhusu nidhamu ya wachezaji nyota wa Chelsea dhidi ya waamuzi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Chelsea, Man City vitani

Chelsea wanasaka kuendeleza rekodi yao ya kutokufungwa mechi 24 leo watakapoivaa Newcastle United katika Ligi Kuu England.

 

10 years ago

Mwananchi

Man City, Liverpool zaingia vitani Ligi ya Mabingwa Ulaya

Klabu za Ligi Kuu England zina kibarua kigumu cha kufuzu kucheza hatua ya mtoano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya leo na kesho.

 

9 years ago

MillardAyo

TOP 5 Stori: Huyu ndio mrithi wa Mourinho Chelsea, Man United na Lewandowski? Man City na mipango ya Guardiola..

Kabla siku haijaisha mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee stori 5 za soka zilizoingia katika headlines siku ya December 17, kuna mengi yamezungumzwa katika stori za soka December 17 ikiwemo stori za kufukuzwa kwa mara ya pili kwa kocha wa klabu ya Chelsea Jose Mourinho. Hizi ndio TOP 5 ya stori za soka December 17. […]

The post TOP 5 Stori: Huyu ndio mrithi wa Mourinho Chelsea, Man United na Lewandowski? Man City na mipango ya Guardiola.. appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Vijimambo

Chelsea, Man U, City washinda

ngumiBy Israel Saria on February 12, 2015
Mzunguko wa 25 wa Ligi Kuu ya England (EPL) umemalizika kwa ushindi kwa timu kubwa, huku kocha wa Aston Villa, Paul Lambert akifukuzwa kazi.

Chelsea walipata ushindi kwa tabu dhidi ya Everton kwa bao la dakika za mwisho la Willian, hivyo kujiweka pointi saba mbele ya mabingwa watetezi, Manchester City.
Gareth Barry alipewa kadi nyekundu iliyozua mzozo na kocha wa Everton, Roberto Martinez alisema kwamba Chelsea wanajaribu kuwashawishi waamuzi.
Kadhalika...

 

11 years ago

BBCSwahili

Man City Vs Chelsea,Arsenal Vs Liverpool

Droo ya michuano ya kombe la FA imefanywa punde kwa mechi za mchujo wa raundi ya tano. Man City watakutana na Chelsea.

 

10 years ago

BBCSwahili

Lampard ainusuru Man City 1-1 Chelsea

Mchezaji wa akiba Frank Lampard aliifungia Manchester City bao la kusawazishia dhidi ya Chelsea katika mechi ya kukata na shoka

 

10 years ago

BBCSwahili

Chelsea,Man City zatoshana nguvu

Timu ya Chelsea na Manchester City zatoka sare ya 1-1 katika mchezo wa ligi kuu ya England

 

10 years ago

Mwananchi

Man U hoi, Chelsea, City ‘ngoma droo’

Leicester City ilitoka nyuma kwa mabao 3-1 na kuibuka na ushindi wa mabao 5-3 dhidi ya Manchester United katika mchezo wa Ligi Kuu England uliochezwa jana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani