NILAZIMA TAASISI ZA KILIMO ZIFANYE MAJUKUMU YAKE ILI KUENDELEA
Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo Ndg Gerald Kusaya akimsikiliza kwa makini Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) Dkt Geoffrey Mkamilo wakati alipotembelea Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) katika ofisi za makao makuu ya Taasisi hiyo eneo la Makutupora Jijini Dodoma Leo Tarehe 11 Machi 2020.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo Ndg Gerald Kusaya akisisitiza jambo wakati akizungumza na Uongozi na watumishi wa Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) katika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/4_9aGk7qRfw/default.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-k3cBIFaWRtk/XrmRF6RIO2I/AAAAAAALp1U/ZSFE1fd_lF4pWYDRRlKLk_aHxlSmFU45QCLcBGAsYHQ/s72-c/Liquid-Telecom-Gen-Z-report.jpg)
KAMPUNI YA LIQUID TELECOM'S KUENDELEA KUZIUNGANISHA KIDIGITAL NCHI ZA JUMUIYA YA AFRIKA ILI KUENDELEA NA SHUGHULI ZAO
![](https://1.bp.blogspot.com/-k3cBIFaWRtk/XrmRF6RIO2I/AAAAAAALp1U/ZSFE1fd_lF4pWYDRRlKLk_aHxlSmFU45QCLcBGAsYHQ/s320/Liquid-Telecom-Gen-Z-report.jpg)
KAMPUNI ya Liquid Telecom's Afrika Mashariki imezihakikishia nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki kuendelea kufanya kazi zake kwa ukaribu na kawaida kupitia mgongo wake wa jumuiya ya nchi hizo katika mabadiliko yake ya kidigitali chini ya mwezi wa mmoja kutokana na janga la COVID- 19
Kwa mujibu wa kampuni imeeleza kuwa ndiyo inayoongoza katika mawasiliano na imewezesha wanachama wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki kufanya kazi kwa ukaribu na kawaida licha ya...
9 years ago
StarTV04 Dec
TANESCO kuvunjwa ili kupungua majukumu
Serikali inatarajia kulivunja Shirika la Umeme Tanzania TANESCO kwa lengo la kulipunguzia majukumu na kulibakizia kazi moja ya kusafirisha umeme ifikapo mwaka 2020 ili kuondoa kero ya umeme kwa wananchi kutokana na kile kinachodaiwa kuwa ni kuelemewa na majukumu.
Mpango huo ulitangazwa mwaka 2012 ukiwa ni moja ya mikakati muhimu ya kulikwamua shirika hilo na kuondoa kero ya umeme nchini.
Wakati wadau muhimu wa sekta ya nishati wakikutana Dar es Salaam kwa siku mbili kujadili namna ya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Em7E6qBDNio/VY0csDkUXCI/AAAAAAAHkLY/USHfJ0pGEJk/s72-c/IMG_3103.jpg)
SOLUTION BLOCKS YAANDAA MIKUTANO ILI KUKUTANISHA NGO’S,TAASISI ZA KIRAIA NA TAASISI ZA SERIKALI KWA KILA MWENZI.
KAMPUNI ya Solution BLOCKS ikishirikiana na kampuni ya Anglo Gold Ashanti waandaa mkutano wa Alhamisi ya kila mwezi ili kushirikisha taasisi mbalimbali za serikali na zisizo za kiserikali kuzungumzia kuchangia katika maendeleo katika jamii.
Hayo yamesemwa na Makamo wa Rais wa Sustainability Aglo Gold Ashanti, Simon Shayo katika ufunguzi wa mkutano ambao umejulikana kwa jina la THURSDAY TALK uliofanyika katika hoteli ya Colosseum jijini Dar es Salaam...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CEolNwkaNTo/Xud4p7LQT3I/AAAAAAALt6Q/615-yFRQRP8Jd-nT3_nZc-XS9toxJYbVACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200612_144439_2%2B%25281%2529.jpg)
MASAWE AGUSIA BAJETI 2020/2021 NA KUSISITIZA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA KILIMO ILI KUENDANA NA TEKNOLOJIA YA KILIMO CHA KIDIGITAL
![](https://1.bp.blogspot.com/-CEolNwkaNTo/Xud4p7LQT3I/AAAAAAALt6Q/615-yFRQRP8Jd-nT3_nZc-XS9toxJYbVACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200612_144439_2%2B%25281%2529.jpg)
Aidha upande wa suala la uboreshaji wa kilimo kwa kuweka mazingira ya upatikanaji wa vifaa vya kilimo kwa gharama nafuu ikiwa ni...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-DHnq2kaMQ-Q/U3TNnw5E_tI/AAAAAAAAFa8/3WLjrMld-ZY/s72-c/IMG_1363.jpg)
MKUU WA MKOA WA RUKWA AONANA NA WATAFITI KUTOKA TAASISI YA UTAFITI WA KILIMO UYOLE MBEYA KUJADILI KUINUA KILIMO CHA NGANO MKOANI RUKWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-DHnq2kaMQ-Q/U3TNnw5E_tI/AAAAAAAAFa8/3WLjrMld-ZY/s1600/IMG_1363.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-m5vDqkfZBoo/U3TNvDNgCnI/AAAAAAAAFbE/V45SjPjcT7E/s1600/IMG_1358.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LKii83Gol00/VPcdEF2YnTI/AAAAAAAHHrw/XJqsyXOC3I8/s72-c/KM1.jpg)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari ahimiza watumishi wake kuendelea kuwa wabunifu katika kutekeleza majukumu yao
![](http://2.bp.blogspot.com/-LKii83Gol00/VPcdEF2YnTI/AAAAAAAHHrw/XJqsyXOC3I8/s1600/KM1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-CWxt1PXkREg/VPcdENFrioI/AAAAAAAHHro/REk9LszwhOc/s1600/KM2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-81VrDrDOHvY/XrP-miQblSI/AAAAAAALpZo/e7lC98-1X7Issgf3Qsj32CbzcDqQ6AV3ACLcBGAsYHQ/s72-c/630.jpg)
SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR YASIKITISHWA NA BAADHI YA WATENDAJI WA TAASISI YA ARDHI KUTOKUWA WAAMINIFU KATIKA MAJUKUMU YAO
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alitoa masikitiko hayo wakati akijibu Hoja za Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi kufuatia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara yake aliyoiwasilisha katika Kikao cha Bajeti cha...
9 years ago
Habarileo31 Dec
Majaliwa aikumbusha UNHCR majukumu yake nchini
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amelitaka Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) na mashirika rafiki kutekeleza makubaliano yaliyofikiwa kati yao na Wizara ya Mambo ya Ndani, ya kusaidia huduma mbalimbali za kijamii ndani ya kambi za wakimbizi na vijiji vinavyozunguka kambi hizo.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10